Diana Bundala aka Mfalme Zumaridi, afikishwa Mahakamani akikabiliwa na kesi tatu ikiwemo usafirishaji haramu wa binadamu

Ushauri kwa serikali usajili makanisa yote upitiwe upya, pili wachungaji wote wawe na digrii ya theology ,kila kanisa la kilokole lifunge sound proof , muona Kama utitiri wa makanisa uchwara ya kina Diana Bundala na Zumaridi yataonekana tena , Rwanda wamefanya hivi baada ya kuwakuta ya kuwakuta , sisi serikali yetu inasubiri yatokee ndio ipate akili .
 
Serikali ya Tanzania haina dini haisajili dini
Kuhusu kuwa na digrii za theology Rwanda mapadri na maaskofu walikuwa nazo wote na ndio walisababisha na kushiriki maji ya kimbari Rwanda hadi papa akaomba msamaha

Hawakusabisha viongozi wasio na digrii za theology!!!

Uhalifu wa mtu binafsi kuna sheria zake shehe akibaka mtu hufungi msikiti unamfunga yeye
 
Tunachopinga ni uongo wako uliokubuhu kuwataja hao wa Tabora kuwa wafiasi wa Zumaridi umebweka sana humu kuhusu hilo kanisa la Bethel muda mrefu kwa michuki yako binafsi ya kishetani unaona wanaendelea tu kuwepo

Umesingizia hadi viongozi wa Serikali kuwapaka motope na kuwachafua kuhusu hilo

Hangaika na maisha yako yaliyochoka achana na Bethel
 
Hili la huyu mama mungu ni kiki za kiccm kunapotokea jambo kubwa iliwatu wagawanyike propoganda nchi hii zimezidi usikute kitengo ndicho kilicho fadhili nguvu za huyu mungu mke kama lile gazeti la yule mdaiwa sugu wa Membe na shangazi!
Kwa Tanzania chochote chawezekana
 
Hivi Ile ishu ya kumfufua Kanumba iliishia wapi ???
 
Acha roho mbaya wewe..huduma ya injili usiiwekee mipaka hivyo..mana injili ni popote penye watu unataka kuleta habari za serikali ya ccm kuwa hakuna mikutano ya vyama vya siasa huku wao wakifanya mikutano ya hadhara..acha injili ihubiriwe watu waokolewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu wachungaji wengi , manabii , mitume ni matapeli wa kutupa wanatumia ulaghai , utapeli , ushirikina kuhadaa mbumbumbu ndio hakuna kiongozi wa dini hata mmoja aliyetoa tamko kulaani yanayofanywa empty set Zumaridi na wengine wengi .

Wewe ndio mjinga, unamwitaje mtu anayetapeli na kutumia uchawi mchungaji?. Huyo Ni mchawi sio mchungaji. Nyie ndio mnapenda kuchafua ukristo kisa matapeli wachache walioingia kanisani ambao wenyewe sio wakristo. Tofautisha ukristo na cult. Usilazimishe cult na ukristo ukawa pamoja.
 
Acha kukariri maisha wewe.

#MaendeleoHayanaChama

Mwanzo wa kuwa brainwashed ndio huu kukataa ukweli. Yani Mfalme Ni kwa jinsia ya kiume lakini tunalazimishwa ni jinsia ya kike. Kesho tutaambiwa kuna wanawake wake wa kiume.
 
Ndugu yeye na wachungaji wengi ,manabii , mitume wengi ni wajasilia dini a .k.a wajasilia kanisa wajinga ndio waliwao .

Wewe nimekufatilia nimegundua una chuki na ukristo sio kidogo. Kosa amefanya Zumaridi lakini umekazania wachungaji wengi nk. Hai wachungaji wengi unawajua?. Yani matapeli wachache ambao hata sio wachungaji, umekazania tu. Zumaridi anajiita mungu na Wala sio mchungaji. Taja mchungaji aliyekutapeli au kamshtaki polisi. Maana utapeli Ni kosa la jinai.
 
Uongozi wa ukraine nao ulikuwa hivi hivi. Nchi yetu viongozi wake wamekosa vitu vya msingi vya kufanya na ndio maana kutwa wanashinda kuchunguza mambo binafsi ya raia wake. Majukumu pekee wanayoweza kuyatimiza ni kuonea na kutesa raia wa chini wasio na meno. Mwingine anazuia michezo mtaani mwingine anatuma polisi akakamate watu kanisani. Wamewamaliza chadema ila ile toho tesi bado inaendelea kuishi. Hii nchi inatia kinyaa sana na bora walio Ukraine wanaunafuu sana. Raia tumewakosea nn polisi?
 
Hivi mtume Issa Bin Mariam, Kristo hakujua kama jamaa kamsariti na baadaye wakaja kumkamata ili asepe?.

👉🏾 Comment nyingine huwa napima akili naona hapa kutakuwa na watoto wa Sunday School.

Wewe ndio mtoto wa Sunday school. Unataka kumlinganisha Yesu Kristo na Mfalme Zumaridi?. Kasome Biblia vizuri uelewe hasa kitabu Cha Isaya. Kuzaliwa kwa Yesu Kristo na kifo chake kulitabiriwa miaka mingi nyuma.
 
Hapa tunataka kuzuia karaha na usimbufu usio wa lazima kwenye makazi ya watu.
 
Mh huyo binti wa nyuma ya mfalme naona kaumbika haswaa kishunduu hataree
 
Hapa tunataka kuzuia karaha na usimbufu usio wa lazima kwenye makazi ya watu.
Anzac kampuni na bar kwanza ndizo zenye kelele nyingi zikifuatiwa na misikiti usiku unaamshwa mtu usingizini na achana ya msikiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…