Kaongea kweli mswahili hana shukrani ukimbeba lazima akunyee.Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?
Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
People don't know about it.. Wanachojua ni kukosoa tuDayamondi is right. WCB isn't a not-for-profit organization. Lazima hela yao irudi na faida juu kama biashara zingine zote.
Wasanii wanasaini mikataba so they know what they get into na taratibu za kuvunja hiyo mikataba kama hawakubaliani na masharti wasikubali kujiunga. It's that simple.
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.
Diamond amejibu kama ifuatavyo
Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.
Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.
So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?
Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi
Ni kweli, na hapo ndipo wanapopigwaNa hiyo point ya mwisho sidhani kama inakwepeka kwa tajiri kama yeye anaetaka kuendelea kua tajiri.
Ni vile tu vijana wanakua hawana mtu wa karibu wa kuwasimamia kwenye hiyo mikataba.
Hakuna namna kama wanafanya biashara udhibiti ni lazima uwepo,vinginevyo hali itazidi kuwa mbayaNina uhakika BASATA wakiweka hiko kitengo na kuweka vigezo label itakayo baki itakuwa WCB pekee,maanake label nyingine zimekuwa kama vijiwe vya kahawa mchana stori jioni kulala shows hawana,branding hamna wapo wapo tu.
Kiuhalisia mtu akiwa hana ramani hukubali lolote lile imradi aingie.
Akishaona amefanikiwa huanza mambo yake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wewe kiazi ni mmoja ya vizibo hopeless ulimwenguni.Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?
Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
Fungua label yako uwe unatoa 50% , losers mnakatwa kizembe sana.Whatever the amount of money he had invested to them,He should give them 50 of the shares not 40.
Huyo ukute hajawahi kuuza hata nyanya. Kazi kuponda vya wengine tu.Hakuna biashara ya hivo mkuu hata kama una potential huwezi pata 50 kama hujaweka hela na wewe
Watakuwa walimgongea demu wake au yeye mwenyewe alishikishwa wall.Ila wewe jamaa una chuki na Wasafi sijui walikufanyia nini?
I'll do one day.Fungua label yako uwe unatoa 50% , losers mnakatwa kizembe sana.
Umaskini unaleta roho mbaya, roho ya hasira , roho ya chuki na roho za husuda.Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.
Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.
Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?
Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
Umaskini unaleta roho mbaya, roho ya hasira , roho ya chuki na roho za husuda.Cha kushangaza mtu kama P Funk eti naye anamuita Diamond mnyonyaji.
Sielewi ni kwa nini Tanzania ukifanikiwa unachukiwa bila sababu.
Hivi wakati Diamond anatowa nyimbo ya mbagala hawa watu walikuwa wapi?
Diamond ni self made millionaire. Ukichukia uwe na sababu.
Kaongea CEO,ameeleweka,sasa mtu anataka apate Bure,hakuna kama hicho,lazima ulipieMsanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.
Diamond amejibu kama ifuatavyo
Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.
Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.
So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?
Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi
Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?
Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.