Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Pengo lake litachuku muda kulikaba....au haitawezekana kabisa
Dunian akitamba maiko jako mzee
Si hyo kavuta wako wengine
Sema kikubwa pesa aliyotengeneza
Aitunze azidi
Naa kwenye kutengeneza pesa na hapo namkubali

Ova
 
Muziki wenyewe trash.
 
Tunataka kuona watanzania wakishiriki grammie mzee

Hizo tuzo za mchangani tushazizoeaa

Ova
Ni watanzania wangapi wanashiriki hizo za mchangani? Hujui llte khsu muziki ww, et MTV EMA, BET ni tuzo za mchangani 😂 😂 na "grammie" ndio sio ya mchangani au unadhani Grammy ni km TMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…