Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,679
Njooni tubadili katiba wote ili tuishi nchi ya asali na maziwa kama muishivyo.Hapo kwenye "nchi ngumu hii"
nakuunga mkono asilimia mia sijui tufanye nini watoto wetu wasiishi hivi wazee wetu walivyotuachia
Mukituachia sisi tuwe wahanga nyie muje kuishi kwenye barabara za vioo hamtaishi ndoto yenu.