Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp uliwaomba msaadaMtoa mada upo sahihi kabisa diaspora wengi wa Tanzania hasa wanaoishi Marekani hawana lolote kwa sababu mambo ni magumu sana huko..
Diaspora wanao fanya vitu vya maana Tz wengi wao ni wale waliopo kwenye chi kama Qatar Bahrain etc but USA hell no bora hata waliopo Mozambique
Tunaona maisha yao tu mkuu kuna jamaa wapo Marekani toka 2001 hela za matumizi wanaomba kwa bi mkubwa yupo bongoVp uliwaomba msaada
Ova
Ukishapigwa hoja unaanza vingereza. Vipi broooOk, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?
Wameshindwa kuonyesha material hawa watu dayasporaThread ishageuka ukanda wa gaza..
Acha wafu mzikane
Kaka Nyani Ngabu ngeli yako ngumu sana kakaOk, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?
Kuna jamaa yangu alitoka home ndani ya mwaka kamjengea mama yake jumba na wadogo zake wawili kawafungulia biashara za maana , wivu wa majirani kidgo wamchomee ndani mama wa watu .Mkuu papers zimekugomea nini, kuwa mpole Waache Diaspora waenjoy/wateseke wawezavyo.
Btw, malengo yanatofautiana kati ya mtu na mtu, mwingine anasave awekeze home, mwingine anasave anunue nyumba na kuwekeza kulekule sababu hana mpango na huku mavumbi tena.
Mimi kuna mtu wangu wa karibu ameondoka si muda, kuna vitu ameniachia sababu harudi na hana mpango huo.
BFF wangu pepars zake zitatoka soon, sasa huyu anampango akienda kule amkate kila mtu, anasema nitakuwa nawasilina na wewe tu BFF. Ofcoz ana matatizo fulani na familia yake Kwahiyo hamtaki mtu na harudi. Sasa mtu kama huyu utasema aje afanye kitu gani cha maana huku wakati hana mpango napo?
Learn.
Na mi najua tu utafika mbali (nishaanza kujiweka kuwa chawa wako mkuu) 😂😂Kuna jamaa yangu alitoka home ndani ya mwaka kamjengea mama yake jumba na wadogo zake wawili kawafungulia biashara za maana , wivu wa majirani kidgo wamchomee ndani mama wa watu .
Ukiwa maskini ukitaka kujichomoa katikati ya maskini hakuna rangi utaacha kuona .
Ila wakishaona hawawezi kukufikia tena watajifanya machawa wako , utasikia nilijua tu utafika mbali[emoji12][emoji12]
🤣🤣🤣 ngoja tuone kama nitatoboa aseeNa mi najua tu utafika mbali (nishaanza kujiweka kuwa wako mkuu) 😂😂
Ukweli unauma?? Huu usemi umetokea wapi? Au ni usemi wa kicommumist?Ni kweli kabisa mkuu na huwa hawasemi ukweli kazi yao ni kuwa danganya wengine kwa cosmetic life ila wengi wao maisha yao ni magumu sana, na akitokea amerudi Bongo ndio anachanganyikiwa kabisa.
Mnaosema watu wanawaonea wivu sio kweli lazima ukweli usemwe mmbadilike na kama isingekuwa kweli msingekasirika hivyo. Ukweli unauma zaidi ila ukweli ni mmoja huwa haugawanyiki.
Kwa tafsiri ya kisasa tunasema ni uchawiNimemuuliza kwani waliagana naye? Hajajibu.
Watanzania wengi wanapenda sana kuishi kwa kufuatilia maisha ya watu, wakati yao wenyewe yamewashinda.
Uchawi kamili anao sema ajapata vilipuzi kama vya Iran aanze kuturudisha nyuma walala hoiMtu ajilipie nauli anavyojua yeye, atafute viza kwa nguvu zake mwenyewe, apige picha kwa kamera yake mwenyewe, aposti kwa bundle lake mwenyewe, halafu wewe uliyoko Nanjilinji uteseke????
Hudhani kama una dosari kidogo mkuu???
Yani ukasirikie mtu ambae huna mchango wowote kwenye maisha yake???
Ndugu upo hatua chache sana kuwa mchawi kamili. Tafuta maombi kabla hujaanza kupaa na ungo.
Cosmetic life ni wajinga tuu ndio wanaulizia kuja nje mtu kama mimi siwezi kuacha kuenjoy vyakula safi halisi kutoka shambani nije kula vyakula vilivyosindikwa na vyakula vilivyopikwa wiki nzima. Mtu mwenye maisha yake mazuri haitaji kuonesha kwamba yupo vizuri, wale wasio na maisha mazuri ndio huwa wanafanya hivyo kujipa moyoYour point is baseless.
Mtu akudanganye wewe anamaisha mazuri ili apate faida gani? Anapata nini kutoka kwako? Unampa hela au? What if ana maisha mazuri kweli?
Wewe huna shughuli za kufanya hadi ufuatilie nani ana maisha mazuri kweli au mabaya?
Kama unadhani watu wengi wana maisha mazuri bongo kuliko nje, basi na wewe waonyeshe hao diaspora hizo picha ili na wao wakuonee wivu. If that were the case, watu wasingekua wanauliza jinsi ya kwenda nje kila siku.
Alafu watu wengi mliopo ughaibuni mna major depression/sonona kali sana yani symptoms zote mnazo.We baki na familia yako ya kimaskini na Ukapuku wa wazazi wako walio zaa fala kama wewe.
Isitoshe hata Dar es salaam Hujawahi kufika, unaishi huko Madongo kuinama kwenye barabara za vumbi
'dayazipora' lazima wakupike...angalia comment za hasiraUkianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana
Hata watoto wa-nigerian diaspora wanafanya mambo ya maana mfano wakina Anthony Joshua, Israel Adesanya, Saka, Rotimi n.k
Wakenya watoto wao waliozaliwa abroad na diaspora wanafanya makubwa mfano Obama, Lupita Nyongo, rish sunak waziri mkuu wa uingereza na wengineo wengi
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri, wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Nikisingiziwa kitu cha uongo siumii kwa sababu nakuwa na amani ndani yangu kuwa sihusiki nacho.Ukweli unauma?? Huu usemi umetokea wapi? Au ni usemi wa kicommumist?
Mkuu ulishawahi kusingiziwa kitu cha uongo? Utakuja kufuta kauli yako ya ukweli unauma.