Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

U mean cha Arusha?. Nakisikia
Tatizo Cha hapa siyo fresh il
kwa mfano ni standard gani ya maisha ya huko "first world" ambako unasema wakiwa bongo inawagharibu kuishi?

hebu naomba nipe mifano ya vitu viwili vitatu vya "standard ya maisha" ambavyo diaspora wakirudi inakuwa vigumu kuvi mudu...

na hivyo vitu ungependa waviache ("wanataka kuishi standard walizozoea"), je, vitu gani hivyo kwa mfano?
Huduma za Jamii, equality and fairness, urasimu name ubabaishaji
 
hapa umekuja kuconfront wanadiaspora,hata ukiambiwa blue utataka ubishe ni nyeusi,utakua mtu wa gubu sana wewe,kwa hio mnapigia Magu kelele za nini kuhusu maendeleo??si mkae majumbani mzaliane,hivyo vitu ni basics wewe unaona kama luxury vile hahahaaaaaaaaaaaaaa,mkiweka mazingira mazuri Diaspora watakuja kuinvest,na pia kuleta elimu waliyoipata huko,plus ukiweka mazingira mazuri wageni wa nchi nyingine watataka kuja kufanya kazi hapo au hujui hata faida ya hili?
Kwa nini ninyi msiwe ndio chachu ya kuleta hayo mabadiliko kwa sababu tayari mnaexposure na standard za huko nje? Wabongo wengi life la nje wanalisikia tu hawajaishi kama ninyi, hivyo wao hiki cha sasa wanaona kama ndio standard zao, ninyi mnaoona ni low standard mje muwaelekeze high standard yawaje.
 
Sijapata wenge la kuhamia popote pale duniani na kufanya maisha zaidi ya bongo. Yote kwa yote ukifanikiwa kuishi maisha ya bongo na ukayapenda, maisha ya nje ya nchi utaona kama ni mateso tu.
 
Kuishi Tanzania ni kama kujitoa muhanga

Unatakiwa uikabidhi nafsi yako kwa mola wako

Wanaofurahia maisha Tanzania ni wachache sana ukiringanisha na wanaojutia maisha hapa nchini......

Kinachowashinda ni uoga wa kuharibu upande wa pili na kutothubutu

Hakuna mtu anayependa kushindia mlo mmoja tena usio kamili......

Hakuna mtu anayependa kuishi sehemu ambayo huduma za afya inaonekana ni jambo la anasa......

Hakuna mtu anayependa kuishi sehemu ambayo usalama wa mali na uhai wake ni wajibu wake mwenyewe hali ya kuwa analipa kodi stahiki kwa serikali yake.......

Hakuna mtu anayependa kuishi sehemu ambayo kutofautiana mtazamo na watawala kunakufanya maisha yako uyaweke hatarini......

Kila mtu anapenda maisha mazuri na kufaidi matunda ya jasho lake......


Tanzania watu wanaishi kwa sababu wapo hai lakini nafsi zao tayari zimeshakufa na wengi wameshapoteza natumaini ya maisha.........
 
nimekuelewa mkuu,maisha na yaendelee.....nimejifunza kitu hapa
Kwa Bahati nzuri waliouchukua ushauri wangu seriously maisha yanasonga huko ughaibuni. Kuna pesa ughaibuni ila hakuna kuspend ila hapa kuna kuspend sana hakuna pesa! Wote waliojifanya much know na kurudi angalia kama wametusua kwa JPM wapo choka kama Shamte - pushmobile. Hivi unadhani hata maisha ya le mbebez ni maisha au maumivu tu! Mzee wa miaka 60 kujifanya Benten! Hizo ni effects za kurudi. Ukishafika ughaibuni tafuta makaratasi, soma shule na tafuta fedha period! Njoo matembezi na ukifa (mwenyezi mungu apishie mbali) zikwa huko. Kumbuka kama upo nchi za weupe oa au olewa na weupe. Happy New Year in advance cc Copenhagen DN
 
kumbe hamnaga pesa eeeh hadi mnjaifikiria jinsi gani ya kuishi haa haaaaaaa.....!!!
mlitumwa muende mbele uko?
kufeni tu, hapa ni ''tuliipenda wenyewe ndindiii,wacha waisome namba eeeeeh....''
 
ndugu wana diaspora'inakuwa ngumu sana sisi tulioshi nje ya Tanzania kwa miaka mingi kurudi na kuanza new life'mnafanyaje mbona wengine tumeshindwa? Nina rafiki zangu watatu walirudi kwa wakati tofauti wamekufa baada ya kuishi Tanzania kwa muda mfupi'tupeane mbinu how to start'kwa mtazamo wangu naona kitu kinaitwa mid setup'ya kwamba ukiondoka Tanzania na kuishi nchi nyingine miaka mingi ile mind setup inabadilika na ukirudi inabidi ubadilishe tena mind setup iwe kama ya watanzania'
hatari ni pale unarudi older than 40 years unaeza kufa on the process'tupeane ushauri tafadhali
Kwanza uwe tayari kurudi, kama ulivyokuwa tayari kuzamia..
Nasema hivyo sababu yatakuwa mapambano mapya tena, inabidi usimame na kupigana na maisha kama ulivyokuwa majuu..
Kama una elimu, fursa kibao, kama miaka imeenda basi uwe tayari kujiajiri, tena fursa zipo, wewe tu..
Maisha ya hapa TZ, utayaweza, hasa kwa sasa, maana rushwa na ubabaishaji umepunguwa sana sana..
Je uliweka ka sehemu ka kufikia? Kama ndiyo, basi itakuwa rahisi zaidi..
Maswala ya afya, matibabu yapo, hela yako tu, elimu kwa watoto bwelele..
Ila muhimu kuliko chote, jipange, uwe tayari na uamini utaweza, karibu nyumbani tena mdau..
 
Kwanza uwe tayarui kurudi, kama ulivyokuwa tayari kuzamia..
Nasema hivyo sababu yatakuwa mapambano mapya tena, inabidi usimame na kupigana na maisha kama ulivyokuwa majuu..
Kama una elimu, fursa kibao, kama miaka imeenda basi uwe tayari kujiajiri, tena fursa zipo, wewe tu..
Maisha ya hapa TZ, utayaweza, hasa kwa sasa, maana rushwa na ubabaishaji umepunguwa sana sana..
Je uliweka ka sehemu ka kufikia? Kama ndiyo, basi itakuwa rahisi zaidi..
Maswala ya afya, matibabu yapo, hela yako tu, elimu kwa watoto bwelele..
Ila muhimu kuliko chote, jipange, uwe tayari na uamini utaweza, karibu nyumbani tena mdau..

Pumba tupu katika nchi ya wadanganyika
 
kumbe hamnaga pesa eeeh hadi mnjaifikiria jinsi gani ya kuishi haa haaaaaaa.....!!!
mlitumwa muende mbele uko?
kufeni tu, hapa ni ''tuliipenda wenyewe ndindiii,wacha waisome namba eeeeeh....''
Hawataki sema tu mkuu, kule ni balaa, watadai kwetu kwa wadanganyika bure kabisa, ila wakumbuke huku huku ndipo kuliwapa akili ya kwenda kule, wakifika kule wanajifanya wazawa, tatizo hata wafanye nini hawawezi kukubalika, hawajakaa vizuri miaka imeenda, nyumbani alikuwa anapaponda, hajawekeza chochote, ataanza vipi kurudi?! Zaidi ya kupaponda na kusema harudi ng'oo!
Kuanzia kwa Trump, EU mpaka Asia, mwafrika anaipata fresh, kuanzia kuitwa nyani, kuangaliwa kwa jicho la wasiwasi na lakinyaa mpaka kunyimwa ajira, kisa ngozi nyeusi, maisha gani hayo?!
Ila wanasahau nyumbani nyumbani, hawakufukuzwa, TZ itawapokea vizuri kama ilivyowaaga.
 
Jamani tukumbushane....mwanzisha uzi ameomba ushauri wa jinsi ya kuanza maisha mapya TZ, tujitahidi basi kwenda na mada.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] angalau umekumbuka.... lol
 
Aisee!

Kuna watu wanaridhika jamani.

Tshs. 1.5M ni wastani wa $750.

Watu wanatengeneza zaidi ya $1000
Ndani ya wiki na ni kazi ya kawaida.
Huyu atahitaji Kurogwa kurudi.

Ishu ni gharama za maisha, hiyo dola 1000 matumizi yake yapoje?

Unaweza kukuta unalipa kodi ya nyumba na utility hata dola 1500 au 2000 kwa mwezi.
Bado usafiri!

Bongo maisha ni marahisi hata kama una kipato cha kawaida.

Kuanzia kupanga nyumba hadi vyakula!
Huko nje hicho kipato cha dola 1000 hata ukajibana na kusevu, hiyo utayosevu itakuwa na value ukija iwekeza bongo lakini sio utasevu ufanye kitu cha maana huko nje!
 
Hawataki sema tu mkuu, kule ni balaa, watadai kwetu kwa wadanganyika bure kabisa, ila wakumbuke huku huku ndipo kuliwapa akili ya kwenda kule, wakifika kule wanajifanya wazawa, tatizo hata wafanye nini hawawezi kukubalika, hawajakaa vizuri miaka imeenda, nyumbani alikuwa anapaponda, hajawekeza chochote, ataanza vipi kurudi?! Zaidi ya kupaponda na kusema harudi ng'oo!
Kuanzia kwa Trump, EU mpaka Asia, mwafrika anaipata fresh, kuanzia kuitwa nyani, kuangaliwa kwa jicho la wasiwasi na lakinyaa mpaka kunyimwa ajira, kisa ngozi nyeusi, maisha gani hayo?!
Ila wanasahau nyumbani nyumbani, hawakufukuzwa, TZ itawapokea vizuri kama ilivyowaaga.
kumbe wanaishi maisha magumu kwelikweli aseee haaa haaaaa....
pole yao, wamesahau msemo huu ''bora ugali maharage kuliko pilau la manyanyaso''
 
Diaspora wapo makundi mengi kuna wale wenye mpango wa kurudi kuna wale wameshafika.

Wanaojadiliwa hapa wenye mpango wa kurudi. Na kama una mpango wa kurudi anza kurudi mwaka mmoja baada ya kukaa nje sina maana urudishe mwili no anza kurudisha akili na resources zingine.

Hizi mada zinaishia kwenye ligi sisi tuliopo Vingunguti kwenye mada kama hii tungekaa pembeni ingekuwa vizuri.
 
kumbe wanaishi maisha magumu kwelikweli aseee haaa haaaaa....
pole yao, wamesahau msemo huu ''bora ugali maharage kuliko pilau la manyanyaso''
kila sehemu Duniani kuna anayeishi maisha magumu. ila ninaweza kusema mtu anayeishi Sweden,canada akiacha uzembe uzembe starehe na uvivu anatoka.

Ila kwa bongo inahitajika nguvu ya ziada kijana aliyemaliza chuo tu kusecure ajira.

Angalia Unemployment rates za hizo nchi.

Aidha, Mimi ninaweza kusema maisha Ulaya au Amerika ni magumu ugumu wake sio wa kukosa chakula au malazi ila ni Usipofanya kazi na kujituma lazima uteseke kama hauna ajira upige box kiuhakika.
 
Jamani jamanii chaaa but whyy...poleh naona unateseka wkt huku Tanzania opportunities ni nyingiii mno...ungejiendeleza bongo huwezi jua ungetokaje...am less than 30 pia and travel abroad for work many times each year... Work and shopping ofcourse...sijawahi tamani kuishi nje..zaidi kutembea tu... I feel kbs life is difficult away from home...
sasa kama Tanzania opportunities ziko nyingi huko abroad unaenda kufanya nini?.....na sijawahi kusikia mtu anafanya kazi abroad anaishi Tanzania
o
 
Back
Top Bottom