Diamond Platnumz akiri kuwa anapenda sana nyoka

Hujakutana na koboko bro ,
Ww ulishakutana nae au unaongea tu. Mimi nimeandika kutokana na nimeshayaona hayo sisemi stori tu na japo wametolewa sumu ila badi wanakua na tabia za kugonga ukimshika hana meno ila atafanya kama vile anakuuma wewe umejazwa stori za mitaani mara anaota nywele kama kiduku mara anakimbia akiwa kasimama hizo ni stori zawatu ila uhalisia bado koboko sio nyoka hatari zaidi japo anasumu kali sana
 
Nyoka jau sana aise
 
Ohoo pole Sana sister. Alikuwa nyoka gani?
 
Koboko nimekutana naye mara mbili katika mihangaiko yangu, ni near death experience na wala sitaki kukutana nazo tena

Mara ya kwanza ilikuwa ni serenje Zambia , nime drive usiku kucha ilipofika alfajiri nikatafuta parking rest bay nikalala sasa gari ni canter kwa hiyo kulala kwangu nimeweka miguu upande wa kushoto kichwa kipo kulia dirishani, nilikuja kushtushwa na mlio wa meno yake kwenye kioo kama nisingefunga kioo alikuwa ananiua, ,
Mara ya pili nimekutana naye hapo Tura njia kuelekea Tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…