Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Diamond Platnumz badili mwenendo before it’s too late!

Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Msianze kututoa kwenye reli, sasa hv tunafatilia DP world na bandari zetu, na maisha magumu, Mambo ya hear say, na umbea, hapa sio mahala pake!
 
Ukute hata Mondi mwenyewe Hana shida na hayo madawa afu sisi huku tunaanza kumshobokea kwa kumsikitikia.

Mimi Bora nipambane mkono uende kinywani maisha ya watu hayanihusu
 
Hii tabia ya Wabongo kuwatungia wenzenu uongo bila ushahidi wowote sijui mtaacha lini?
Uzushi huu haujaanza Leo wa Jana Toka miaka hiyo maneno ni hayo hayo mnafanya kuyabadili tu, lkn Cha ajabu hakuna hata mmoja aliewahi kuja na ushahidi wa wazi kutuonesha yote hayo.

Unasema umeambiwa na mtu wa karibu je ameshindwa kukupa ushahidi? Yaani wewe ukiambiwa kitu tu kisa kimetoka kwa mtu wa karibu basi ndo ukweli?

~Mlianza jamaa ni freemasons - ikabuma
-jamaa ni shoga ikabuma
- jamaa natomb... Na mama yake
-sijui jamaa kauza roho ikabuma now day mpo na unga? Isee kweli bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi.

Haya niffer na huyo unaemshabikia mbona anavuta bangi waziwazi? Au bange haina madhara? Bange imeharalishwa? Hivi unajua wanaotumbukia kwenye drugs wanaanziaga wapi?.
Watanzania acheni tabia kuchafua cv za watu kwa maneno ya kuokoteza, watu wanahangaika miaka na miaka kutengeneza cv zao alafu anakuja mjinga mmoja kutunga tunga habari zisizokua na kichwa Wala miguu.
 
Wewe unaongea kama ni kweli anatumia wakati nikosoma maelezo yako hayaoneshi ushahidi kwa unachoongea sababu zenyewe mnazotoa ni za kitoto sijui kakonda, mwingine anasema sijui nyimbo anazotunga, sijui kachanganyikiwa sasa mkuu wewe upunguaji? labda angekuwa ni mnene alafu angepungua sana angalau hapo, Hakuna wakati unafanya jambo la ajabu ukiwa na stress? Mwingine anasema nyimbo anazotunga now zina matusi lakini anasahau huyo huyo kaachia Zuwena na Yatapita nyimbo ambazo zina ujumbe mzuri na wala hazina matusi.

Kinachomfanya diamond achoke ni hard worker yake hapati muda mwingi wakupuumzika juzi tu kaenda kufanya show Kenya kaperform masaa ma3 jukwaani kesho yake ambaye ni jana karudi tz kaenda kufanya show kahama nakaperform masaa ma3 tena kamaliza show alfajiri akitoka hapo anarudi tena kuendelea na majukumu ya media yake na kusimamia label yake ya Wasafi hivi mnazani kuendesha vitu vingi kwa pamoja ni kazi ya kitoto? Hivi The Undisputed hivi hawa wanaelewa hivi vitu kweli?
Hahahahaha, si kasema ana chanzo cha kuaminika ndio wamempitishia za chini chini
 
Hii tabia ya Wabongo kuwatungia wenzenu uongo bila ushahidi wowote sijui mtaacha lini?
Uzushi huu haujaanza Leo wa Jana Toka miaka hiyo maneno ni hayo hayo mnafanya kuyabadili tu, lkn Cha ajabu hakuna hata mmoja aliewahi kuja na ushahidi wa wazi kutuonesha yote hayo.

Unasema umeambiwa na mtu wa karibu je ameshindwa kukupa ushahidi? Yaani wewe ukiambiwa kitu tu kisa kimetoka kwa mtu wa karibu basi ndo ukweli?

~Mlianza jamaa ni freemasons - ikabuma
-jamaa ni shoga ikabuma
- jamaa natomb... Na mama yake
-sijui jamaa kauza roho ikabuma now day mpo na unga? Isee kweli bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi.

Haya niffer na huyo unaemshabikia mbona anavuta bangi waziwazi? Au bange haina madhara? Bange imeharalishwa? Hivi unajua wanaotumbukia kwenye drugs wanaanziaga wapi?.
Watanzania acheni tabia kuchafua cv za watu kwa maneno ya kuokoteza, watu wanahangaika miaka na miaka kutengeneza cv zao alafu anakuja mjinga mmoja kutunga tunga habari zisizokua na kichwa Wala miguu.
Hahahahahaha
 
Naandika hii thread kwa machungu sana, hili limeniwia vigumu sana kulisema hapa, lakini imenibidi!

Siandiki nionekane nilisema, wala sipendi siku thread hii ije kufukuliwa kwamba yametimia, wala siandiki kama umbea. Hili ni suala serious juu ya kijana mwenzetu huyu maarufu pengine kuliko kijana yeyote kutokea katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya.

Ni nini kimekusibu Naseeb? Kwanini ulifikia uamuzi huo wa kutumbukia huko ulikotumbukia? Imeniumiza sana, kweli!
Mimi sio shabiki wako, ila siwezi kupinga wewe ni Icon, watu wanakutazama kama nembo ya upambanaji!
Na sidhani kama unajua wewe ni mtu mkubwa kiasi gani! Mambo mengi ambayo huwa unafanya yanathibitisha hilo, hili pia likiwemo.

Ndugu unayesoma haya, kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa masuala ya wasanii na maisha yao hasa hapa kwetu Bongo lazima utakuwa umewahi kusikia tetesi za Diamond kutumia madawa ya kulevya, mengi yamesemwa… wengi wamesema.

Alianza Harmonize kipindi wapo kwenye ‘bifu’ kali baada ya kuachana na iliyokuwa label iliyomsimamia katika safari yake ya muziki ambayo mmiliki ni Diamond, kila mtu anajua jinsi mtifuano ulivyokuwa mkali baada ya Harmonize kuondoka.
Na katika mtifuano huo ndipo Harmonize alituhabarisha kuwa Diamond ni mteja wa madawa ya kulevya, binafsi sikuamini na niliomba isiwe kweli.
Sikuamini kwakuwa katika ugomvi kila mmoja atasema lolote la kumuumiza mgomvi wake, haikuwa na mashiko sana.

‘Dada wa Taifa’ Mange nae mwaka huu amehakikisha kwa kujiamini kabisa kuwa Diamond anatumia madawa ya kulevya, amesema hivyo mara nyingi… pia sikuamini.

Sasa baada ya maneno na tuhuma hizo juu yake mimi binafsi nikaingia ‘chimbo’
Kila mmoja ana chanzo chake kikuu cha habari, hasa kwa sisi wadau wa habari zote ngumu na nyepesi…
Nikauliza ili nijihakikishie je ni kweli yanayosemwa!
Nilichoambiwa ndicho kimenifanya niandike hii thread, nilijibiwa kiufupi kabisa, “NI KWELI ANATUMIA”

Siko hapa kubishana wala kumshawishi yeyote akubaliane na chanzo changu, mimi mwenyewe ndio naujua uzito wa chanzo changu hicho nyeti. Kiufupi ni kwamba chanzo changu hiki kikiniambia kesho nitafariki naanza kabisa kutubu!

Lengo kuu ni kuongea na muhusika mkuu, Jamii Forums ni platform kubwa pengine atafikishiwa haya.

Tafadhali Naseeb, badili mwenendo. Bado hujafikia hatua mbaya, unaweza kuacha kuanzia sasa ukarudi ktk hali yako ya kawaida.
Hukuona yaliyomkuta Whitney Houston? Wewe una ukubwa gani kumzidi malkia yule wa muziki wa muda wote?

Mifano ni mingi, kwa maslahi ya Taifa tusingependa siku ifike na wewe tukutolee mfano.
Wewe ndiye unayeujua ukweli zaidi kwanini umefikia hatua hiyo, ila tafakari nafasi yako ulipo na ubadilike.

Nifah
Mavazi yake na muonekano niliweka shaka iweje MTU ajiweke na avae vile km shetani na kufanana km wale wabwiaji wa majuu? Kwa Leo namshangaa mama yake anashinda nae kila Dk anashindwa hata kuwa na mke
 
JAmaa ukimwangalia vizuri, huhitaji hata daktari kuthibitisha, dawa zimemkolea yuko half-way akiongeza speed kidogo mwendo anaumaliza.

Zuchu?
Unahisi yuko salama hadi sasa?
Mm mtu yeyote anae kunywa pombe ama kuvuta Bangi ,ugolo, gundi, vigae,Madawa ya kulevya nikimtizama tu namjua nimewai kuwa hicho kitengo kipindi Fulani kukutana na waathirika mbalimbali wa vilevi kulinipa uzoefu mkubwa sana kutokana na kukutana na waathirika mbalimbali nikapata uzoefu mkubwa sana....

Ie.kuna watu ni abnormal creatures anaweza kutumia na still huwezi mjua Kwa vyovyote........

Sema sijapata muda wa kumtizama diamond platnum Ili ku observe

Cc. Rose muhando nyuma ya pazia na yeye alikua anatumia sabb ya shows na kupata energy Madawa ya kulevya huleta good vibe yakitumiwa Kwa wastani ukizidisha NDIO unakua mteja na ni alosto zaidi ya mvuta sigara na mnywa pombe...
 
Huu n mwaka wa sita km c wakumi mnaimbaga wimbo huo huo mara anatumiaa madawa mara n freemason ,mara anawala wenzie jicho ,

Ss ww dai afanye yt ww unapata tabu gan mkuu hapo ulipo ,,

Acha kupangiaa mwenye Hela zake starehee yakufanyaa..
Vyawa wake washavamia uzi.

Ila mkumbuke, binadamu akifa na vyawa hukosa makazi na kufa.

Msimdanganye, Hakuna madawa mazuri. Mastaa wakubwa duniani walioyatumia wameishia kuharibika beyond repair.

Mwambieni dogo aache ujuaji, atakufa na nyie mkufe!
 
Madawa ya kupevya addiction yake hatoboi wako wasanii wengi ulaya yamewakuta makubwa hata hapa bongo,
Pengi uvumi huu unaweza usiwe na ukwel lakin platnum anaviashiria vyote vya ulevi ulio pitiliza either Ngada, pombe kali au sembe maana sauti yake imekuwa kama teja flani mwili ndo unaisha, sijui pengine labda ni ngoma au ugonjwa fulani unamfanya ivo hatujui sana lakin shabiki tuna uhakika something is wrong japo hatujui ni nn 100%
 
Madawa ya kupevya addiction yake hatoboi wako wasanii wengi ulaya yamewakuta makubwa hata hapa bongo,
Pengi uvumi huu unaweza usiwe na ukwel lakin platnum anaviashiria vyote vya ulevi ulio pitiliza either Ngada, pombe kali au sembe maana sauti yake imekuwa kama teja flani mwili ndo unaisha, sijui pengine labda ni ngoma au ugonjwa fulani unamfanya ivo hatujui sana lakin shabiki tuna uhakika something is wrong japo hatujui ni nn 100%
labda anavuta skanka
 
Back
Top Bottom