Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAtanzania tusimame na Burna boy, watesi wetu akina Dai tuwaache , ni wanynya damu.Jua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849
S0672/0227/2007Wewe ulipata zero form four
Jina ni hilo hilo kwenye ID? 🤣S0672/0227/2007
Nenda web ya necta alafu urudi hapa pimbi wewe
Hilo hilo akaangalie hiyo Zero nilipataJina ni hilo hilo kwenye ID? [emoji1787]
Wacha bhana... Au sio?Kwa akili yako unamanisha makaratasi , thinking capacity yako ni level ya vibwengo
Lakini we si umesema kapata zero au?[emoji1787][emoji119]Kwa akili yako unamanisha makaratasi , thinking capacity yako ni level ya vibwengo
Umechelewa sana kujua mdausikuwahi kujua kuwa mataga wa madale wana vichwa vitupu namna hii.
DjadjaNaona wengi mnaojadili hii tuzo mnamzungumzia Mondi na Burna kama ndio wapo wenyewe tu, mnamjua Aya Nakamura?
Punguza spanaLakini we si umesema kapata zero au?[emoji1787][emoji119]
Kabla hujamzalia rayvan Tayar ushaanza kujitongozesha kwa shemeji mtu? We mwanamke kwel ni mtumbad.Ngoja niwajibu Tu kiroho safi nyie vichwa maji , nimesema mashabiki Wana ushawishi pia na sio kwamba ndo wanapiga Kura , support inapokuwa kubwa zaidi unaongeza ushawishi wa kushinda ...mmenielewa nyie viroboto
Watu wanajiropokea ropokea tu..Naona wengi mnaojadili hii tuzo mnamzungumzia Mondi na Burna kama ndio wapo wenyewe tu, mnamjua Aya Nakamura?
Hebu pumzika kidogo kunywa maji baridi upoe kidogo.Mkuu wakina kigogo na Sarungi wao wanapigaje kura?
Hatari na nusuJua linazidi kuchomoza Kwa mtanzania Diamond Platnumz kwenye tuzo za BET dhidi ya nguli wa Mziki Burna Boy ...
Akiwa under high criticism kuhusu support kwenye nchi yake mwenyewe nguli huyu wa Bongo fleva asiyejua kukata tamaa wala kupumzika ameendelea kupambana to the bitter end... Na sasa matunda yameanza kuonekana .....
Mashabiki zake wamedhidi kumpambania "Fiercely to the last " ili kushawishi tuzo hyo itue bongo land....
Tunaendelea kumtakia kila lakheri, shujaa wa Africa 🙏View attachment 1808849