Diaspora: Kumbe Freeman Mbowe kumsifia Rais Samia ni baada kufunguliwa Account zake za Fedha zilizokuwa zimefungwa

Diaspora: Kumbe Freeman Mbowe kumsifia Rais Samia ni baada kufunguliwa Account zake za Fedha zilizokuwa zimefungwa

Nchi hii imewahi pata viongozi Wazalendo wawili tu Mwalimu Nyerere na Hayati Dr JPM hawa wengine ni wachumia Tumbo ,hata tukiwapa Nchi watauza kila kitu .
Hatujawahi kumpata kiongozi wa hovyo kama Magufuli. Jina la Magufuli halistahili kabisa kuwekwa kwenye karatasi moja.

Tusimkosee Mwalimu Nyerere heshima kwa kumweka karibu na ushetani.
 
Kama hizo ni kauli za diasport basi itoshe kusema ni WASENGEREMA na akili zao Hazina akili kabisaa! Kwa hiyo walitaka Mbowe asilipwe fedha zake alizodhulumiwa! Au akilipwa amtukane Rais ili awe mpinzani kweli?! They should learn to give credit where it is due!
Magufuli alikuwa kuongozi wa hovyo kabisa kwa sababu ya kudhulumu haki za watu, kuanzia haki za kuishi, haki za kutoa maoni mpaka haki za mali. Alikuwa ni mporaji wa uhai wa watu, mporaji wa uhuru wa raia, na mporaji wa fedha za watu.

Samia kama amewarudishia watu mali zao ambazo ni haki zao, kuna kosa gani jina lake kunenwa vizuri?

Ushetani wa marehemu ndio uliofanya achukiwe na kila mwenye akili. Anapotokea kiongozi wa kufanya kinyume na matendo ya yale ya kishetani, ni halali kusifiwa, angalao kwa jambo hilo.

Mbowe ana haki, na ni haki yake, kurejeshiwa kilicho halali yake. Kumnyima, ni sawa na Rais Samia kubariki ushetani wa marehemu. Na Mbowe, pamoja na wengine kurejeshewa mali zao, halafu waendelee kumlaumu Rais Samia, sawa na walivyokuwa wakimlaumu Rais aliyekuwa tunda la shetani, kila mwenye akili atamshangaa.
 
walipambana kibinafsi zaidi sio kwa maslahi ya taifa, mbowe kutoka jela ni giza nene, huwezi jua ni kipi chengine walikubaliana na mama, toka mbowe atolewe jela katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni ndoto kuidai
Chukua wewe joder basi jukumu la kudai Katiba na tume huru ya uchaguzi
 
Chukua wewe joder basi jukumu la kudai Katiba na tume huru ya uchaguzi
Alikuwa anamsema maalim seif sana sasa Mbowe toka atoke jela ashaenda Ikulu mara 5, huenda na wewe ni mnufaika wa mgao aliopata kunyamazishwa kuhusu katiba na tume huru
 
Huwezi ua upinzani kwa kupambana nao.
JP alitumia njia ya kizamani Sana kupambana na upinzani.
Huwezi ukapambana na watu na ukawashinda
 
Huwezi ua upinzani kwa kupambana nao.
JP alitumia njia ya kizamani Sana kupambana na upinzani.
Huwezi ukapambana na watu na ukawashinda
 
Back
Top Bottom