Mkuu mazingira in tofauti purchasing power ya $ 750 mfano US no tofauti sana na ilivyo TZ, gharama za Maisha huku bado zipo chini sana.Aisee!
Kuna watu wanaridhika jamani.
Tshs. 1.5M ni wastani wa $750.
Watu wanatengeneza zaidi ya $1000
Ndani ya wiki na ni kazi ya kawaida.
Huyu atahitaji Kurogwa kurudi.
hahhhahhah aiseeMsimsahau au msije kuwa kama huyu mwenzenu. Kila siku anawaza na kudanganya mara ana kampuni, mara ananunua nyumba za lugumi, mara ni balozi wa umoja wa mataifa, mara kapanda cheo wakati yupo hapo dar kwa mama ntilie anaonekana akushindia chai ya rangi na kitumbua kimoja
kumbe sisi watanzania ni wanafiki sana tunapiga kelele vyuma vimekaza mzee anabana kumbe uongo kwa jinsi nilivyosomama uzi huu na maoni ya wadau waliopo Tanzania inaonekana watu waliopo bongo wanasema tz kizuri Sana
Coco wambie Mtaa wa lumumba waje waone uku watanzania tunasufia tz kupo vizuri
Kipofu hawezi muonyesha njia Kipofu mwenzake.pateni msaada wa mawazo kutoka kwa wenyeji waliofanikiwa halafu changanya na za kwenu.ndugu wana diaspora'inakuwa ngumu sana sisi tulioshi nje ya Tanzania kwa miaka mingi kurudi na kuanza new life'mnafanyaje mbona wengine tumeshindwa? Nina rafiki zangu watatu walirudi kwa wakati tofauti wamekufa baada ya kuishi Tanzania kwa muda mfupi'tupeane mbinu how to start'kwa mtazamo wangu naona kitu kinaitwa mid setup'ya kwamba ukiondoka Tanzania na kuishi nchi nyingine miaka mingi ile mind setup inabadilika na ukirudi inabidi ubadilishe tena mind setup iwe kama ya watanzania'
hatari ni pale unarudi older than 40 years unaeza kufa on the process'tupeane ushauri tafadhali
Rafiki ninasubiri Danish pastries hapa Kwamtogolehao homeless wanajitakia wenyewe tuu. Mbona sis tunatoka mbali tunaishi vizuri. Nchi yeyote inayotoa Fursa nyingi ya kazi Ni yakuheshimiwa. Inaniuma eti wagiriki wanaenda kutafuta kazi south Africa tena za ualimu wakati wangejishusha tu wapande huku juu wafagie. Mbona eastern European wanamaisha mazuri kwao lakini ukiwaona wanavyojibana DENMARK Na Norway kwenye chumba kimoja wengi wameamua kutafuta hell kwa kufagia Na kuosha vyombo mpolish Lithuanian Na Estonia n nicwatafutaji. Ila miswahili ya ulaya migiriki mihispania kwao walicgezea uchumi et i
[emoji39]Na anazidi kuwa baby
Hakuna. Standard ya maisha dunia nzima ni sawa.
Nimekujibu hivyo ili upite tu. Dont waste your time quoting me.that's right, ulikurupuka kujisemea usichokijua.
Kaa ukijua diaspora wengi wanaishi maisha ya viwango vya kawaida sana tu huko waliko.
-Wanaishi kwenye makazi ya kupanga, wachache wao wana mortage, wanalipa miaka 30. Wenzao nyumbani, hata kwa mishahara hafifu ya walimu, wanajenga...
-Wanaishi kwa kujificha kwa vile hawana makaratasi
-Wanafanya kazi zenye mishahara midogo, odd jobs, "kazi za ajabu ajabu..."
-Waliochukua uraia wakirudi nyumbani inabidi waingie kwa kujificha, na wafiche mali zao zisije kukamatwa na Lukuvi...
-hawana potential ya kuwa watu wa maana kama wakurugenzi wa mashirika au viongozi wa kiserikali au mahakama, au chochote kwa vile ni wageni, ni weusi, ni disenfranchised, wana language barrier...
-Wanazeeka wakiwa wamechelewa hatua muhimu za kijamii kama kuoa, kuzaa na kusomesha watoto...
-Wana waste miaka mingi na hela nyingi kutafuta makaratasi kupitia ndoa magumashi, wengine mpaka miaka 10 kama ndoa ya kwanza inadunda, na ni nyingi sana zinadunda...
-Wanaishi kwa upweke na msongo wa mawazo ya kufiwa wazazi ambao wameshindwa kuja kuwazika...
-Wengine wana makaratasi lakini hawarudi kwa vile nauli hawana! Au anaogopa kurudu hana cha kuonyesha akirudi nyumbani, vyeti, familia, uchumi...
-wamekuwa shut out from kusomea au ku practice profession fulani fulani zinazolipa kwa mfano ni Watanzania wangapi ni wasanii au athletes wa kulipwa au wamesomea udaktari au ma lawyer au ma architecture? Mzungu gani atampa Mswahili amchoree jengo lake? Inabidi wasomee unesi wa kulea wazee, CNA. Unajua mshahara wa CNA wewe?
-Wanaishi kwa u-room mate wengi wengi kwenye apartment.... Bongo nani anaishi na room mate?
Standard of living za diaspora? You kidding me?
Nimekujibu hivyo ili upite tu. Dont waste your time quoting me.
Ahaaaaaa wacha kumshushia heshima heshima mbeba mabox sugu atakuwa mda huu anakula good time na watoto wazurianafunga mahesabu kwenye Banda lake la m-pesa
Ishu ni gharama za maisha, hiyo dola 1000 matumizi yake yapoje?
Unaweza kukuta unalipa kodi ya nyumba na utility hata dola 1500 au 2000 kwa mwezi.
Bado usafiri!
Bongo maisha ni marahisi hata kama una kipato cha kawaida.
Kuanzia kupanga nyumba hadi vyakula!
Huko nje hicho kipato cha dola 1000 hata ukajibana na kusevu, hiyo utayosevu itakuwa na value ukija iwekeza bongo lakini sio utasevu ufanye kitu cha maana huko nje!
Hujawahi sikia?basi ongeza exposure...tofautisha kufanya kazi abroad kwa muda na kuishi abroad... Kazi iko based bongo... Kwenda abroad is js part of the jobsasa kama Tanzania opportunities ziko nyingi huko abroad unaenda kufanya nini?.....na sijawahi kusikia mtu anafanya kazi abroad anaishi Tanzania
o
Mkuu mazingira in tofauti purchasing power ya $ 750 mfano US no tofauti sana na ilivyo TZ, gharama za Maisha huku bado zipo chini sana.
sisi tuboreshe ili wewe urudi? kwa nini yani?
swali langu hujajibu, ngoja tuhamie kwenye hoja yako ambayo ni tofauti.
mimi nitapata nini kwa kukuboreshea wewe standard of living ili urudi? Unaleta mchango gani kwa taifa ukirudi? Mbona yalikushinda ukakimbia?
bado na wewe hujajibu swali wala hamlielewi masikini ya Mungu diaspora...
Rondo ameleta hoja ya kiuchumi, msome tena na kitu nilichomuuliza, please.
that's right, ulikurupuka kujisemea usichokijua.
Kaa ukijua diaspora wengi wanaishi maisha ya viwango vya kawaida sana tu.
-Wanaishi kwenye makazi ya kudumu ya kupanga, wachache wao wana mortgage, wanalipa miaka 30. Wenzao nyumbani, hata kwa mishahara hafifu ya walimu, wanajenga...
-Wanaishi kwa kujificha kwa vile hawana makaratasi
-Wanafanya kazi zenye mishahara midogo, odd jobs, "kazi za ajabu ajabu..."
-Waliochukua uraia wakirudi nyumbani inabidi waingie kwa kujificha, na wafiche mali zao zisije kukamatwa na Lukuvi...
-hawana potential ya kuwa watu wa maana kama wakurugenzi wa mashirika au viongozi wa kiserikali au mahakama, au chochote kwa vile ni wageni, ni weusi, ni disenfranchised, wana language barrier...
-Wanazeeka wakiwa wamechelewa hatua muhimu za kijamii kama kuoa, kuzaa na kusomesha watoto...
-Wana waste miaka mingi na hela nyingi kutafuta makaratasi kupitia ndoa magumashi, wengine mpaka miaka 10 kama ndoa ya kwanza inadunda, na ni nyingi sana zinadunda...
-Wanaishi kwa upweke na msongo wa mawazo ya kufiwa wazazi ambao wameshindwa kuja kuwazika...
-Wengine wana makaratasi lakini hawarudi kwa vile nauli hawana! Au anaogopa kurudi hana cha kuonyesha nyumbani, vyeti hana, familia hana, uchumi hana...
-wamekuwa shut out from kusomea au ku practice profession fulani fulani zinazolipa kwa mfano ni Watanzania wangapi ni wasanii au athletes wa kulipwa au wamesomea udaktari au ma lawyer au ma architecture? Mzungu gani atampa Mswahili amchoree jengo lake? Inabidi wasomee unesi wa kulea wazee, CNA. Unajua mshahara wa CNA wewe?
-Wanaishi kwa u-room mate wengi wengi kwenye apartment.... Bongo nani anaishi na room mate?
Standard of living za diaspora? You kidding me?