King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Mkuu hawa wana fujo huku kuliko hiyo walioifanya Mwanza ila huku Tabora wanabebwa sana.Mbona mambo mengi sana siku hizi? vichwa vyetu havipumziki hata kidogo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hawa wana fujo huku kuliko hiyo walioifanya Mwanza ila huku Tabora wanabebwa sana.Mbona mambo mengi sana siku hizi? vichwa vyetu havipumziki hata kidogo..
Maigizo yaleZumaridi huyu amepagawa na mapepo ndio maana waumini wake wanatembea kama misukule au Zombies wakishapagawa kanisani kwake
Kosa lake ni nini?
Kwani Zumaridi ana jinsi gani
Duh..[emoji23]Mfalme zumaridi nguvu ya mungu chini ya jua..hakika utashinda dhidi ya watesi.
#MaendeleoHayanaChama
Kufuatia kukamatwa kisha kufikishwa mahakamani leo kwa kwa Diana Bundala maarufu mfalme Zumaridi yeye na wenzake 93 , imebainika kuwa wafuasi wake wengine wamekimbilia mkoa wa Tabora kata ya Kitete mtaa wa Kariakoo na kuanzisha kanisa liitwalo Bethel na kulijenga katikati ya barabara , kufunga maturubai na kuendesha ibada bila usajili wa kanisa , kuendesha ibada bila kibali cha muda kutoka mamlaka husika , kujenga bila kibali cha ujenzi kutoka manispaa , kufunguliwa muziki kutwa kucha kwa sauti ya juu sana , kutoa mahubiri ya uchochezi wa kidini na kisiasa , kudai wanatoa rushwa hadharani kwenye spika kuwa viongozi wa mkoa mzima wa Tabora wameuweka mfukoni , wadai wanalindwa na diwani wa kata ya Kitete msukuma mwenzao na mchungaji mwenzao , haya viongozi wa Tabora , Mwanza kuna watu wenu huko Tabora wafuatilieni kwa kina .
Hivi hayo Magari ni Defender na sio Land cruisers?¿Mchungaji Diana Bundala maarufu 'Mfalme Zumaridi' na wenzake 92 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza na kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayokabili.
Msafara wa magari matatu aina ya difenda zilizolindwa na askari waliojihami kwa silaha umewasili katika mahakama hiyo saa 9:00 mchana kisha watuhumiwa hao kuamuriwa kuingia ndani ya mahakama hiyo.
Akishuka katika gari ya polisi iliyokuwa imembeba, Zumaridi amesikika akisema "Mimi ndiyo Mfalme’ huku huku akionyesha ishara ya kuomba.
Miongoni mwa waliofanikishwa mahakamani hapo wakiwa na mhubiri huyo ni vijana wanaokadiliwa kuwa na umri kati ya miaka 18 hadi 45 na wazee wa jinsia zote wanaodhaniwa kuwa na umri kuanzia miaka 45 hadi 65.
Source: Mwananchi
View attachment 2137530
Ndo kosa linalomkabiliMfalme = King!
Hivi kuna mfalme (king) wa kike??
Na wafuasi anao kabisa?
Apelekwe Butimba kule akasuguliwe, kuna watu wana genye mshindo