Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Diaspora watatu wa Mzee Sarungi hawakuja kumzika baba yao

Unaruhusiwa kuthamini kufika msibani wewe, lakini usimpangie mtu mwingine jinsi ya kuomboleza.

Kuna watu wanajali sana kumuona mtu kabla hajafa, akishakufa kuzika kwao wanaona si muhimu ilmuradi washaagana na marehemu alivyokuwa hai, wanaona watakuja kuangalia kaburi siku yoyote. Hiyo ndiyo falsafa yao ya maisha na huna haki kuwanyanyapaa kwa falsafa hiyo.

Sasa wabongo wakiona hivyo wanaweza hata kukutukana.

Wabongo wanaweza kujua unaumwa wasije kujutazama kwa miaka, lakini ukifa lazima waje kukuzika. Sasa hapa kitu muhinu zaidi ni kipi? Kumtazama mgonjwa na ikiwezekana kumsaidia wakati anaumwa, pengine hata kuzhia kifo chake ikiwezekana, au kuja kunzika wakati kashakufa?

Wabongo wanapenda kujichomeka kwenye misiba ya watu maarufu.Wakati msiba si wao, familia si yao, maisha si yao.

Mradi tu wanajimilikisha shughuli ambazo si zao.

Sasa mtoto wa Sarungi yuko Ulaya, sijui anaishi vipi, sijui makubaliano yake na familia yao yakoje, hajafika kumzika baba yake.

Mimi inanihusu nini wakati hayo ni mambo ya ndani ya familia ya Sarungi?

Mimi natakiwa nipange mambo ya familia yangu, si kuingilia uhuru wa familia ya Sarungi kujipangia wanazikaje mzee wao.

Familia ya Sarungi imefiwa. Jukumu la jamii ni kui support kwa kila njia, sio kuanza kuisimanga na kuweka siasa katika msiba wao.

Kwa nini point hii inakuwa ngumu sana kwa Watanzania wengi kuielewa na kuikubali?
Ki bongo kuhudhuria misiba ni sifa kubwa sana, ukiwa mhudhuriaji misiba mara kwa mara utasifiwa sana na kusemwa kama mfano wa kuigwa kwa utu na ushirikiano katika jamii.
 
It’s funny how people are getting bent out of shape, fuming and frothing at the mouth about a bereavement arrangement of another family who are seemingly fine with whatever they agreed on.

Suala ni la kifamilia. Kama wao walikubaliana na wakaelewana kuwa baadhi yao hawatoweza kushiriki kwenye msiba wa baba yao kwa sababu zozote zile, tatizo liko wapi hapo?

Kuna mambo mengine mtu unaweza kudhani ni mepesi sana kuyaelewa, kumbe wapi!

Watu wameumia mno kwa kukosekana kwa Maria.

SMH.
Mabaki ya Ujamaa hayo. Collectivism everywhere.

Mpaka kwenye mambo ya faragha ya familia jamii inataka kuwapangia jinsi ya kumzika mzee wao.

People do not even know their own thinking, they just conform to societal expectations, even in a fast changing world when these expectations may no longer hold valid.
 
Tungekuwa tunafuatilia rasilimali za nchi yetu kama tunavyofuatilia maisha ya watu..., Amini nakwambia, hata senti moja isingepotea bure...

Ila ndio hivyo tena (our energy and resources are misplaced); Anyway to each their own...
Inasikitisha sana.
 
Ki bongo kuhudhuria misiba ni sifa kubwa sana, ukiwa mhudhuriaji misiba mara kwa mara utasifiwa sana na kusemwa kama mfano wa kuigwa kwa utu na ushirikiano katika jamii.
Najua.

Mshua wangu ni never miss misibani. Alikuwa hapa US kwenye shughuli zake, kasikia kuna msiba wa familia Tanzania. Kijana mdogo tu wa familia kafariki, my cousin. Mshua kapanda ndege kurudi Tanzania, kazika, kakaa a few weeks. Na sasa kapanda ndege tena karudi US kuendelea na shughuli zake.

Alirudi Tanzania specifically kuzika msiba ambao angepiga simu na kutoa rambirambi kutoka US kila mtu angemuelewa, lakini yeye akasema lazima apande ndege na kurudi kuzika, halafu akimaliza kuzika anapanda ndege tena na kurudi US.

Mpaka sasa namuangaliaaaa.
 
Unaruhusiwa kuthamini kufika msibani wewe, lakini usimpangie mtu mwingine jinsi ya kuomboleza.

Kuna watu wanajali sana kumuona mtu kabla hajafa, akishakufa kuzika kwao wanaona si muhimu ilmuradi washaagana na marehemu alivyokuwa hai, wanaona watakuja kuangalia kaburi siku yoyote. Hiyo ndiyo falsafa yao ya maisha na huna haki kuwanyanyapaa kwa falsafa hiyo.

Sasa wabongo wakiona hivyo wanaweza hata kukutukana.

Wabongo wanaweza kujua unaumwa wasije kujutazama kwa miaka, lakini ukifa lazima waje kukuzika. Sasa hapa kitu muhinu zaidi ni kipi? Kumtazama mgonjwa na ikiwezekana kumsaidia wakati anaumwa, pengine hata kuzhia kifo chake ikiwezekana, au kuja kunzika wakati kashakufa?

Wabongo wanapenda kujichomeka kwenye misiba ya watu maarufu.Wakati msiba si wao, familia si yao, maisha si yao.

Mradi tu wanajimilikisha shughuli ambazo si zao.

Sasa mtoto wa Sarungi yuko Ulaya, sijui anaishi vipi, sijui makubaliano yake na familia yao yakoje, hajafika kumzika baba yake.

Mimi inanihusu nini wakati hayo ni mambo ya ndani ya familia ya Sarungi?

Mimi natakiwa nipange mambo ya familia yangu, si kuingilia uhuru wa familia ya Sarungi kujipangia wanazikaje mzee wao.

Familia ya Sarungi imefiwa. Jukumu la jamii ni kui support kwa kila njia, sio kuanza kuisimanga na kuweka siasa katika msiba wao.

Kwa nini point hii inakuwa ngumu sana kwa Watanzania wengi kuielewa na kuikubali?
What frustrates me is that, this is just basic common sense!

Ni jambo ambalo halihitaji maelezo yote hayo.

Some people…..
 
Najua.

Mshua wangu ni never miss misibani. Alikuwa hapa US kwenye shughuli zake, kasikia kuna msiba wa familia Tanzania. Kijana mdogo tu wa familia kafariki, my cousin. Mshua kapanda ndege kurudi Tanzania, kazika, kakaa a few weeks. Na sasa kapanda ndege tena karudi US kuendelea na shughuli zake.

Alirudi Tanzania specifically kuzika msiba ambao angepiga simu na kutoa rambirambi kutoka US kila mtu angemuelewa, lakini yeye akasema lazima apande ndege na kurudi kuzika, halafu akimaliza kuzika anapanda ndege tena na kurudi US.

Mpaka sasa namuangaliaaaa.
Mshua wako ana akili sana bahati mbaya mwanaye umeshindwa kupata hata 25% ya mshua.

Ila una muda wa kujifunza kitu kutoka kwa baba yako
 
Najua.

Mshua wangu ni never miss misibani. Alikuwa hapa US kwenye shughuli zake, kasikia kuna msiba wa familia Tanzania. Kijana mdogo tu wa familia kafariki, my cousin. Mshua kapanda ndege kurudi Tanzania, kazika, kakaa a few weeks. Na sasa kapanda ndege tena karudi US kuendelea na shughuli zake.

Alirudi Tanzania specifically kuzika msiba ambao angepiga simu na kutoa rambirambi kutoka US kila mtu angemuelewa, lakini yeye akasema lazima apande ndege na kurudi kuzika, halafu akimaliza kuzika anapanda ndege tena na kurudi US.

Mpaka sasa namuangaliaaaa.
Binadamu ni social animals wanatakiwa interactions, nchi waliokataa social interactions sasa hivi wanaunda wizara na kuteua waziri wa kushughulikia upweke na msongo wa mawazo
 
What frustrates me is that, this is just basic common sense!

Ni jambo ambalo halihitaji maelezo yote hayo.

Some people…..
Nyie diaspora hamna values za Kiafrika, tayari mumevurugwa na maisha ya kishenzi mnayoishi huko.

Tunapojadili hoja hii nyinyi haiwahusu, kaeni kimya tu na Kiranga wako
 
Binadamu ni social animals wanatakiwa interactions, nchi waliokataa social interactions sasa hivi wanaunda wizara na kuteua waziri wa kushughulikia upweke na msongo wa mawazo
Mfano nchi zipi wamekataa social interactions na ambapo watu hawazikani?
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine ni kama hamnazo. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't talk to him before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hol up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show
Kutokuwepo kwao naimani hawajabadilisha kitu kwa lugha nyepesi wapo kama biringanya kwenye mchuzi likipatikana sawa likikosekana sawa halina ulazima
 
Ni kukosa adabu sana kuiingilia familia iliyo katika msiba kuhusu jinsi inavyotaka kuomboleza na kuzika mpendwa wao.

Kila familia ina mambo yake, na mtu wa nje ya familia kujifanya anaijua hiyo familia kuliko hiyo familia inavyojijua yenyewe, ni ujinga tu.

Watanzania wengi wanapenda kujichomeka kwenye mambo ya watu maarufu, kama hao watu maarufu ni rafiki zao, kama wanawajua personally, kama ni ndugu zao.

Kwa sababu wanawasoma kwenye magazeti na mitandao tu.

Wakati hao watu maarufu wenyewe hawawajui na pengine wala hawajali kuwajua.

Huu ni kama ugonjwa fulani hivi.
Anonymous huwa inawapa watu ujasiri wa ajabu na hovyo
 
Anonymous huwa inawapa watu ujasiri wa ajabu na hovyo
Ni haki yao kuwa Anonymous ila hoja dhaifu ni dhaifu tu ikiwa mtu kazitoa kwa jina lake au Anonymous.

Tanzania dhana ya uhuru wa mtu binafsi ni ngumu sana kueleweka.

Na hii ni tabia moja ya jamii masikini zenye elimu ndogo.

Ndiyo maana familia zilizoelimika na kuupita umasikini katika jamii masikini zinapata tabu sana kueleweka.
 
Nyie diaspora hamna values za Kiafrika, tayari mumevurugwa na maisha ya kishenzi mnayoishi huko.

Tunapojadili hoja hii nyinyi haiwahusu, kaeni kimya tu na Kiranga wako
Values za Kiafrika ndo zikoje hizo? Hizo values zipo Afrika nzima, kuanzia N’Djamena mpaka Maseru?
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine wamechemka vibaya vibaya. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't have last words with your father before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hold up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show
Heche kusema sana muda mwingine unatema mashudu!
 
Ulitakwa ukamzike Sarungi?

Watoto wake walipaswa.

Watatu kati ya wane hawakuja.

Serikali ikasema what the heck !

Send out Chalamila and Ridhiwani.

Sasa mnatuambia ilikuwa private funeral. Boatloads of milions received from mourners, private funeral unaweka daftari la ubani na rambi rambi ?

Maria umezingua, baba yako anabiringika kaburini.
 
Watoto wake walipaswa.

Watatu kati ya wane hawakuja.

Serikali ikasema what the heck !

Send out Chalamila and Ridhiwani.

Sasa mnatuambia ilikuwa private funeral. Boatloads of milions received from mourners, private funeral unaweka daftari la ubani na rambi rambi ?

Maria umezingua, baba yako anabiringika kaburini.
Wazee wasio na watoto huwa wanazikwa na nani?
 
Values za Kiafrika ndo zikoje hizo? Hizo values zipo Afrika nzima, kuanzia N’Djamena mpaka Maseru?
Hiyo hoja ya "values za Kiafrika", apart from lacking authenticity, ni argument from tradition logical fallacy.

Kama kitu ni kizuri, kina mantiki, kinatakiwa kutetewa kwa uzuri wake, kwa mantiki. Bila kutumia hoja ya "values za Kiafrika".

Si kwa hoja ya "values za Kiafrika".

Kwa sababu, hata katika hizo values zinazoitwa za Kiafrika, nyingine zipo mbaya tunataka kuzibadilisha.

So kitu kuwa "values za kiafrika" does not necessarily mean its a good thing.

It's just saying "we want to do it this way, because that is what we have always been doing". Well, we have been doing FGM too, should we always continue to do tgat because we have been doing it in the oast?

That is not a very logically convincing reason for doing something, especially in this world which prizes innovation..
 
Tumewekewa sauti zao wanatoa salamu msibani

Mmoja wa kike yuko Hungary

Mmoja wa kiume hajasema aliko

Mwingine Maria, ye akasema ameshindwa kuja kwa sababu za kiusalama

-----------------------

Wengine wamechemka vibaya vibaya. Yule wa Kiume kaanza kwa kusema these are my last words!

Wait, what ?? Last words to who ? To waombolezaji au to baba yako??? You didn't have last words with your father before he died ??

-------------------

And then enter CHADEMA

Heche kahojiwa msibani kailaani serikali kushindwa kuchunguza kutekwa kwa Maria. Hold up! How the hell do they - Tanzanian authorities - investigate a crime in Kenya ?

Tundu Lissu akaja kwenye podium. Nikasubiri nondo kali na laana kali dhidi mambo ya nchi yaliyomkeraga marehemu.

Heee... muda wote anacheka cheka na bullcrap za Sarungi alikuwa Simba, mimi Yanga, Kikwete kanambia thats all he and Sarungi talked about... Simba na Yanga..... Mama Sarungi kanambia nimwite Veronica... a pack of horse doo doo!

The whole thing was a clown show
Kwani wakati ukiianda mada Tindikali ilikuwaje?
 
Aaah!, mtu akishakufa ndo basi tena. Maneno maneno mengi yanabaki kama umbeya tu, tena msiba mkizika watu wawili watatu unakuwa mzuri sana hauna mambo mengi ni kuzika mwili na kuondoka.
 
Back
Top Bottom