Well, msiba wa Manji kijana wake alikuja kuomba msamaha.
Alituletea shughuli ya hitma na dua. Mwili uko wapi ? Kauzika Palm Beach, Florida. Preposterous procession. Kwa nini hukumaliza kila kitu huko huko? Hatujaja kula ubwabwa hapa.
Jamii ilimshukia kama lori la matofali. Akaja kujieleza baba alitaka kuzikwa na babu , ndio sasa nimejua baba aligusa "watu ngapi" na aliacha alama gani. Kiswahili hajui, mhamiaji mwingine aliyevurugwa na utambulisho.
Watanzania waliofahamu alama aliyoacha, na walioshukuru kwa "watu ngapi" aliowagusa, walikuja na President Kikwete kwenye hitma, business leaders and national clergy, no less Head Mufti of the country.
Miami Beach, Florida alizikwa na Mwenyekiti wa Chama cha Diaspora at best, not remotely the dignified funeral he deserved.
End of the day family profusely apologized and commiserated and we moved past the mess.
Traditionists and other observers could only ascribe it to poor understanding of social sensibilities, mores and customs of the people you lived with.