Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Yaan Zuchu kutoka kwa Mondi Mungu amsaidie,diamond ni manipulator na toxic,Zuchu kwa kazi anazofanya na umaarufu angekuwa na bwana anaemtaka akaenjoy maisha ,Mond kwa sasa ujana umekolea haswaa hawezi settle na demu mmoja ila uzuri malaya huwa wanapata watoto wa kike malipo hapa hapa
 

Unadhani kwanini hiyo habari ina inasisitiza had-sex-with-spacex-employee?

Musk hajaoa, Kama angetembea na mtu mwingine huko nje unadhani ingekua habari on front pages?

Nadhani tunajadili mambo mawili tofauti: wewe unaongelea usaliti kwa wanaume; mimi naongelea mahusiano ofisini with your subordinate.

Mondi anatembea na mfanyakazi wake zuchu. Clintoni alitembea na intern wake ofisini Monica. Udoka alitembea na mfanyakazi wake etc etc.

Mahusiano nje ya ofisi hayatuhusu. Kama hujaelewa I rest my case.
 
Ni kweli anafanya na anawaf…. Haswa hata huyo Zu na nasikia na lokole pia 😂😂😂
 
Hivi unaona shakib wa zar walivyo mhandsome na mpole yule kaka,Zuchu angekuwa anaenjoy na mtu wake na anajichelewesha kupata mtu mzuri,hivi ile clip wanasema mawifi wanamsengenya Zuu wanasemaje?
Hiyo clip sijaiona
Zuchu hawezi kukosa mwanaume wa kumpenda Mungu amsaidie aweze kumove on.
 
Kwa hiyo ulaya ukioa hiruhusiwi kusaliti.?Ukisaliti unashtakiwa.........

Halafu ww umemtolea mfano Didy okay Didy nae alioa? Unajicontradict mwenyewe. Ila ulicho kiongea hapo chini, hakipo kama unavyo sema,maana kama ndio hivyo wangekuwa busy sana mahakamani, kwani 90 ya wana chovya nje. Diddy hakushtakiwa kutoka na mfanya kazi wake ambaye alikuwa chini ya label yake,Diddy alishtakiwa kwa kuwa muabuse Girlfriend wakena clip zake zilivuja akimpiga Girlfriend wake kwenye korido ya hotel. Ila mahusiano yao yalikuwa public.

Basi sawa acha na mie ni kuache.
 
Pilipili usiyo ila inakuwashia nini? Acha kuingilia mahusiano ya watu.
 
Kwa hiyo ulaya ukioa hiruhusiwi kusaliti.?Ukisaliti unashtakiwa.........

Nini maana ya ndoa kama usaliti unaruhusiwa? Nchi gani inaruhusu wanandoa usaliti? You're spitting nonsense.

FYI, marital infidelity (usaliti) ndo cause namba moja ya divorce. Divorce rate is well over 60% USA.

Mahakama tayari zipo busy kusuluhisha case za ndoa kila siku kama hujui.

Diddy ana lawsuits zaid ya 30 hadi sasa including kutembea na wafanyakazi wake, minors, trafficking nk. Again, google is free.

Either umeoa au hujaoa kutembea na mfanyakazi wako ni kosa kwa policy ya makampuni mengi sijui nini kigumu kuelewa hapo.
 
Mm nitampokea zuchu akiwa mshangazi
Macho yake matam ningeweza ningeyahamishia kwa shamila wangu🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…