Ulichokiongea kinaeleweka na ni ukweli lakini jua kuwa kila serikali ina shelia zinazohusu kazi za wasanii na kuna raw inforcement, ndio maana nimetoa mfano ukiwa tanzania ni kawaida kuona magari ya PA ya makampuni yanafanya promotion balabalani kwa kupiga nyimbo za wasanii bila mkataba wowote yaani dj anaweka kwenye playlist anapiga tu, same company utaikuta Uganda imenunua several tracks za kufanyia promotion, hata hao wenye mablogs na ma you tube chanel wengi wanajulikana but hakuna shelia ya kuwadhibiti utaishia kureport youtube ili tu zifutwe. Bado auoni tatizo, unaweza kumkamata mtu na ukashindwa kumshitaki au kulipwa fidia. Serikali kazi yake ni kusimamia hizo haki miliki za wasanii. Sasa hata kama utachukua kampuni ya kusimamia kazi zako kwenye digital platform bila sheria inafanya kazi vipi? Kwa wenzetu kuna shelia na watu wanapigwa faini ya mamilioni ya dola? Na hizo kampuni zinaendeshwa kwa faida, serikali inaweza kuamua destiny ya hawa watu, ndio maana hadhi ya msanii wa uganda, kenya, south adrica , nigeria na tanzania ni tofauti kwa sababu kila nchi ina policy zake kwenye sanaa na nyingine hazipo sawa