Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Ndugu muziki haujui ww na thibitisha tena kuwa unachekesha, " Burna yupo inspired na Fella" akifanya Diamond copy cat. Na ndio maana nakwambia uache ngenga burna ka copy kila msanii unayemjua ww za wasanii wakubwa mbali mbali US hadi Africa ila unaleta ngenga et yupo inspired. Album zake zote ana copy kutoka ngoma tofauti na uache kulainisha maneno et inspired.

Na aliyekwambia msanii hili aache legacy kwenye tasnia inabd awe na sound yake ni nani? Acha kuwa mvivu wa kufikiri, umesema Michael Jackson alikuwa King of pop na Ashanti Queen rnb, je swali kwako hao ndio walikuwa waasisi wa hizo genre?

Psquare wana legacy kubwa kwenye muziki wa Africa na duniani kwa hiyo afro beats na afro fusion ndio walikuwa waasisi?

Et Mb Dog alikuja na muziki wa mapnz ya Tanga 😂 😂 hiyo ni bongo fleva ambapo pia ni rnb. Jux zamani alikuwa akiimba rnb ila sasa a a switch anafanya hadi afro pop, amapiano.

Apart from Diamond tuambie ni msanii gani wa bongo fleva umemuona kwenye matamasha makubwa ya muziki Africa na duniani? Msanii gani wa bongo fleva anaweza kupiga stadiums shows in Africa husasan Western countries km yupo mtaje.

Before Diamond tuambie msanii gani wa bongo fleva ulimuona kwenye tuzo kubwa au wasanii wa bongo fleva walikuwa na hiyo consistence ya ku appear kwenye tuzo kubwa kila mara?

Msanii pekee wa bongo fleva ku appear kwenye tuzo kubwa za kimuziki ni Sir Nature alipata nomination ya MTV EMA baada ya hapo ilichukua miaka mingi hadi Diamond kuja ku appear tena na kuibeba.

Ulivyo mvivu kufikiri, et Diamond anaiga vionjo kutoka kwa walioendelea, je ni msanii yupi duniani haigi vionjo kwa kitu chenye soko? Km yupo mtaje Ali kiba tu baada ya kuona Despacito ni global hit na yy akaiga vionjo, huyo harmonize kila siku anaiga, Davido ka copy vionjo kutoka kwa Focalist, Chris brown kamlipa hadi dogo msauzi atumie vionjo vyake, burna ndio daily routine yake.

Ww ndio maana nakwambia punguza chuki, wakifanya wengine et wako inspired akifanya Diamond ka copy..... kuna msanii uliwahi kumsikia amefungulia Diamond mashtaka? Au na ww ndio unalipia buku buku za Mange..........

Jibu swali ni msanii yupi wa bongo fleva awe wa kiume au wa kike anayemfikia au kumkaribia Diamond kimataifa, km wapo wataje na uje na facts km hawapo basi bongo fleva itapotea ktk ramani ya kimataifa
hana sound = Hana contribution kwenye Bongo flava as a genre = hana powerful artistry of music = commercial artist.

Hujabisha hili hivyo, hayo Mengine ni mayowe yako mkuu

Good day sir 🙏🏽
 
hana sound = Hana contribution kwenye Bongo flava as a genre = hana powerful artistry of music = commercial artist.

Hujabisha hili hivyo, hayo Mengine ni mayowe yako mkuu

Good day sir 🙏🏽
Na hivyo vigezo ulivyo viweka havitumiki kuthibitisha ubora wa msanii ni mtu mwenye akili finyu km yako ww ndio ata fanya hivyo.

Kupitia Diamond ameleta top artist in East Africa and Africa ambao wana nguvu kuliko ata kiba na the rest anatokea mtu kashiba mihogo anakwambia Diamond hana legacy kwenye bongo fleva kwa vile hana sound 😂 😂 😂. Punguza chuki ndugu ubongo ufunguke acha kukaza nati

Tutajie wasanii wa 5 wa Tz active artist wenye sound na contribution kwenye bongo fleva.

Here to say, una uwezo mdogo sana wa kuchanganua.
 
Na hivyo vigezo ulivyo viweka havitumiki kuthibitisha ubora wa msanii ni mtu mwenye akili finyu km yako ww ndio ata fanya hivyo.

Kupitia Diamond ameleta top artist in East Africa and Africa ambao wana nguvu kuliko ata kiba na the rest anatokea mtu kashiba mihogo anakwambia Diamond hana legacy kwenye bongo fleva kwa vile hana sound 😂 😂 😂. Punguza chuki ndugu ubongo ufunguke acha kukaza nati

Tutajie wasanii wa 5 wa Tz active artist wenye sound na contribution kwenye bongo fleva.

Here to say, una uwezo mdogo sana wa kuchanganua.


The Undisputed, nimekupa na like 😁😁. Haya sasa tulia na uache kuhangaishana na sisi tulio na uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua.
Sawa genius, uwe na siku njema mkuu😁🙏🏽
 
Na hivyo vigezo ulivyo viweka havitumiki kuthibitisha ubora wa msanii ni mtu mwenye akili finyu km yako ww ndio ata fanya hivyo.

Kupitia Diamond ameleta top artist in East Africa and Africa ambao wana nguvu kuliko ata kiba na the rest anatokea mtu kashiba mihogo anakwambia Diamond hana legacy kwenye bongo fleva kwa vile hana sound [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Punguza chuki ndugu ubongo ufunguke acha kukaza nati

Tutajie wasanii wa 5 wa Tz active artist wenye sound na contribution kwenye bongo fleva.

Here to say, una uwezo mdogo sana wa kuchanganua.
Mwambie Kuna muda . List ya wasanii waliofanikiwa ilikuwa hivi
Diamond
Harmonize
Zuchu
Rayvanny
Mboso
Marioo
Alikiba
Lava lava

So ukicheki hapo ... vichwa vingi vya mond ......Sasa mnataka mond atoe contribution gan hap tz[emoji23]
 
Mwambie Kuna muda . List ya wasanii waliofanikiwa ilikuwa hivi
Diamond
Harmonize
Zuchu
Rayvanny
Mboso
Marioo
Alikiba
Lava lava

So ukicheki hapo ... vichwa vingi vya mond ......Sasa mnataka mond atoe contribution gan hap tz[emoji23]
Ajulie wapi muziki, traceeastern, mtvbaseeast, soundcityeast baadhi tu ya hayo mbona hayakuja kipindi cha dully au mb dog, ata tokea mtu atakwambia haja contribute chochote kwenye bongo fleva yaani anachagua angle yake aeneze chuki utamsikia huyu sio mwanafunzi kinara kwa vile hajapiga kiwi viatu, nonsense
 
Kuna mtu kacopy content yako bika acknowledge..

Screenshot_20240113-165854.png
 
Kila chenye pumzi ipo siku pumzi itakata na dunia ipo na inaendelea wamekufa watu mashughuli akiwemo JK Nyerere kwani Tanzania imekufa?
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

 
Daimond ameikuta BONGO fLEVA inazungumziwa kwenye ramani ya DUNIA

Daimond afe au aweCHIZI wa kufungwa minyororo "BONGOfleva itaendelea kuishi__mwisho wa BONGOfleva ni KIAMA (mwisho wa DUNIA")
 
Daimond ameikuta BONGO fLEVA inazungumziwa kwenye ramani ya DUNIA

Daimond afe au aweCHIZI wa kufungwa minyororo "BONGOfleva itaendelea kuishi__mwisho wa BONGOfleva ni KIAMA (mwisho wa DUNIA")
Lkn nani ataipeleka kimataifa??
 
Daimond ameikuta BONGO fLEVA inazungumziwa kwenye ramani ya DUNIA

Daimond afe au aweCHIZI wa kufungwa minyororo "BONGOfleva itaendelea kuishi__mwisho wa BONGOfleva ni KIAMA (mwisho wa DUNIA")
Romania ya dunia????? Acha uwongo ndugu ingekuwa hivyo basi muziki wa Tz ungekuwa unawakilishwa na wasanii wengi kimataifa.... WCB ndio label au wasanii wa kwanza Tz ku dominate ktk tuzo kubwa za muziki duniani mfano BET, MTV EMA hadi kuwa considered for Grammy.........

WCB ndio label ya kwanza kutawala ktk matamasha makubwa ya muziki kwa bongo flava kuliko msanii yyte yule kutoka Tz mfano majukwaa km Afro nation, African music festivals, rayvanny ali perform jukwaa la MTV EMA, kufanya stadium shows katika nchi mbali mbali Africa mfano Guinea, Equatorial Guinea, Ivory Coast na hadi katika mataifa ya ulaya na marekani tena kwa kiwnago cha juu kuliko msanii yyte yule Tz.

Nature aliwahi kuwa nominated katika tuzo kubwa na baadhi kuchukua km Channel O na MTV EMA na kidogo Jay dee....... Em sasa tufafanulie kabla ya Diamond muziki wa bongo flava ulikuwa kwenye ramani ya dunia kvp???????
 
Nakupinga kwa hoja.....
Kusema diamond akifariki na mziki wa bongo utashuka si sahihi kwani Tayari -
  • Tanzania imeshatambulika kimataifa ndio maana akina konde wanaenda kuchukua tuzo za kimataifa mara nyingi tu.
  • media haziwezi kukosa kitu cha kupost hata siku moja, Yaani akina kimambi na akina Ayo wanaelewa wanachokifanya so that gon be not a problem.
  • Wasanii waliopo wanaukimbiza mziki vizuri kabisa, waangalie akina mario, akina chino, wanavyofanya vizuri.
  • Chance za collable na wasanii wa nje zipo wazi sana.
We appreciate the job done by Naseeb Abdul in his struggle to take our music to the next level, yet he has done a great great job, Lakini kusema akifa na mziki umekufa thats nah true.
Hao unaowasema hawana uthubutu wa kupush mziki wetu kimataifa kama anavyofanya chibu,Yan uwepo wake ndio unawakumbusha au kuwaamsha
 
hawa sio akina chegge wala temba, wasanii wa sasa wote ni wabunifu na wanafanya mziki wao kama biashara!
Ni kweli wanafanya kibiashara lakini bado Mond ndiye anaepush Zaid mziki wa Tz,Yan wakina Harmo,Alikiba etc hawana nguvu kama ya Mond nje ya Tz
 
Diamond ana tuzo MTV EMA African act 2 na MTV EMA African/Indian act....... Kiba ana MTV EMA African act

Diamond Traceawards best EA artist...... Kiba hana
Diamond Soundcity best african artist.... Kiba hana
Diamond The Headies best EA artist........ Kiba hana

Na sio kiba tu bali msanii yyte yule mbali Diamond hakuna mwenye hizo tuzo

Tuendelee ama tusiendelee
Tunataka kuona watanzania wakishiriki grammie mzee

Hizo tuzo za mchangani tushazizoeaa

Ova
 
Bongo "Flava" Ni sawa na kusema ladha ya muziki kutoka bongo na ndani yake kuna sounds tofauti tofauti ambazo zipo ndani ya GENRE moja

Ni sawa na useme Bongo bangra ya Akili the brain au baibuda alizopromote sana Kassim, au bongo flava ya mwanzoni iliyoegemea kwenye Zouk Rhumba ambazo zilipendwa sana na Stara Thomas, Lady Jay dee, Bushoke etc

Kwa hiyo Takeu sio genre ila ni sound ndani ya bongo flava

Ungekuwa unafuatilia muziki ungejua hata nje wasanii ni wengi sana ila kinachowapa mileage ni kuwa powerfully vocally na kiuandishi ili kikubwa zaidi uwe na unique sound

Leo kuna black artist anaitwa SZA anavunja rekodi huko mbele kwa sababu anasound, ukimsikiliza humfananishi na yoyote na RnB anayoimba ni unique

Angalia, Mb Dog, Juma Nature, TID, Mr Nice wote walipata domination kimuziki sababu ya "sound" au musical identity , unataka kujua kwa Diamond ilikuwaje

Diamond alianza kuimba bongo flava aliyoikuta ila alipopata commercial success baada ya My number One ft Davido, hadi leo anaimba chochote kilichopo commercially successful

Ameimba kwaito, sasa hivi yupo na amapiano mara Afro fusion & Beatz, na anacopy kila kitu hadi matamshi ya kipopo na kizulu. Cha msingi INAMLIPA

Ndio maana Diamond atasifiwa sana kimafanikio ila ni nadra tena sana kukuta mtu yoyote anamquote kimuziki kwa sababu kwenye sanaa ya muziki haswa bongo flava, huwezi ona sound yake ambayo ndio tafsiri ya msanii kuwa kamili, genius na impactful kwa Genre yake

Na usimlete Ali kiba sikumtaja popote kwa sababu wote wanaishi kwenye kapu moja na Dai. Focus na Diamond, sitaki mahaba nahitaji FACTS
Kwani hao wasanii wenu sahv wanaimba bongofleva si wana copy miziki ya wanaija na amapiano wasouth
Nyie hamna mziki sahv zaidi wasanii wana copy

Ova
 
Back
Top Bottom