Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Niliwahi kuambiwa na mkewangu niliyeishi naye miaka kadhaa kuwa nikitaka kuwaona watoto atahakikisha ananifanyia kitu ambacho sitakaa niamini, na hakuna rangi nitaacha kuiona. sikumuelewa ilibidi niwe mpole.Amesema Diamond kwenye kipindi cha Block 89 wasafi Fm.View attachment 1079519View attachment 1079521View attachment 1079522
Don't trust mwanamke except mama yako mzazi tuUkiachana na huyo Peter rumors has it kwamba hata akiwa na chibu maninja waliweza kumega, that is wat I mean.
Usibishane nankiumbe ambaye kaonana na shetani ana kwa ana hatari sana,ulifanya busara kuwa mpoleN
Niliwahi kuambiwa na mkewangu niliyeishi naye miaka kadhaa kuwa nikitaka kuwaona watoto atahakikisha ananifanyia kitu ambacho sitakaa niamini, na hakuna rangi nitaacha kuiona. sikumuelewa ilibidi niwe mpole.
Zari karisishwa mali na mumewe Ivan Semwanga alie RIP few years back jama alikua na pesa si mchezo mijengo,,collegue,hotel alikua anamiliki sauzi pesa alikua nayo kabsa !!so mengine walikua wana saidiza kufanya biashara za kuibia watu kama kawa!!huwezi kuelewa nacho maanisha mpaka uingiy deep kweny stories zake na Ivan....Zari nilimjua kitambo enzi hizo nafuatilia East Africa showbiz.. alikuwa anatajwa kama socialite mwenye pesa zaidi EA ila kilichonishangaza ni kuonesha fancy cars na nyumba lakini hana historia ya kukuambia alivipataje zaidi ya kujihusisha na rich gang ya UG..
Hana tofauti na Vera maana wote ni socialites successful waliojua kutumia miili yao vizuri; hapa bongo hakuna socialites wenye pesa maana wengi elimu form four na zero exposure (hapa ndipo zari kawazidi haswa kwenye exposure)..
Mimi huwa nikiwaangalia hawa wanaosema ni role model huwa najiuliza ni kwenye nini ???... wabongo kwa shobo asee
Ungemalizia na Bashite Oyeeee hakika ingependeza.Kama hana la kuongea anyamaze.. kwa sababu alisapoti mziki wa P square wakati wenzake wametoa alizoshiriki ndio anaongea upuuzi huo.. kisa kiki ya mziki.. huyu hamjui Zari.. walikitania Madale au Tandale alipowakutanisha??
Ua jeusi halijamuacha salama chati imepungua.. asali apande tena.
Alimkana mwanae ila akamkubali Nilan ambaye sio damu yake,wanaume tunakufa mapema sana kwa mambo mengi nyie wanawake hatari sana....hivi unajua kwa nini Mond 99% akitaja watoto wake ana muongelea tiffah tu?Kama aliweza kumkana mwanae mchana kweupe atashindwa kutunga story Kama hii.. ..diamond ni mshenz Sana kwenye mahusiano halafu ndio wa Kwanza ku play victim card
Majibu ya kuweweseka yale....mtu mwenye akili angetulia kwanza then apangue moja baada ya jingine...ile papara ya kujibu ni kutaka kuwapoteza watu maboya ili asichafukeZari anajibu mapigo huko
mzee abdul aliomba akutane na mwanae wayamalize n kina jonijoo walimpekeka live studioNaona kama Diamond ameongea zaidi, kama kulikuw na ulazima angesema tu Zari alikuw ana mcheat pia na alijua, Sasa kutaja tena watu wengine huko sio kitu poa, Nmeona picha pia kakutanishwa na mzee Abdul mlio na Tv mtujuze yaliyojiri tafadhali
Haruki ruki bwana. Jamaa ham support financially. Alikuwa diamond analeta mwanamke ndani nafikiri yale mambo ya hereni.Kuwaona watoto tangu last year. Na yeye kasema akiamua kutapika atatapika. Ila ki ukweli sie wasomaji tupo lakini sio poa wanavyofanyiana.wanampa faida nani wakati kila mtu amesha move onHapo ndipo nilipo amini yale mawe yamemtwanga vizuri Zari analia lia tu hadi kamtaja mama ake rest her soul in peace you know mama raised me better than that....anaruka ruka tu hahahahahaaa....
Safi kazi nzuriZari anajibu mapigo huko
Si wanasemaga wababa wanapendana na watoto wa kike?.....Alimkana mwanae ila akamkubali Nilan ambaye sio damu yake,wanaume tunakufa mapema sana kwa mambo mengi nyie wanawake hatari sana....hivi unajua kwa nini Mond 99% akitaja watoto wake ana muongelea tiffah tu?
[emoji23][emoji23]inamaana kipindi flani walisema jamaa kavamia harusi ya mapacha,ma twin nao wakavamia kitanda chake.Tunasikia mengi sana watu wanapoachana ila asilimia kubwa kutoka kwa mwanamke. This time kwa kuwa ni mwanaume kasema na wanajuana na kina P Square kutakuwa na ukweli hapa.
Mwanaume kufunguka issue za kifamilia sio rahisi ila anapoamua kusema basi kutakuwa na ukweli hapo.
simple like that?Si wanasemaga wababa wanapendana na watoto wa kike?.....
Teh[emoji3526]Usibishane nankiumbe ambaye kaonana na shetani ana kwa ana hatari sana,ulifanya busara kuwa mpole