Diamond Vs P square Youtube

Diamond Vs P square Youtube

"mi toka jana sichomoki youtube"!!!!!!!watu kama wewe ndo mnafanya viewers wafike laki sita maana kama wewe tu peke yako kwa hyo siku nzima ambayo umesema hujachokoma pengine umefanya views ziwe 100
Kwahyo hutaki au
 
Hivi nyimbo ya msanii ikipata like nyingi au viewers wengi huwa anafanikiwa na nini?
Analipwa na YouTube kutokana na yale matangazo yanayokuja kabla ya wimbo kuanza.
So view zikiwa nyingi na hela ndio inavyozidi kuwa nyingi.
 
Yule Mtoto Raymond ana laana yule mwingine mpenda mabibi arudi Nangwanda sijaiona akalime korosho na kuokota mabibo
 
napata tabu kujua wewe na nani haswa na unatoka nchi gani,umesema nana ndo imetazamwa zaidi...ukaambiwa sio hiyo ni number one na mimi nakwambia hivyo bado unasema sina akili....mungu anakuona!!!
nimesema wimbo wa mwisho wa diamond kuwa viwer wengi ni nana baada ya hapo hakuna viewer zaidi ya million 6 mpaka sasa hebu kuwa muelewa wewe mnyakyusa wa wapi mgumu kuelewa
 
Wimbo ni mzuri sana tena sanaaaaa.
Kwakua wewe ni team kiba na antfan wa diamond utauona mbaya 2. Angeimba wimbo huo huo kiba ungeusifia mara 754,890.97
huenda kwakuwa mpya ndo maana nauona mbaya ngoja nione siku zinavyoenda utakuaje
 
nimesema wimbo wa mwisho wa diamond kuwa viwer wengi ni nana baada ya hapo hakuna viewer zaidi ya million 6 mpaka sasa hebu kuwa muelewa wewe mnyakyusa wa wapi mgumu kuelewa

baada Ya nana hii ndiyo iliyofuata.
Moja kati ya mafala niliowai kukutana nao ni wewe.sema jingine ila sintokujibu nitakuuza milele.
Screenshot_2016-09-20-13-41-35-1.png
 
Wazo lako ni la maana sana,lakini TATIZO WATU WANATAKA WAMSHUSHE HUYU NDIO APATIKANE MWENGINE,KITU AMBACHO WENGINE HATUTAKI KITOKEE KAMA VIPI ABAKI HUYOHUYO AENDELEE KUWABULUZA MAANA AKILI HAWANA.


Unajua bong hapa wapo wasanii(ctawataja) wanavpaj kinoma..moja ya sabab kubw zinazowafany wasifike levo za mondi ni kutojua thamani ya mziki wanaofanya...not creative...no investment...wanafanya mziki for passion kitu ambch si kizuri sana kw dunia y sas...kuto kufany mziki kw ushindan...mfn ally kiba anashindanishw na mondi lkn yeye binafs hana strategies za kumshinda mondi...pia kiukweli mziki unahitaj investment kubw san hasa w utunzi wa mashairi(tunga nyimb nying mpk kero)sas ukiangalia wasanii wengi nyimb moj ikimtoa basi kinachofuata ni vimeo..niishie hapa.
Wazo lako ni la maana sana,lakini TATIZO WATU WANATAKA WAMSHUSHE HUYU NDIO APATIKANE MWENGINE,KITU AMBACHO WENGINE HATUTAKI KITOKEE KAMA VIPI ABAKI HUYOHUYO AENDELEE KUWABULUZA MAANA AKILI HAWANA.
 
Back
Top Bottom