Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

FIFA World Cup 2018 Performers List
FIFA Opening Ceremony is one of the biggest events in sports. Celebrities from all over the world come in huge numbers and many celebs even perform on the Opening Ceremony Stage. 2014 Fifa World Cup Opening Ceremony saw Jennifer Lopez and Pitbull headlining the show. It will be interesting to see who will headline this edition of Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. It is expected the singer/musician of Fifa World Cup 2018 Theme Song will headline upcoming ceremony.ce Till now there is no official announcement on the list of celebrity performance at Fifa World Cup 2018 Opening Ceremony. We will update you with the latest information as soon as official announcements are made.

sijui unaweza kutusaidia source ya habari yako kaka?..au kuturembea picha ya huyo bwana mixer na mipira sijui na madude gani ndo unahisi utatuhadaa kirahisi...ilipofanyika AFRIKA KUSINI tupu bara lake hakuna mTanzania aliyepata nafas itakuwa leo Urus?
Inawezekana hakuna official announcement lakini wahusika wanajijua
 
Huyu Jamaa kila Siku anapigwa ' majungu ' na ' Wazawa ' kabisa ila nilichogundua wenye ' akili ' zao kubwa huko nje ya mipaka ya Tanzania wanatambua sana Kipaji chake na uwezo wako kama Mwanamuziki. Kwa hili sasa nadhani ni wakati muafaka kwa ' haters ' wake wote kuungana na wanaompenda ili kumuunga mkono azidi kufanikiwa zaidi na kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania.

Hongera sana Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote na namuomba Mwenyezi Mungu azidi Kukubariki.
Amen
 
hivi hii sio kiki ya kuzindua album?mbona sioni vielelzo vya kutosha kuwa amechaguliwa!!!
 
Diamond ana nyota .Wakati basata na tcra wanamfitini anaibuka kimataifa!
 
Ndo matunda ya ziara ya Boss wa FIFA hapa bongo, afu aliletewa majina mawili ya la kiba na la Diamond sasa jinsi ya kulitamka la Kiba100 ikawa ngumu mno kwa maboss wale wa FIFA na nyota ikamdondokea mjane wa Zari
 
Asije akaingia na wakawaka!!!
Tupeleke team ya mpira world cup ndiyo target. Tusiishie kupeleka wapambaji!!
 
Natoa pongezi kwa serikali na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio haya!!!![emoji12]
 
KOMBE LA DUNIA.
Diamond Platnumz ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa miongoni mwa wasanii watakao perform kwenye uzinduzi wa Kombe La Dunia nchini Urusi.
84c95c7c5b3f76b38c2252cfe8737e31.jpg

Vile vile,Katika kombe la dunia hilo Diamond Platnumz watakutana na wasanii kama JasonDarulo,CassperNyovest na wasanii wengine wengi kutoka nchi mbali mbali zikiwemo Uganda,Ethiopia,na Msumbiji katika wimbo uitwao [HASHTAG]#COLOR[/HASHTAG],unatarajia kutoka mapema tarehe 16 March mwezi huu.
20333f06e3fb87930a0e0ba69f86c611.jpg

Huo ni miongoni mwa uwanja uliopo nchini Urusi.

Kikubwa watanzania wenzangu Tusuport na kumuombea sana maana nchi yetu tulidharauliwa sana kila nyanja kupitia Diamond Platnumz ,Now tuko kwenye Ramani ya Dunia.
Big up Mkuu. Go go go. Ukiwa kule kwa sababu wakawaka na Hallelujah hazipigw marufuku. Warushe nazo.
 
mbona nimeona kuna mabango yanayoonesha kuwa Kiba naye ni miongoni mwa potential perfomer kwenye huo mchongo!

Tunaomba justification ya hili pia kwa wenye data za uhakika..ili tumpe pongezi za dhati nae.
 
mbona nimeona kuna mabango yanayoonesha kuwa Kiba naye ni miongoni mwa potential perfomer kwenye huo mchongo!

Tunaomba justification ya hili pia kwa wenye data za uhakika..ili tumpe pongezi za dhati nae.

Ngoja waje team kiba100
 
Back
Top Bottom