Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Diamond Platnumz ajibu shutuma ya kudaiwa Wasafi ni wanyonyaji

Dayamondi is right. WCB isn't a not-for-profit organization. Lazima hela yao irudi na faida juu kama biashara zingine zote.

Wasanii wanasaini mikataba so they know what they get into na taratibu za kuvunja hiyo mikataba kama hawakubaliani na masharti wasikubali kujiunga. It's that simple.
Yote kwa yote, haijalishi kama kuna unyonyaji au la! Kweli kabisa, hakuna kote duniani kuliko na uwekezaji kibiashara bila marejesho.

Hapo kwenye mikataba mikataba, isijekuwa inakuja kwa Msuva style (lugha gongana) na upande wa pili kushindwa kuelewa takwa la kimkataba tangu awali.
 
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.

Diamond amejibu kama ifuatavyo

Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.

Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.

So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?

Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi

Haters watakuja tu kuchafua hali ya hewa
 
Yote kwa yote, haijalishi kama kuna unyonyaji au la! Kweli kabisa, hakuna kote duniani kuliko na uwekezaji kibiashara bila marejesho.

Hapo kwenye mikataba mikataba, isijekuwa inakuja kwa Msuva style (lugha gongana) na upande wa pili kushindwa kuelewa takwa la kimkataba tangu awali.

Huo unakua ni ujinga wao.
 
hilo ndio jibu alilotakiwa kujibiwa PFUNK siku ile,sio yule chawa mzee mwenye upungufu wa nywele aliyejibu kama mtetezi wa lebel wakati ni mwajiriwa tu.

hiki alichoandika diamondplatnums ni black and white,hajamtupia mtu lawama wala kujikosha.

good.
 
hilo ndio jibu alilotakiwa kujibiwa PFUNK siku ile,sio yule chawa mzee mwenye upungufu wa nywele aliyejibu kama mtetezi wa lebel wakati ni mwajiriwa tu.

hiki alichoandika diamondplatnums ni black and white,hajamtupia mtu lawama wala kujikosha.

good.
Babutale, sallam na mkubwa fella usitegemee kuona wakitoa hoja Nzuri me binafsi nashangaa wamewezaje kuwa mameneja?
 
Jamaa mwizi huyu porojo nyiiingi amesahau na hela ya kuwalipa machawa
 
Diamond ni mwimbaji na choreographer mzuri sana , lakini kukosa elimu kunamuangusha sana.

Hana song writers na anaishia kuimba mashairi ya matusi yasiyotamkika.

Kuna siku nimepanda Emirates, nikapenda kusikiliza nyimbo za nyumbani.
Nilipochagua nyimbo za Diamond kukawa na angalizo kuwa nyimbo hizi hazina hadhi na zina matusi, na ukisikiliza its at your own risk.

Abadilike na aende shule , bado kijana na inabidi hadhi yake iendane na ustaarabu.
Hizo hizo ndio zimemfikisha hapo alipo, tatizo sio yeye ni sisi wasikilizaji
 
WCB is gang of thieves under the name of label and DIAMOND is their leader while Babu tale and Mkubwa fella are people who Masterminding how to steal from their signed musician.
Kama ni hivyo weka hoja zinazo onyesha wapi Wana Iba?ila Kwa hoja za mondi yupo sahihi ile ni biashara.
 
Kwahiyo Diamond anataka tuelewe kuwa Rayvan ameingia tamaa baada ya kuona mapato makubwa ya lebel akatamani hela zote ndiyo maana akajitoa?

Diamond amepanic hadi anatoa maneno yatakayosababisha hata Rayvan aanze kufunguka negative side mapema-mapema.
Mwache afunguke Ila asisahau kabla ya kujiunga Wasafi, alikuwa si kitu.
 
Eeh sikuzote dharau huanza baada ya raia kuanza kulamba asali. Mtu kachukuliwa hana mbele wala nyuma anapewa mkeka wa 6O/4O anakubali.

Akishabrandiwa na kuwaka, chupi sio tatizo anabadilisha with a few clicks. Ndinga ana afford ndio yanakuja mambo ya kuwaza ananyonywa. Hii sio case ya kwanza. Ndio biashara ya mkataba ilivyo hata Tanzania inagewaga 3% japo dhahabu ni yake. Mabeberu wanazoa 97%
It seems that you're well informed with business contracts, mabeberu yanakuja na mtaji, technology yao usitegemee yatakupa mgawanyo sawa lazima yakupige ukizingua yanakuacha na madhahabu yako yakuozee
 
Sio mara ya kwanza Mondii kuzungumzia ichi kituu. Malegend wa bongofleva wengi wanaishi maisha ya njaa kutokana na kutoutambua muziki wao kuwa ni Biashara.

Biashara inaanza na cost then profit. So unataka kutoka cost unailipaje?(kumbuka cost ni sawa na deni la benk) Rudisha kwanza then utoke. Na kwa kuzingatia hayo ndiyo maana anayelipa anaachwa awe Huru.

Wasanii wengi wanaendekeza njaa tu lkn jambo kuu la kumsaidia mtu usiyejua atarudisheje pesa yako ni risky. Kuna kifo, kuna kuumwa n.k Unayemsaidia akipata haya matatizo anarudishaje cost za boss wake??
Wanasahau muwekezaji kacheza kamari, inaweza tokea akaliwa. Je, huyo msanii anaweza kurudisha gharama ili wagawane hiyo hasara!?
 
Msanii wa kimataifa Diamond Platnumz akifanyiwa mahojiano na kituo Cha habari cha DW Swahili nchini Germany amejibu baadhi ya maswali aliyoulizwa na mwanahabari Moja Kati ya swali ni kuhusu tuhuma ya baadhi ya watu kusema Wasafi ni wanyonyaji.

Diamond amejibu kama ifuatavyo

Nimekuwa nikiwachukua wasanii wachanga nakuwaleta Wasafi wakiwa hawana majina na kuwageuza kuwa biashara kwa kuwekeza hela nyingi unakuta natumia mpaka 500M Kwenye uwekezaji kwa msanii mmoja katika kubrand, kumtangaza na kufanya sanaa yake iwe kubwa ndio maana baada ya kumchukua msanii tunamfundisha vitu vingi Kwenye industry ya mziki ambayo alikuwa hajui tunamsaidia kwenye kuimba, kucheza na namna ya kumaintain status yake kwenye mziki ndio maana unakuta kabla ya kumtoa msanii inatuchukua miaka au miezi ili kumfanya awe full package kabla atujamtambulisha kwenye industry.

Industry yetu inazidi kukuwa na baadhi ya mambo watu wanaanza kuyaelewa hasa yanahusu biashara ya mziki tunachofanya sisi Wasafi ndio hata industry ya mziki wa Marekani wanafanya kwenye label nyingi shida ni Moja msanii ukishamfanya kuwa mkubwa na akishaona hela nyingi zinaingia kwenye label anaingia tamaa anatamani hela yote angekuwa anapata yeye ndio maana anaona kama ananyonywa anashindwa kujua hii ni biashara na tuwekeza hela nyingi kwake hakuchangia chochote kipindi tunamkuuza.

So lazima kuwe na return ya kile tulichowekeza mfano mimi sio kwamba hela zote napata pekee yangu lazima niwalipe wakina Sallam, Babu tale na Mkubwa fella ndio biashara ilivyo hauwezi kuondoka kirahisi tu njoo hapa tumalizane wakati pia hii label inalipa kodi na ipo kisheria na inatambulika na mamlaka ya mapato mfano last year tumelipa kodi 100M hivi tukikuachia kirahisi tu nani atalipa kodi? Hivi kuhusu kipaji kingine tutachokileta kwenye label nani atagharamia?

Nini Maoni yako kwenye majibu haya ya Mondi
Diamond pole sana na bahati mbaya mno huenda ulikuwa hujaijua tabia ya Mswahili Masikini ambapo ukitokea tu Umemuibua na kumfanya kuwa Mtu akishafanikiwa ataanza kushikiwa Akili na Watu ambao hata hawakuwa na nia ya Kumsaidia na Kuanza Kukutukana, Kukudhalilisha na Ku Kukuona mbaya na Adui yake.

Maelezo yako yote nimeyaelewa na nayaunga mkono tena kwa 100% na huo ndiyo Ukweli kuwa huwezi Kuokotwa ulikokuwa halafu Watu wakutengeneze kwa Gharama zao na wasirudishe Pesa yao ( Uwekezaji Wao ) Kwako ukizingatia hapo mnafanya Biashara na siyo Kanisani au Msikitini ambako ndiko kuna Hisani na Msaada kwakuwa ni sehemu Takatifu Kiimani.

Umejibu Kiuweledi na Umekomaa sasa Diamond na hii ndiyo faida ya kuwa na Management nzuri na Exposure ya nchi mbalimbali na Kukutana na Wasanii Wakubwa duniani.

Kwa sasa Diamond ni Tanzania na Tanzania ni Diamond. Ni sawa na Simba SC ni Tanzania na Tanzania ni Simba SC ukilikataa hili lazima utakuwa na tatizo la Akili ( Uwendawazimu )

Nakukubali mno Diamond piga Kazi!!!
 
Kama ingekuwa investment inafanyika kwa HURUMA basi hata Hamorapa angesainiwa wasafi...

Nani amekwambia BSS ndio kipimo cha wanamuziki wazuri?
Ndugu mdau, Harmonize kasainiwa akiwa bado takataka kabisa. Unaweza kutaja ngoma hata moja aliyekuwa nayo inayofahamika kabla hajasaini Wasafi? Ilikuwa kamari kubwa Sana , na asilimia 60/40 Ni fair mno. Investment hii kuifanya lazima uwe na Imani kweli kweli.

Tofauti na Rich Mavoko ambaye yeye tayari alishatoka na labda angehitaji nguvu ndogo kum_push zaidi. Huyu angeweza kustahili apewe hata asilimia 50 au hata 60. Kwa kuwa huyu hakuwa risk Sana kwa uwekezaji kwa kuwa mtaji wa kuwa kwenye indusrty na siasa zake alikuwa nao.
 
Ndugu mdau, Harmonize kasainiwa akiwa bado takataka kabisa. Unaweza kutaja ngoma hata moja aliyekuwa nayo inayofahamika kabla hajasaini Wasafi? Ilikuwa kamari kubwa Sana , na asilimia 60/40 Ni fair mno. Investment hii kuifanya lazima uwe na Imani kweli kweli.

Tofauti na Rich Mavoko ambaye yeye tayari alishatoka na labda angehitaji nguvu ndogo kum_push zaidi. Huyu angeweza kustahili apewe hata asilimia 50 au hata 60. Kwa kuwa huyu hakuwa risk Sana kwa uwekezaji kwa kuwa mtaji wa kuwa kwenye indusrty na siasa zake alikuwa nao.
Umeongea point kubwa sana
 
Million 500 my foot?









Huo NI uwongo bhana huo NI uwongo






Atoe mchanganuoa million 500 ni kubwa sana
Ambacho huelewi nini.kwani huoni hiyo ni mifano katoa.Ata kama imetumika laki mbili ni pesa pia.yeye kaongea mifano tu kua kuna uwekezaji unafanyika.
 
Back
Top Bottom