Diamond Platnumz uwe na utu!

Diamond Platnumz uwe na utu!

Mwenyewe ananikera sana siku hizi huyu mondi. Najaribu kuto mix maisha yake ya kazi na binafsi lakin nashindwa

Ndio maana zari anamuita mwanae Tiffah Hassan.

Sent from my MI NOTE LTE using JamiiForums mobile app
Domo anakujua?

Tombatomba idevice Model TH 45
 
Huo ndiyo ukweli.

Kila mtu ana majanga yake inapokuja katika maisha binafsi.

Pia, hizi hela kuna watu wanazipata kwa masharti magumu kwa hiyo vigezo vya kupewa hizo hela ni lazima yazingatiwe regardless who is in trouble.

Kwa mfano, members wote wa FreeM , huwa hawatoi hela zao kwa ajili ya matibabu wala kuwa na huruma na mtu hata akipatwa na msiba.

Kwa hiyo, hili game tukae pembeni tukiwa na popcorns na soda baridi tuendelee kusoma game.

Ninayo , mengi ya ajabu ya kuandika, ila Kwa sababu naogopa ban na defamation naomba nishie hapa.

Nitarudi tena toleo lijalo.
Sasa mbona unaongea mambo ya 2007 afu unaita ya ajabu, ajabu kwa nani??
 
Macho yote ya familia ya zarina hassan mzazi mwenzie diamond pamoja na wana familia wote kutoka sehemu mbali mbali wanazo ishi wamekusanyika kumjulia hali mama yao anaye sumbuliwa na maradhi ya moyo kutokana na kua mgonjwa mahututi mana yupo under intensive care unit (ICU)
Chakushangaza wewe diamond unafanya home party kwa furaha ukishika misambwanda ya wadada mbalimbali ulio waalika madale kipindi ambacho mzazi mwenzio yupo kwenye matatizo, dogo haya maisha tu leo hii una party kesho kitandani hoi sisi ni binadamu tunapita kama shabiki umenikera sana mkeo kutwa ana omba tumuombee bibi tiffa wewe unakula happy na video una rekodi uo ni ushamba na kukosa utu, hivi ange umwa mama yako zari afanye party kwao aalike midume ungefurahi? Tabia mbaya baba tiffa.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji20]
27bd2d24a502d5b34021cc17034f9c82.jpg

c69407fb3a557a9512d18c04d171cfff.jpg

562c1ba0aba2ced15bac3c283bbd71ab.jpg

Video inagoma kupandisha wataalamu ileteni
Dada ahsante
 
Huo ndiyo ukweli.

Kila mtu ana majanga yake inapokuja katika maisha binafsi.

Pia, hizi hela kuna watu wanazipata kwa masharti magumu kwa hiyo vigezo vya kupewa hizo hela ni lazima yazingatiwe regardless who is in trouble.

Kwa mfano, members wote wa FreeM , huwa hawatoi hela zao kwa ajili ya matibabu wala kuwa na huruma na mtu hata akipatwa na msiba.

Kwa hiyo, hili game tukae pembeni tukiwa na popcorns na soda baridi tuendelee kusoma game.

Ninayo , mengi ya ajabu ya kuandika, ila Kwa sababu naogopa ban na defamation naomba nishie hapa.

Nitarudi tena toleo lijalo.

Mkuu naomba utufumbue macho zaidi Poise
 
Ndo shida ya kudate viben ten yaani utulivu zero kabsa..! Zari pambana na hali yako, Mond ndo kwanza hata 30 hajafikisha kazi unayo.
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaodiss waleta thread zinazozungumzia maisha binafsi ya celebs!,,,kwani ni nini maana ya jf-celeb forum??si kujua matukio,vimbwanga na mambo kadhalika ya celebrity??

Kujifanya mna shughuli kibao za kufanya!!hampumziki kwani?,,,Mara oooh nyie wafuatilia maisha binafsi,mara shilawadu!!!,,mie naona nyie mnaodiss hizo habari ni ulimbukeni tuu,,kujua maisha binafsi ya watu maarufu sio dhambi,sio umbea,,ni kawaida sana,,na ndio moja ya lengo la kuanzishwa kwa jukwaa hili
 
Huwa nawashangaa sana watu wanaodiss waleta thread zinazozungumzia maisha binafsi ya celebs!,,,kwani ni nini maana ya jf-celeb forum??si kujua matukio,vimbwanga na mambo kadhalika ya celebrity??

Kujifanya mna shughuli kibao za kufanya!!hampumziki kwani?,,,Mara oooh nyie wafuatilia maisha binafsi,mara shilawadu!!!,,mie naona nyie mnaodiss hizo habari ni ulimbukeni tuu,,kujua maisha binafsi ya watu maarufu sio dhambi,sio umbea,,ni kawaida sana,,na ndio moja ya lengo la kuanzishwa kwa jukwaa hili
Kweli kabisa

Sent from my SM-A700YD using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ndiyo difference between males and females na pindi diamond angekuwa anamcontrol zari asingeenda katika maziko yale bila Diamond na wangesema mke wa Diamond ambaye ni mke wa ivan wa zamani. Ndo maana sasa uhusiano unayumba. Najua hutakubali ila wanaume si wavulana watanielewa
Hamna kitu kama hicho mdogo angu..... Ukikua utajua kwa nn zari aliudhuria msiba wa ivan
Ila ujue haeajaoana Wale so hawatambuliki popote pale
pia alxhofanya mondi sio sawa yan mama watoto ako unamletea ukauzu? tehtehh
Ushambä ushamba tuu hata uwe nä magorofa ka manji
 
Maisha yake, mbona nyie bibi zenu hamuendi kuwaona huko vijijini
Wakiugua

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Mondi siku hizi cmuelewi kwa Zari

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
kifo cha ivan kitaondoka na wengi

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Hamna kitu kama hicho mdogo angu..... Ukikua utajua kwa nn zari aliudhuria msiba wa ivan
Ila ujue haeajaoana Wale so hawatambuliki popote pale
pia alxhofanya mondi sio sawa yan mama watoto ako unamletea ukauzu? tehtehh
Ushambä ushamba tuu hata uwe nä magorofa ka manji
Acha kukariri nadhani wewe bado ni kijana mdogo. Huwezi jua haya masuala kabla ya kupambana nayo! Hakuna mwanaume ambaye angekubali hata kama ni marafiki tu
 
Back
Top Bottom