eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Umejibiwa Kama king wa kike yupo, pia chief wa kike yupo.Hii ni fact mpya. Niliuliza kuhusu king/mfalme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejibiwa Kama king wa kike yupo, pia chief wa kike yupo.Hii ni fact mpya. Niliuliza kuhusu king/mfalme
Kinyume cha pisi kali ni nin vileAkitoa wigi anakuwa mbaya namna hii!!!
na mikono minene duuh
Pisi mbovuKinyume cha pisi kali ni nin vile
King wa kike ni yupi? Na je, mnapokataa ushoga mbona hizi hulka za kishoga hamzioni? Au mnakataa tu msichokijua??Umejibiwa Kama king wa kike yupo, pia chief wa kike yupo.
Nakuelewa. Dalili za ushoga zimejificha ndani yao.Hawa wameshakuwa na kichaa nisichojua jina. Maendeleo ya jamii waongezewe bajet ya kurekebisha ongezeko la kas la wagonjwa wa akili ikiwemo hawa wahanga wa tapeli zumarid na wapewe ushaur nasaha
Ukiona mtu anakataa uhalisia wa jinsia ya mapokeo ujue ni dalili tosha za ushoga! Watu wanataka wawe defined differently.Tatizo ndiyo hilo, kila kitu tunataka tuishi kutokana na mapokeo...acha awe mfalme wa kwanza wa kiume[emoji851][emoji851][emoji851]
Mpk zumarid anapazwa nae achakatwe tu Ni huyo kijn aliye nyuma siyo bure vijana wanna wall wamam sanaAisee Zumaridi, ukimaliza msala naomba huyu dada wa nyuma yako mwenye amevaa track ya blue anitafute inbox nina jambo naye tafadhari
Huyu Mwanamama na wafuasi wake ni zao la elimu yetu hii....
Ndo kosa linalomkabili
Anaitwa Diana Bundala. Diana ni jina la kike. Kwa muonekano wa nje yupo kama mwanamke.Kwani Zumaridi ana jinsi gani
Watu muna macho...ni pisi halafu la CHIENYEJIAisee Zumaridi, ukimaliza msala naomba huyu dada wa nyuma yako mwenye amevaa track ya blue anitafute inbox nina jambo naye tafadhari
....ati? Funguka MakuuAnaitwa Diana Bundala. Diana ni jina la kike. Kwa muonekano wa nje yupo kama mwanamke.
Hivi wewe umeishia darasa la ngapi kwanza ? Usisumbue watu vitu simple tu huelewi vimeanishwa hapo juu ,kila kitu kina sheria na taratibu zake , makanisa , misikiti Yana sheria na taratibu zake . Huelewi nini sasa ? Huo ulokole wenu muwe mnasoma muelimike , kifupi kanisa lazima lisajiliwe , pili liwe na kibali cha kuendesha ibada , kama linajengwa liwe na kibali cha ujenzi kutoka manispaa au mamlaka husika , hata kibali ukipata kina masharti yake jinsi ya kuendesha ibada ikiwemo sheria no 147 ya mazingira inayataka sauti za muziki na mahubiri yasizidi desibeli 40 , sasa kanisa lako halina hata kimoja ,kuna fitina gani hapo ? Hayo ni kwa kifupi , muhurumieni Yesu Kristu kwa kutapeli waumini kwa kutumia jina lake tafadhali .Mleta mada mwongo mkubwa hilo kanisa limekuwepo muda mrefu na mleta mada amekuwa mkorofi muda mrefu dhidi ya hilo kanisa amekuwa akijaza mifitina kibao kuibusu hilo kanisa muda mrefu hum Jamii forums
Ana pepo mchafu kaanza.muda mrefu sana kulipakazia hill kanisa la Bethel sasa kaamua kutunga uongo kuwa hao wa Zumaridi
Mkuu wachungaji wengi , manabii , mitume ni matapeli wa kutupa wanatumia ulaghai , utapeli , ushirikina kuhadaa mbumbumbu ndio hakuna kiongozi wa dini hata mmoja aliyetoa tamko kulaani yanayofanywa empty set Zumaridi na wengine wengi .Hawa wameshakuwa na kichaa nisichojua jina. Maendeleo ya jamii waongezewe bajet ya kurekebisha ongezeko la kas la wagonjwa wa akili ikiwemo hawa wahanga wa tapeli zumarid na wapewe ushaur nasaha
Ndugu yeye na wachungaji wengi ,manabii , mitume wengi ni wajasilia dini a .k.a wajasilia kanisa wajinga ndio waliwao .Umasikini wa akili mbaya sana. Huyo Mama/Mdada kafanikiwa kutapeli watu kwa idiology ya ajabu.
Weweeeeeeeeeee acha kimlinganisha Yesu Kristu na takataka huyo Shemale wenu huna hata aibu? Yesu Kristu umfananishe na Diana Bundala nadhani wachangiaji wameshamjua mtoto wa Sunday school .Hivi mtume Issa Bin Mariam, Kristo hakujua kama jamaa kamsariti na baadaye wakaja kumkamata ili asepe?.
👉🏾 Comment nyingine huwa napima akili naona hapa kutakuwa na watoto wa Sunday School.
Wacha uongo watu wenye elimu Bora hawadanganyiki kirahisirahisi .Hata huko ulimwengu wa kwanza kwenye watu wengi walioelimika vizuri mambo kama haya yapo.