Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinielewe vibya, na mimi nachukizwa na wizi wa haki ya mtu, kuibia kitu ambacho wewe unajuwa ni jasho lako sio jambo zuri. Lakini wakati huo huo tujaribu kujikumbusha kwamba sio kweli kama Tanzania haina sharia ya hati miliki. Tumekiwa na sharia hii tokea mwaka 1966, na imekuwa inafanyiwa marekebisho mara kwa mara. Mwaka 2016 Bunge lilifanya marekebisho mengi, moja wapo ililikua ni marekebisho ya ring tone, na malipo kwa wasanii na kazi zao kupitia redio na TV. (una weza kusoma marekebisho hayo kupitia kwenye PDF kutoka tovuti ya Bunge)Ulichokiongea kinaeleweka na ni ukweli lakini jua kuwa kila serikali ina shelia zinazohusu kazi za wasanii na kuna raw inforcement, ndio maana nimetoa mfano ukiwa tanzania ni kawaida kuona magari ya PA ya makampuni yanafanya promotion balabalani kwa kupiga nyimbo za wasanii bila mkataba wowote yaani dj anaweka kwenye playlist anapiga tu, same company utaikuta Uganda imenunua several tracks za kufanyia promotion, hata hao wenye mablogs na ma you tube chanel wengi wanajulikana but hakuna shelia ya kuwadhibiti utaishia kureport youtube ili tu zifutwe. Bado auoni tatizo, unaweza kumkamata mtu na ukashindwa kumshitaki au kulipwa fidia. Serikali kazi yake ni kusimamia hizo haki miliki za wasanii. Sasa hata kama utachukua kampuni ya kusimamia kazi zako kwenye digital platform bila sheria inafanya kazi vipi? Kwa wenzetu kuna shelia na watu wanapigwa faini ya mamilioni ya dola? Na hizo kampuni zinaendeshwa kwa faida, serikali inaweza kuamua destiny ya hawa watu, ndio maana hadhi ya msanii wa uganda, kenya, south adrica , nigeria na tanzania ni tofauti kwa sababu kila nchi ina policy zake kwenye sanaa na nyingine hazipo sawa
Akaribie chademaTunaisoma namba wote
Nikukubali...divaidi and ruleDiamondi msaliti ccm muangalieni