Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mbona tunajua ukilipwa elfu 47, elfu 45 yote ni kulipia bili na chakula. Kwa siku masaa mangapi? Ni nane kama huku au mawili matatu? Huku ukilipwa hata elfu 15 kwa siku end of the day expenses elfu mbili, huna maneno na mtu. Hamna aliyekuita nigger, hujasafisha choo cha public, hujatembeza mbwa wao. Utu VS pesaje nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
Na nitakupangishia kikorido (sio hata chumba) kwa mil 2 kwa mwezi. Mangi atakuuzia nyama elf 20 kwa kilo. Maembe dodo muuza genge atakuuzia elfu 7 moja.je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
We endelea kuosha vyombo hukoo.......ya huku tuachieni......je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
Kabisa unadiriki kuandika nchi itajengwa kwa misaada!! Napata wasiwasi na elimu yako, wataalamu wa uchumi huko ughaibuni wanamini kuwa ujuwaji wa uchumi, ukipimwa na GDP = Consumption + Saving (saving=Investment), sasa investiment inaweza kutoka upande wa serikali ambayo ndio ujenzi wa hayo madaraja, kama nchi inauchumi uliowazi ndio tutaongelea mambo ya exports na importation, sasa sikuwahi kuona variable ya MSAADA katika kusaidia ukuwaji wa uchumi. Nchi haiendi kwa kuzungusha bakuli ulaya,shame on u!!sasa nyinyi wala vumbi mnaojidai mna elimu iliyokamilika hata toothpick tu holaaaaaa. Nchi inajengwa kwa misaada. Badala mkimbilie kuwajengea wananch makazi mengi na bora pamoja na mfumo mzuri wa upatikanaji maji safi na salama manakimbilia miflaiova migorofa na midaraja kama ya kigambon.
Sasa iyo elimu yenu inawasaidia nini? Somen muelimike bana
Huko ndo uozo wa awamu iliyopita, ambayo kiongozi wake Kila wiki tatu za mwezi alikuwa anakuja kula pizza na nyie huko ilhali huku home sisi hali zinazidi kuwa mbaya. No Maji,umeme Barbara n.k.wee vp. Miflaiova halaf ndugu zako wanashindia viwavi?? Kwanini wasianze na vitu vya muhimu Kwanzaa? Haya mabas yaendayo kas matrilion yameteketea tena ya mikopo holaa bado wananch wako dodoma wanashindia viwav. Niambie bomba last ges holaa tena mikopo halafu cc hao hao wala viwavi na watoto wetu tunalipa kwa ajili ya MIJITU MISOMI MICHACHE. Kwanini wasiombe iyo mikopo wafanye
Hii thread umeishikia bango sana, nakuuliza hivi aliyeianzisha unajua alichoongelea na kukilalamikia? Naona kama unatupeleka nje ya madaunamaumivu makali ya ndani eeh. Denmark haijavamiwa kwa taarifa yako ninamchango mkubwa sn kwenye hii nchi. My credit and crime record is good nalipa 36% tax am eligible to take a mortgage na mkopo hata wa 700k DKK. I might be an academic dwarf my Brother but this small nation appreciate my efforts and contributions. Nyinyi endeleen kujenga mibomba ya gesi mibasi iendayo kasi huku wananch maji ya shida wanashindia viwavi
Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.
Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.
shame on you, hiyo elf 47 unayolipa kwa saaa unasave ngapi wakat hata ukifiwa na ndugu wa karibuhuwez kuhudhuria msiba, shame on you brainwashed usiyethamini nchi yako!!je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
Hizo zako, kwetu hapa Tz hazitusaidiii...shame diasporaje nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa