Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Wivuuuu
 
Mkubwa siku hizi sioni nondo zako
 
Chai
 
We Kama Nani bwana mdogo,ungeenda wasafi pale uwaambie
 
Kwahiyo mm nafanya makosa kumwagia tui la nazi shamila wangu maana wote tunafanya kwa muhindi🤔
 
Uzuri wa bongo ukiwa na hela unaweza fanya chochote na ukadunda tu labda wakuloge 🤣🤣🤣🙄🙄
 
Kama mondi kapiga hiyo pisi asilaumiwe hata kidogo. Nchi impe tuzo ya heshima.
Hahaha kwa status ya mondi huyu ni very local mkuu mtaani kuna vyuma vyuma unakumbuka yule wa sinza uliyenipa jina la account yake ya ig!?? Kama yule sasa ndo fire shape namba 8 hii hapa
 
Hahaha kwa status ya mondi huyu ni very local mkuu mtaani kuna vyuma vyuma unakumbuka yule wa sinza uliyenipa jina la account yake ya ig!?? Kama yule sasa ndo fire shape namba 8 hii hapa

I hear you 😂 😂 😂
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…