Diaspora: Kumbe Freeman Mbowe kumsifia Rais Samia ni baada kufunguliwa Account zake za Fedha zilizokuwa zimefungwa

Diaspora: Kumbe Freeman Mbowe kumsifia Rais Samia ni baada kufunguliwa Account zake za Fedha zilizokuwa zimefungwa

Kwani mwanzo mbowe alikuwa hajui kuwa HAKI NI GHARAMA?
Sasa kaamua kuunga JUHUDI?
aliyoyapigania mpaka mkaanza kumuita MWAMBA AMESHAYAPATA?
AU KABADILI GIA ANGANI
Kwanini mnapenda vita? wewe ulale na mumeo nyumbani Mbowe awe magereza kukutetea wewe? shame on you
 


Nimesikiliza haya mahojiano vizuri Diaspora wanalalamika kwamba Freeman Ekael Mbowe anamsifia mama baada ya mambo yake binafsi kushughulikiwa na Rais, ikiwemo kufunguliwa Account zake za fedha ambazo zilifungwa muda uliopita, kutoka jela pamoja na shughuli zake mbalimbali za kibiashara.

Diaspora wameenda mbali zaidi na kusema halikadhalika kwa Tundu Lissu baada ya kupata stahiki zake za Ubunge wote kwa pamoja ndio wanamsifia lakini Diaspora wanasema Rais Samia hajabadilisha chochote kwenye demokrasia ikiwemo mikutano ya kisiasa mpaka sasa bado hajaruhusu na kwamba Mama ndie aliyeanzisha tozo kuwaumiza zaidi wananchi maskini wa Tanzania.

Mleta mada naona kama umevuta ya kuchanganya.
Umesahau HAKI ya mtu haipotei ila unachekeweshwa.
Kwa akili yako kiwango cha lami unaona alichotenda yule mwenda ni sawa. Au wivu umekujaa wao kupata haki yao.
Nawe pambana na ya kwako.!
 
Ubaya wa Haki ni kwamba ukipewa wewe haki yako UTASAHAU HAKI ZA WENGINE.
NI kweli magufuli alimnyima mbowe haki yake ndo maana aliipigania.sasa kapewa haki yake je Atakumbuka HAKI ZA WENGINE?
Mleta mada naona kama umevuta ya kuchanganya.
Umesahau HAKI ya mtu haipotei ila unachekeweshwa.
Kwa akili yako kiwango cha lami unaona alichotenda yule mwenda ni sawa. Au wivu umekujaa wao kupata haki yao.
Nawe pambana na ya kwako.!
 
Kama hizo ni kauli za diasport basi itoshe kusema ni WASENGEREMA na akili zao Hazina akili kabisaa! Kwa hiyo walitaka Mbowe asilipwe fedha zake alizodhulumiwa na yule Shetani wa Chato! Au akilipwa amtukane Rais ili awe mpinzani kweli?! They should learn to give credit where it is due!
Wanataka Mbowe awe magereza na mahakamani huku wao wanafanya mapenzi na waume zao. Shame on them
 
Nchi hii imewahi pata viongozi Wazalendo wawili tu Mwalimu Nyerere na Hayati Dr JPM hawa wengine ni wachumia Tumbo ,hata tukiwapa Nchi watauza kila kitu .
Mkuu bila kumsahau sokoine
 


Nimesikiliza haya mahojiano vizuri Diaspora wanalalamika kwamba Freeman Ekael Mbowe anamsifia mama baada ya mambo yake binafsi kushughulikiwa na Rais, ikiwemo kufunguliwa Account zake za fedha ambazo zilifungwa muda uliopita, kutoka jela pamoja na shughuli zake mbalimbali za kibiashara.

Diaspora wameenda mbali zaidi na kusema halikadhalika kwa Tundu Lissu baada ya kupata stahiki zake za Ubunge wote kwa pamoja ndio wanamsifia lakini Diaspora wanasema Rais Samia hajabadilisha chochote kwenye demokrasia ikiwemo mikutano ya kisiasa mpaka sasa bado hajaruhusu na kwamba Mama ndie aliyeanzisha tozo kuwaumiza zaidi wananchi maskini wa Tanzania.


Maskini ndiyo mnabidi muumie zaidi mmezidi kudeka, kwanza hatutaki masikini katika nchi yetu, ardhi kubwa kila mahali mvua zinanyesha, mito kila mahali, maziwa kila mahali, bahari kubwa. Sasa mmeshindwa kuvua, kulima, kufuga au kuwa mmachinga at least? Ebu acheni utani...hatutaki maskini kwenye nchi yetu. Yaani hata matofali mmeshindwa kupiga kwa kutumia nguvu zenu fala ninyi? Wakati tulipokuwa jeshini Makutupora tuliweza kupiga matofali 500 kwa siku kuanzia asubuhi saa 12 hadi saa 6 mchana kwa mtu mmoja, halafu leo mnadeka deka hapa wakati mnaweza na SACCOS na TASAF zipo, ebu acheni uvivu hasa huko kusini, na kanda ya kati na ya ziwa ukiacha Kagera, kote huko wavivu, mnaona urahisi wa kuishi kwenye nyumba za mbavu za mbwa na zilizoezekwa kwa nyasi. Hamna maana nyiye mnaolia lia ovyo....Opportunity katika nchi yetu ipo kubwa lakini ninyi ni wavivu
 
Mleta mada naona kama umevuta ya kuchanganya.
Umesahau HAKI ya mtu haipotei ila unachekeweshwa.
Kwa akili yako kiwango cha lami unaona alichotenda yule mwenda ni sawa. Au wivu umekujaa wao kupata haki yao.
Nawe pambana na ya kwako.!
Wanacholalamikia Diaspora ni kwanini Mbowe na wenzake wamejali ya kwao binafsi na kusahamu umma ambao uko nyuma yao, kwenye demokrasia mama hajafanya chochote Mbowe angewezaje kumsifia mama?
 
kwa kusema sisi vijana tunao mpopoa samia tuna 'mihemko' kwa kweli mwamba katukosea sana………….
 
Back
Top Bottom