Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Tungekuwa tunafuatilia rasilimali za nchi yetu kama tunavyofuatilia maisha ya watu..., Amini nakwambia, hata senti moja isingepotea bure...

Ila ndio hivyo tena (our energy and resources are misplaced); Anyway to each their own...
 
Hivi hawa wabongo siku akifariki mtu maarufu halafu familia ikasema inataka kufanya maziko privately, familia iachwe iomboleze privately, wanaenda kuzika watu wachache tu wa familia, kwa mualiko maalum, wataelewa kweli?

Au watasema "wachawi hawa freemason" 😂😂😂
I wish hii ingekuwa ndiyo utamaduni wetu kuanzia leo. Misiba ya Bongo, hasa ya watu maarufu sasa hivi imekuwa ni kama kero. Hakuna privacy kabisa kabisa. ''TV online'' zinapiga kambi nyumbani (mpaka sebuleni) kwa mfiwa, wa-record. Wafiwa wana-rekodiwa wakilia na kuomboleza. Kusema ukweli mimi ningekuwa natoka familia maarufu halafu tufiwe na ndugu yetu ambaye ni maarufu, ningefanya kama ulivyosema, wacha wapige kelele.
 
Hatuwapangii mazishi. Wameshazika. Wanachanwa kwa kudharau mazishi ya baba yao na kutaka sisi ndo tukazike..

Heritage and tradition of African peoples across the centuries call for a duty, which is you bury your parent. Plain and simple.

Three of four Sarungi siblings betrayed and abdicated that honored responsibility.

Illegal aliens who could not step out of those countries maybe? Then what about Maria across the border in Nairobi ? ?
Walikuambia wewe ukazike? Wewe ni mchimba makaburi?
 
Basi wafuasi wake .. wanaharakati wenzake kule mjini X wasitupe lawama kwanini Mama samia hajatoa salam za pole ..
Hao ni kama nyumbu wanaojiendea ovyo, hawajielewi. Nishaelezea hapo juu.

Hutakiwi kuwa unafanya kampeni kubwa sana za mabadikiko ya katiba za kumpunguzia rais madaraka mengi aliyopewa kikatiba, halafu hapo hapo wewe mwenyewe unamuongezea rais nguvu ambazo hata hajapewa kikatiba na kutaka kufanya msiba hauna umuhimu mpaka rais autambue na kutoa rambirambi.

Ni ujinga. Ni kutojielewa.

Rais hana umuhimu huo kwenye misiba ya watu.

Na inawezekana familia ya Sarungi inatoa statement ya kumuondolea rais umuhimu huo, lakini hawa watu walio kamanyumbu wengi wanaojiendea ovyo kwa mkumbo tu, hawaelewi somo.
 
Ninachokiona wote wanaompinga mleta mada ndo masadists.......halafu chadema. Mleta mada ana hoja kubwa sana. Kama waafrika, tuna values zetu kuhusu vitu kama misiba na kutokana na hilo ni haki yake mtoa mada kuliongelea. Cha ajabu zaidi, hawa hawa wanaompinga mtoa mada na kumshambulia, ndiyo wanaoijaza mada iliyoanzishwa ya kumlaumu mama Samia kwa kutohudhuria msiba huu.
Hakuna kitu kama values za waafrika. Kila kabila lina taratibu zake na kila familia inafanya inachoona ni sahihi. Subiri baba yako afe ndiyo utekeleze hizo african values.
 
Je hata angezikwa na dunia nzima , kipi kingebadilika?

Ahsante
 
I wish hii ingekuwa ndiyo utamaduni wetu kuanzia leo. Misiba ya Bongo, hasa ya watu maarufu sasa hivi imekuwa ni kama kero. Hakuna privacy kabisa kabisa. ''TV online'' zinapiga kambi nyumbani (mpaka sebuleni) kwa mfiwa, wa-record. Wafiwa wana-rekodiwa wakilia na kuomboleza. Kusema ukweli mimi ningekuwa natoka familia maarufu halafu tufiwe na ndugu yetu ambaye ni maarufu, ningefanya kama ulivyosema, wacha wapige kelele.
Mkuu,

Hiyo point ni ya wazi kabisa lakini Watanzania wengi hawaielewi.

Washakariri msiba ni hivi na vile.

Sasa hivi misiba, hususan ya watu maarufu, imekuwa kama reality shows za kwenye TV.
 
Kuna Watanzania wengi ni sadists.
Nafikiri Watanzania wengi wanathamini sana kuonekana msibani ndio maana hata Steve Nyerere huwa anahesabu wakina nani wamefika na wapi hawakufika katika misiba yao wasanii.
 
Nafikiri Watanzania wengi wanathamini sana kuonekana msibani ndio maana hata Steve Nyerere huwa anahesabu wakina nani wamefika na wapi hawakufika katika misiba yao wasanii.
Steve Nyerere ndo nani huko Tz?
 
Hatuwapangii mazishi. Wameshazika. Wanachanwa kwa kudharau mazishi ya baba yao na kutaka sisi ndo tukazike..

Heritage and tradition of African peoples across the centuries call for a duty, which is you bury your parent. Plain and simple.

Three of four Sarungi siblings betrayed and abdicated that honored responsibility.

Illegal aliens who could not step out of those countries maybe? Then what about Maria across the border in Nairobi ? ?
Ulitakwa ukamzike Sarungi?
 
Ninachokiona wote wanaompinga mleta mada ndo masadists.......halafu chadema. Mleta mada ana hoja kubwa sana. Kama waafrika, tuna values zetu kuhusu vitu kama misiba na kutokana na hilo ni haki yake mtoa mada kuliongelea. Cha ajabu zaidi, hawa hawa wanaompinga mtoa mada na kumshambulia, ndiyo wanaoijaza mada iliyoanzishwa ya kumlaumu mama Samia kwa kutohudhuria msiba huu.
Values za kulazimishana kuhudhuria misiba na values za kipumbavu
 
Nafikiri Watanzania wengi wanathamini sana kuonekana msibani ndio maana hata Steve Nyerere huwa anahesabu wakina nani wamefika na wapi hawakufika katika misiba yao wasanii.
Unaruhusiwa kuthamini kufika msibani wewe, lakini usimpangie mtu mwingine jinsi ya kuomboleza.

Kuna watu wanajali sana kumuona mtu kabla hajafa, akishakufa kuzika kwao wanaona si muhimu ilmuradi washaagana na marehemu alivyokuwa hai, wanaona watakuja kuangalia kaburi siku yoyote. Hiyo ndiyo falsafa yao ya maisha na huna haki kuwanyanyapaa kwa falsafa hiyo.

Sasa wabongo wakiona hivyo wanaweza hata kukutukana.

Wabongo wanaweza kujua unaumwa wasije kukutazama kwa miaka, lakini ukifa lazima waje kukuzika. Sasa hapa kitu muhimu zaidi ni kipi? Kumtazama mgonjwa na ikiwezekana kumsaidia wakati anaumwa, pengine hata kuzuia kifo chake ikiwezekana, au kuja kumzika wakati kashakufa?

Wabongo wanapenda kujichomeka kwenye misiba ya watu maarufu.Wakati msiba si wao, familia si yao, maisha si yao.

Mradi tu wanajimilikisha shughuli ambazo si zao.

Sasa mtoto wa Sarungi yuko Ulaya, sijui anaishi vipi, sijui makubaliano yake na familia yao yakoje, hajafika kumzika baba yake.

Mimi inanihusu nini wakati hayo ni mambo ya ndani ya familia ya Sarungi?

Mimi natakiwa nipange mambo ya familia yangu, si kuingilia uhuru wa familia ya Sarungi kujipangia wanazikaje mzee wao.

Familia ya Sarungi imefiwa. Jukumu la jamii ni kui support kwa kila njia, sio kuanza kuisimanga na kuweka siasa katika msiba wao.

Kwa nini point hii inakuwa ngumu sana kwa Watanzania wengi kuielewa na kuikubali?
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine ni kama hamnazo. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't talk to him before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hol up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show

Walihuzulia kwa njia ya mtandao. yaani zoom.
Familia ndiyo waamuzi wa mwisho, wengine watazamaji tu
 
Well, msiba wa Manji kijana wake alikuja kuomba msamaha.

Alituletea shughuli ya hitma na dua. Mwili uko wapi ? Kauzika Palm Beach, Florida. Preposterous procession. Kwa nini hukumaliza kila kitu huko huko? Hatujaja kula ubwabwa hapa.

Jamii ilimshukia kama lori la matofali. Akaja kujieleza baba alitaka kuzikwa na babu , ndio sasa nimejua baba aligusa "watu ngapi" na aliacha alama gani. Kiswahili hajui, mhamiaji mwingine aliyevurugwa na utambulisho.

Watanzania waliofahamu alama aliyoacha, na walioshukuru kwa "watu ngapi" aliowagusa, walikuja na President Kikwete kwenye hitma, business leaders and national clergy, no less Head Mufti of the country.

Miami Beach, Florida alizikwa na Mwenyekiti wa Chama cha Diaspora at best, not remotely the dignified funeral he deserved.

End of the day family profusely apologized and commiserated and we moved past the mess.

Traditionists and other observers could only ascribe it to poor understanding of social sensibilities, mores and customs of the people you lived with.
Mtoto wa Manji alikuwa anajitengeneza yeye na familia yake mazingira mazuri ya kuzifikia fursa za biashara kwa Waswahili ndio maana akafanya hayo yote.
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine ni kama hamnazo. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't talk to him before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hol up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show
Unaandika kishabiki utadhani kichwa umeweka rehani kukopa hela ununue dela.
 
Na hiyo ni haki yao.

Familia yao, maisha yao, maamuzi yao.

Tatizo liko wapi?

Pilipili ya shambani kwa familia ya Sarungi nyie inawawashia nini?
It’s funny how people are getting bent out of shape, fuming and frothing at the mouth about a bereavement arrangement of another family who are seemingly fine with whatever they agreed on.

Suala ni la kifamilia. Kama wao walikubaliana na wakaelewana kuwa baadhi yao hawatoweza kushiriki moja kwa moja kwenye msiba wa baba yao kwa sababu zozote zile, tatizo liko wapi hapo?

Kuna mambo mengine mtu unaweza kudhani ni mepesi sana kuyaelewa, kumbe wapi!

Watu wameumia mno kwa kukosekana kwa Maria.

SMH.
 
Back
Top Bottom