Sawa mkuuHoja hiyo Inajibiwa kutokana na Umri wa Mtoa Mada miaka kadhaa Nyuma Juma nature alikuwa msanii Mkubwa sana Pamoja na Kina AY..
Walifanya show South afrika na nchi nyingi za Nje but unfortunately Hawako tena kwenye Ramani...
Kuna miaka Chidbenz alifanya Kollabu zaidi ya 30 na alikuwa na pesa Mbaya sana lakini kwa sasa ni mtu anayeomba..
Nimeuliza miaka ili nijue una experience gani kwenye Mziki Je Mziki umeanza kuujua Juzi miaka ya 2015s au kutoka miaka ya 90s Kipindi Bongofleva inaanza..
Hajui huyo kwamba Chidbenz alikua barozi wa Airtel kipindi hicho Diamond hajawahi hata kuingia studio ya Bob Junior na Chid alikua yupo on Top by that time Ila sasa Nasikia HarufuHoja hiyo Inajibiwa kutokana na Umri wa Mtoa Mada miaka kadhaa Nyuma Juma nature alikuwa msanii Mkubwa sana Pamoja na Kina AY..
Walifanya show South afrika na nchi nyingi za Nje but unfortunately Hawako tena kwenye Ramani...
Kuna miaka Chidbenz alifanya Kollabu zaidi ya 30 na alikuwa na pesa Mbaya sana lakini kwa sasa ni mtu anayeomba..
Nimeuliza miaka ili nijue una experience gani kwenye Mziki Je Mziki umeanza kuujua Juzi miaka ya 2015s au kutoka miaka ya 90s Kipindi Bongofleva inaanza..
Umri wako umeshajipambanua hapa tunapoteza muda tu,Simba la masimba dangote [emoji23]
Daaah ila chid ni almasi inayozidi kupotea ....Hajui huyo kwamba Chidbenz alikua barozi wa Airtel kipindi hicho Diamond hajawahi hata kuingia studio ya Bob Junior na Chid alikua yupo on Top by that time Ila sasa Nasikia Harufu
Usikute ndio unajua leo kipindi hicho hata hujazaliwaDaaah ila chid ni almasi inayozidi kupotea ....
Una utoto mwingi sana alafu una mengi ya kujifunza kutoka kwa wakubwa wako uwe na adabu kiburi chako cha kujitia ujuaji mwingi kuna mengi hutojifunza, kuna kipindi MB Dogg ndio alikua talk of the town usisahauHumu tunatumia I'd fake Mzee ....hapa unaweza Kuta nabishana na ww .....kumbe Mimi baba yako
Kuna msemo unasema "Usilete Ualimu/Ujuaji kwenye Sehemu ya Kujifunza" ..Una utoto mwingi sana alafu una mengi ya kujifunza kutoka kwa wakubwa wako uwe na adabu kiburi chako cha kujitia ujuaji mwingi kuna mengi hutojifunza, kuna kipindi MB Dogg ndio alikua talk of the town usisahau
Kuna mwamba ana itwa kiroboto ..najua humjuiUna utoto mwingi sana alafu una mengi ya kujifunza kutoka kwa wakubwa wako uwe na adabu kiburi chako cha kujitia ujuaji mwingi kuna mengi hutojifunza, kuna kipindi MB Dogg ndio alikua talk of the town usisahau
Ngoja aendelee kuchukua notice tu hakuna namna yupo darasani mda huu, anaendelea kujifunza kumbe nature aliendaga huko Kusini akajaza uwanja wa Lawi Nangwanda Sijaona alafu kuna sehemu alikua anapita kuna Mama akatoka nje kuja kumuona alipomuona akaropoka "Juma Nature ndio huyu mbayaaa" nature akamsikia akazama booth akatunga Ngoma inaitwa "Utajiju" na kipindi hicho kulikua na Trend ya huo msemo wa "utajiju"Kuna msemo unasema "Usilete Ualimu/Ujuaji kwenye Sehemu ya Kujifunza" ..
Naona dogo Anajifanya Mjuaji Hajui kuna wakati Show bila Juma Nature ilikuwa Haifanyiki..
Juma nature hata akiwa Kwenye PA tu show inauza kinoma Miaka ya 2003 na 2004 hiyo ilikuwa Balaa sana..
Watu Nusura Tufukuzwe kazi Miaka Hiyo kwa Kushinda Club 😅😅
Soma comments vizuriKuna mwamba ana itwa kiroboto ..najua humjui
Vipi zile tuzoHv Diamond ana maajabu gan haswaa[emoji28] ila kwel Kiba atakosa msanii wakushindana nae ,
NB : MOND HAJAWAHI KUUWAKILISHA MUZK WA BONGO KIMATAIFA
Hiyo nyimbo hata uganda haikufikaSoma comments vizuri
Ngoma yake ya Mugambo ndio iliyompeleka SA kwenda kupiga show na alipofika kule kabla ya show alilewa kwa hio hakufanya show vizuri, ilikua gumzo mjini maneno yalikua mengi sana
Album pendwa ni UGALI na watu walikula Ugali wakati wa uzinduzi,
Ila SA ni njiapanda ya Ulaya na ilifika huko nini Uganda?Hiyo nyimbo hata uganda haikufika
Kwa hio unakataa J Nature hajawahi kufanya show South Africa na kipindi hicho anasimamiwa na Saidi Fella?Labda ulaya ya namtumbo
All the best mkuuKumbe kuna fursa kwenye distribution industries
Ngoja nilifanyie study nione kama naweza kuwa dealer kwenye hiyo sekta
Hopefully tunaweza kupata vimia 2 mbili
Ndio maana nmesema huna akili mkuu[emoji23][emoji23]
Yaani quality ya movie za kanumba mwaka 2011..enzi hizo . una compare na saizi .... invention imekuwa kubwa kwenye vifaa .....
Kama lipi kakaSahihi ila Kuna magep Huwa ni ngumu kuya jaza ....