Diana Bundala aka Mfalme Zumaridi, afikishwa Mahakamani akikabiliwa na kesi tatu ikiwemo usafirishaji haramu wa binadamu

Kosa lake ni nini?

Kosa Ni kuzuia polisi wasitekeleze summons waliyopewa na mahakama kwenda kumchukua mtoto ambaye mama yake amaekatalia huko kwa Zumaridi na wanaishi huko pamoja na Zumaridi, naa kusoma hasomi.

Hivyo baba wa mtoto kaamua kufile application kwaajili ya custody ya mtoto atoke huko kwa Zumaridi, maana hasomi wapo tu huko na mama yake na mama yake amegoma kuondoka kwa zumaridi na kuamua kuvunja ndoa.

Shida ilikija pale ambapo polisi wameenda wakafukizwa na makerubi au malaika wa zumaridi na kushindwa kumchukua mtoto. Hivyo polisi waliamua kuja Mara ya pili ndipo walipopata uhalifu mwingine unafanyika.
 
Sid
Sidhani Kama wana ukaribu na Zumaridi Hawa no wengine tofauti.
 
Hivi hayo Magari ni Defender na sio Land cruisers?¿
 
Macho ya rohoni yanahitajika katika hili sijasikia lolote kutoka kwa Mitume na Manabii wa nchi hii juu ya mwenendo tofauti wa dada ZUMARIDI
 
Mleta mada mwongo mkubwa hilo kanisa limekuwepo muda mrefu na mleta mada amekuwa mkorofi muda mrefu dhidi ya hilo kanisa amekuwa akijaza mifitina kibao kuibusu hilo kanisa muda mrefu hum Jamii forums

Ana pepo mchafu kaanza.muda mrefu sana kulipakazia hill kanisa la Bethel sasa kaamua kutunga uongo kuwa hao wa Zumaridi
 
Waacheni waabudu Kwa Amani ,hzi ni fitina za kidini tuu , wakat dini karbia zote zimejaa upigaji
 
Acheni watu waabudu kwa amani.


Uhuru wa kuabudu ulitafutwa kwa damu nyingi sana.

Tuvumiliane, imani ni kitu kipana sana...

Wengine wanapakwa majivu wanaaminishwa

Wengine wanapigia magoti sanamu

Wengine wanaongea lugha zisizoeleweka.

Wengine wanawafundisha waumini wao mambo ya kijeshi.

Tuvumiliane!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…