Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Wewe unaelewa tofauti ya mambo ya familia kama msiba na mambo ya kazi mahakama?

Unaelewa what is private and what is public?

Unataka kuipangia familia ya watu baki jinsi ya kuzika?

Hatuwapangii mazishi. Wameshazika. Wanachanwa kwa kudharau mazishi ya baba yao na kutaka sisi ndo tukazike..

Heritage and tradition of African peoples across the centuries call for a duty, which is you bury your parent. Plain and simple.

Three of four Sarungi siblings betrayed and abdicated that honored responsibility.

Illegal aliens who could not step out of those countries maybe? Then what about Maria across the border in Nairobi ? ?
 
Hivi hawa wabongo siku akifariki mtu maarufu halafu familia ikasema inataka kufanya maziko privately, familia iachwe iomboleze privately, wanaenda kuzika watu wachache tu wa familia, kwa mualiko maalum, wataelewa kweli?

Au watasema "wachawi hawa freemason" 😂😂😂
Unakumbuka msiba wa Daud Balali? Wabongo wakajisogeza maskani kwake, wakakuta kimya! Kumbe mjomba kazikwa USA...
 
Hatuwapangii mazishi. Wameshazika. Wanachanwa kwa kudharau mazishi ya baba yao na kutaka sisi ndo tukazike..

Heritage and tradition of African peoples across the centuries call for a duty, which is you bury your parent. Plain and simple.

Three of four Sarungi siblings betrayed and abdicated that honored responsibility.

Illegal aliens who could not step out of those countries maybe? Then what about Maria across the border in Nairobi ? ?
Another argument from tradition logical fallacy.

Unawachana kwani walikuomba umzike baba yao?

Wewe hata kumzika umemzika?

Na kama umemzika, usingemzika asingezikwa?
 
Unakumbuka msiba wa Daud Balali? Wabongo wakajisogeza maskani kwake, wakakuta kimya! Kumbe mjomba kazikwa USA...
Msiba wa Manji kafariki na kuzikwa Marekani watu wamekasirika.

Wabongo hata mimi nikiamua kuzikwa Marekani ninakoishi kwa zaidi ya nusu ya maisha yangu kuna watu watanikasirikia.

Wakati maisha yangu, uamuzi wangu.

Hatujui kupeana nafasi ya kuamua kuishi tunavyotaka.

Kila kitu misheria kibao ya kijinga, miutamaduni kibao haina kichwa wala mguu. Hatujui hata nani kaiweka na mingine wala hatukuikubali.

Wabongo acheni watu waishi, wafe, wazikwe wanavyotaka.
 
Ndio. Wameomba tumzike.

Maria kaichana serikali kutotuma ujumbe mzito.

Hukuja kuzika babaako, unalaumuje wengine kutokuja ?

Wapi wameomba mumzike?

Naomba niwekee Maria alipoichana serikali kutotuma ujumbe mzito.

Weka maneno yake mwenyewe Maria hapa.
 
Nenda kwenye platform zake.
Wewe ndiye umeweka hilo dai hapa, wewe ndiye mwenye wajibu wa kuweka ushahidi na uthibitisho kwamba unachosema ni kweli.

Vinginevyo nitajuaje kasema hayo kweli na hunipeleki kutafuta kitu ambacho hakipo?

Usiweke dai halafu kunipa mimi kazi ya kuweka ushahidi wa kuthibitisha dai lako.
 
Wewe ndiye umeweka hilo dai hapa, wewe ndiye mwenye wajibu wa kuweka ushahidi na uthibitisho kwamba unachosema ni kweli.

Vinginevyo nitajuaje kasema hayo kweli na hunipeleki kutafuta kitu ambacho hakipo?

Usiweke dai halafu kunipa mimi kazi ya kuweka ushahidi wa kuthibitisha dai lako.
Nakupa kazi ?

We ndo hujui kasema nini, halafu unaona kazi kutaka kujua, okay, basi acha.
 
Nakupa kazi ?

We ndo hujui kasema nini, halafu unaona kazi kutaka kujua, okay, basi acha.
Wewe umetoa dai, wewe ndiye unapaswa kuweka ushahidi hapa.

Mpaka sasa hujathibitisha kasema lolote.

Thibitisha madai yako.

Vinginevyo nitakuona muongo tu, umeweka uongo ambao umeshindwa kuuthibitisha hapa.

Wewe muongo?
 
Kwani hao watoto wangehudhuria hayo mazishi huyo marehemu ndio angefufuka?
Au labda wangeleta tofauti gani .
Saa nyingine jitahidi kufikirisha ubongo wako kabla ya kupost manake unaoneka a hujielewi
 
Eti wabongo wakitaka kukukomoa kama unaringa wanasusia msiba wako?

N de A
Dah mkuu, twende nje kidogo ya hii mada ya Sarungi.

Kwa namna tunavyoishi kijima kwa kutegemeana, ukisusiwa msiba umeumbuka, mi nakwambia.

Hatujawa na makampuni ya misiba na maombolezo kama ilivyo kwa wenzetu, kusema utawaita hao wakumalizie jambo lako haiwezekani, kwetu ni jamii.

Nina shuhuda kibao, tena zingine kwa ndugu zangu wa damu namna zilivyowadhalilisha!

Halafu huo uringaji unaousema wewe, nadhani ni neno la jumla tu, lakini kiuhalisia uringaji unaosababisha kupelekea kutengwa na jamii ni ujivuni wa mhusika wa kudharau kuzienenda desturi za kijamii anazoishi nazo katika mzunguko wa jiografia yake.

Jamii isiyo na visasi hawakususii msiba kwa kutokuhudhuria, bali huhudhuria na kisha kukususia mazishi.

Upo katika hali hiyo hiyo ya majonzi ndipo utakapoelezwa makosa yako kwa mfumo wa baraza ili ujitetee uweze kusikilizwa, mchakato ni huo na kama ni chuki za kusingiziwa, uelewe katika mkusanyiko, watu wenye busara zao huwa hawakosi, utasikilizwa na utazipangua tuu.

Lakini kama wewe ni 'kauzibe' kweli baba, hilo litakuwa ni lako linalokuhusu na lita kucost.
 
Mtoa mada ana kitu japokua anashambuliwa.
Kiufupi wasifu wa marehemu katika kuitumikia nchi na uzito wa serikali uliochukuliwa kwenye maziko yake haviwiani.
Tujitahidi kuwalea wanetu katika misingi bora.
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine ni kama hamnazo. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't talk to him before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hol up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show
Unaonekana umejawa na chuki Kali, una stress, unapitia kipindi kigumu sana kihisia. Dunia kwa upande wako iko upside down.

Najua namna ya kukusaidia. Nitafute.
 
Mtoa mada ana kitu japokua anashambuliwa.
Kiufupi wasifu wa marehemu katika kuitumikia nchi na uzito wa serikali uliochukuliwa kwenye maziko yake haviwiani.
Tujitahidi kuwalea wanetu katika misingi bora.
CCM uache kuteka watu, kuwaua kinyama na kuwafanyia madhila mbalimbali, ili mradi tu ni wakosoaji
 
Ninachokiona wote wanaompinga mleta mada ndo masadists.......halafu chadema. Mleta mada ana hoja kubwa sana. Kama waafrika, tuna values zetu kuhusu vitu kama misiba na kutokana na hilo ni haki yake mtoa mada kuliongelea. Cha ajabu zaidi, hawa hawa wanaompinga mtoa mada na kumshambulia, ndiyo wanaoijaza mada iliyoanzishwa ya kumlaumu mama Samia kwa kutohudhuria msiba huu.
 
Ninachokiona wote wanaompinga mleta mada ndo masadists.......halafu chadema. Mleta mada ana hoja kubwa sana. Kama waafrika, tuna values zetu kuhusu vitu kama misiba na kutokana na hilo ni haki yake mtoa mada kuliongelea. Cha ajabu zaidi, hawa hawa wanaompinga mtoa mada na kumshambulia, ndiyo wanaoijaza mada iliyoanzishwa ya kumlaumu mama Samia kwa kutohudhuria msiba huu.
Yaani watoto wa marehemu watatu hawajaja kumzika Baba Yao? Shida ni nauli au nini ?
 
Back
Top Bottom