[emoji57][emoji57][emoji57]Uzi umekaa kifeministi
Duh! Kumbe umenipandisha cheo nimekua baby wako😉Unanifokea baby? Nitakutafutia mwenzako wewe endelea!
Uku afrika wasanii hawana adabu kabisa kisa wanakula sahani moja na raisDayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.
On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
Hasa mama ake, hakuna mwanamke wa mwanae alishampenda yeye anawaza kila mwanamke anafata hela tu, kumbe kuna wengine wana mapenzi kama huyo ZuchuShida ipo kwa ndugu wa mondi
Pia mwanake ni malaya, Diamond hawezi kutulia na mtu labda akifirisika.Hasa mama ake, hakuna mwanamke wa mwanae alishampenda yeye anawaza kila mwanamke anafata hela tu, kumbe kuna wengine wana mapenzi kama huyo Zuchu
Kitendo Cha kutangaza kumwacha mond Mara mbili zote ni ishara tosha kuwa ni mahusiano hafifu na yanaforciwa tushe is acting strong outside but inside she is so depressed,
Duh! Kumbe umenipandisha cheo nimekua baby wako😉
Aya bibie huyu hapa! Binti ni kisu hatari, umeona utege wa mahaba huo🙌View attachment 3241823
Itakuwa kashalala na mwanae anajua utamu wake ndio maana atakiHasa mama ake, hakuna mwanamke wa mwanae alishampenda yeye anawaza kila mwanamke anafata hela tu, kumbe kuna wengine wana mapenzi kama huyo Zuchu
Huyu aidha kafanya kwa wivu baada ya Mondi kutaka kumuoa Zuuh au katumwa na huyo huyo Mondi ili kuipeperusha ndoaIla huyu bibie hajui kuficha siri, yeye ndiye kavujisha
Hata ningekua mimi, hii pisi nisingeiachaKama mondi kapiga hiyo pisi asilaumiwe hata kidogo. Nchi impe tuzo ya heshima.
hawezi kuruhusu utulivu wa maisha ya mwanae kimahusiano anajua akipendwa huyo mwanamke utajiri utahama.Itakuwa kashalala na mwanae anajua utamu wake ndio maana ataki
Sidhani kama diamond alitaka kumuoa zuchu, huyu bibie kafanya kwa wivu baada ya zuchu kuandikiwa maneno matamu siku ya valentine na ndio maana Dai kafuta ile post.Huyu aidha kafanya kwa wivu baada ya Mondi kutaka kumuoa Zuuh au katumwa na huyo huyo Mondi ili kuipeperusha ndoa
Hata ningekua mimi, hii pisi nisingeiacha
Tatizo wanawake wazuri ni wengi mnooo wanaume mnapata shida sanaa.
Kutembea na mfanyakazi wake? How kosa lipo wapi.......... sijawahi kusikia mbele kuna mtu alistakiwa sababu ya Usaliti?Rais wa US Bill Cinton kamkamua Sekretari wake white house, ila hakufanywa chochote na mkewe.Dayamondi angekua mbele angekua na kesi za unyanyasaji wa kingono kwa kutembea na mfanyakazi wake achilia mbali usaliti. Mondi angekua ana face charges kama Diddy hivi sasa. Na Mondi aendelee kuomba international media zisipick hizi story zake za kutembea na zuchu atakuwa blacklisted.
On the other end, Zuchu ni mtu mzima anamaamuzi yake kama kaamua kutumika acha atumike. Siku akishtuka ataondoka hajashikiwa bunduki. Kupanga ni kuchagua.
Uku afrika wasanii hawana adabu kabisa kisa wanakula sahani moja na rais
Hapana siamini kwenye hilo ila najua mama anajaribu kulinda mali za mwanae ukiangalia jinsi walivyo hustleItakuwa kashalala na mwanae anajua utamu wake ndio maana ataki
Itakua kauza yeye au kampa rafiki ake auze amkomoe domo 😂Huyu aidha kafanya kwa wivu baada ya Mondi kutaka kumuoa Zuuh au katumwa na huyo huyo Mondi ili kuipeperusha ndoa