Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Hunijui halafu unasema maisha yamenipiga.

Unafanya speculations uchwara tu.

Baba yako bora angemwaga manii zake chooni kuliko kuzaa maskini mbwa takataka kama wewe.
We maskini tu na mbeba mabox tu. Hakuna mwenye maisha mazuri huko mambele wala Tanzania anashinda JF kuchat na akina cocastic na Mabusu . We Kahuku tu, bora urudi ulime nyanya huju Keisho.
 
Wewe unakipi cha maana ulichofanya zaidi ya Ukapuku, ufukara na umaskini wa baba yako aliyezaa fala, mbwa na maskini takataka kama wewe..!!

Baba yako maskini kakuzaa wewe li maskini lingine huna ulichofanya, unakuja kuuliza watu usiowajua nini wamefanya.
Huna ulichofanya wala unachofanya huko kwa watu zaidi ya kuogesha na kutawaza wazee wa kizungu walio paralyze. Ungekuwa na uchumi usingejuwa unashindia ubuyu wa Nifah Huku JF. 😀😃😄😁😆😅
 
Cosmetic life ni wajinga tuu ndio wanaulizia kuja nje mtu kama mimi siwezi kuacha kuenjoy vyakula safi halisi kutoka shambani nije kula vyakula vilivyosindikwa na vyakula vilivyopikwa wiki nzima. Mtu mwenye maisha yake mazuri haitaji kuonesha kwamba yupo vizuri, wale wasio na maisha mazuri ndio huwa wanafanya hivyo kujipa moyo

Angalia life expectany ya wanaokula vyakula vya kusindikwa na wewe unaekula vyakula halisi uone ulivyo mweupe kichwani. Ndo nyie mnaoamini mnawazidi wazungu nguvu sababu mnakula ugali huku timu zenu za michezo zinashindwa hata kuqualify kushiriki mashindano ya kimataifa. Wabongo wengi ni empty set kabisa hivyo vyakula itakua vinawapunguzia uwezo wa kufikiri maana nchi zenyewe ni shitholes.

1.PNG

2.PNG
 
Vipi yule mmiliki wa NALA Tanzania aliyekataa mshahara wa milioni 200 Microsoft? Au unatumia makalio kuwaza?
Alafu NALA sio ubunifu lazima ufahamu sababu biashara ya remmitance iko tokea miaka 90 sibezi hustle zake bali huo ndo ukweli ndo maana benj hapati recognition kivile sababu anafanya kitu ambacho kilikuwepo hata kabla yeye hajazaliwa
 
Angalia life expectany ya wanaokula vyakula vya kusindikwa na wewe unaekula vyakula halisi uone ulivyo mweupe kichwani. Ndo nyie mnaoamini mnawazidi wazungu nguvu sababu mnakula ugali huku timu zenu za michezo zinashindwa hata kuqualify kushiriki mashindano ya kimataifa. Wabongo wengi ni empty set kabisa hivyo vyakula itakua vinawapunguzia uwezo wa kufikiri maana nchi zenyewe ni shitholes.

View attachment 2875652
Kwa hiyo na wewe umekuwa mzungu, sasa Life expectancy unaangalia indicator moja tuu ya chakula. Cases za Cancer kwa Marekani na Ulaya utafananisha na Africa?
Na kama sio uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, Je na nyie diaspora huko mnategemea kufika age ya 80 and above wakati wengi wenu huduma za Afya hampati, mna burnout ana lishe mbovu. Wacha kujinganisha na Wazungu wewe diaspora bullshit.
 
Angalia life expectany ya wanaokula vyakula vya kusindikwa na wewe unaekula vyakula halisi uone ulivyo mweupe kichwani. Ndo nyie mnaoamini mnawazidi wazungu nguvu sababu mnakula ugali huku timu zenu za michezo zinashindwa hata kuqualify kushiriki mashindano ya kimataifa. Wabongo wengi ni empty set kabisa hivyo vyakula itakua vinawapunguzia uwezo wa kufikiri maana nchi zenyewe ni shitholes.

View attachment 2875652
View attachment 2875653
Kwa hiyo na wewe umekuwa mzungu, sasa Life expectancy unaangalia indicator moja tuu ya chakula. Cases za Cancer kwa Marekani na Ulaya utafananisha na Africa?
 
Kwa hiyo na wewe umekuwa mzungu, sasa Life expectancy unaangalia indicator moja tuu ya chakula. Cases za Cancer kwa Marekani na Ulaya utafananisha na Africa?

I presume unamaanisha cases za cancer US na Europe ni nyingi compared to Africa, sasa kwanini life expectancy yao ni kubwa huku wana chronic illness zaidi? Huoni your argument is contradictory? Nyie watu ni mavuvuzela, empty set kabisa. Hivyo vyakula halisi vinakupunguzia uwezo wa kufikiri.
 
Na kama sio uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, Je na nyie diaspora huko mnategemea kufika age ya 80 and above wakati wengi wenu huduma za Afya hampati, mna burnout ana lishe mbovu. Wacha kujinganisha na Wazungu wewe diaspora bullshit.

Bongo huduma za afya mnapata sio? Sio nyie mnalialia kuhusu bima za kulipia elfu50 tu kwa mwaka? Hospital zenyewe zipo? Hujiulizi kwanini viongozi wote wanaenda kutibiwa nje? Wanajua hizo zahanati hamna kitu ni magofu tu.

Unaposema diaspora wanateseka as though bongo wanakula bata wakati uhalisia wote unajulikana ni uwendawazimu.
 
Bongo huduma za afya mnapata sio? Sio nyie mnalialia kuhusu bima za kulipia elfu50 tu kwa mwaka? Hospital zenyewe zipo? Hujiulizi kwanini viongozi wote wanaenda kutibiwa nje? Wanajua hizo zahanati hamna kitu ni magofu tu.

Unaposema diaspora wanateseka as though bongo wanakula bata wakati uhalisia wote unajulikana ni uwendawazimu.

JF hatari. Unakuta huyu yupo hapa hapa nchini tu
 
I presume unamaanisha cases za cancer US na Europe ni nyingi compared to Africa, sasa kwanini life expectancy yao ni kubwa huku wana chronic illness zaidi? Huoni your argument is contradictory? Nyie watu ni mavuvuzela, empty set kabisa. Hivyo vyakula halisi vinakupunguzia uwezo wa kufikiri.
Nimekuuliza wewe unayeangalia indicator moja kufanya justifications kuhusu life expectany, kwao magonjwa ya kuambukiza sio mengi na vifo vya uzazi na watoto wa changa sio vingi kwa sababu ya huduma bora za Afya ila kwa magonjwa yasiyoambukiza na mtindo wa maisha ni mengi mfano Cancer na husababishwa na vyakula pia.

Na wengi wenu ni nyie diaspora na baadhi Black American ambao mna maisha magumu ya kushindwa kupata huduma nzuri za Afya. Kwa hiyo acha kujifanya wewe ni mzungu wakati mnabaguliwa waziwazi na kutemewa mate ni vizee vya kizungu mnavyo viogesha huko
 
Bongo huduma za afya mnapata sio? Sio nyie mnalialia kuhusu bima za kulipia elfu50 tu kwa mwaka? Hospital zenyewe zipo? Hujiulizi kwanini viongozi wote wanaenda kutibiwa nje? Wanajua hizo zahanati hamna kitu ni magofu tu.

Unaposema diaspora wanateseka as though bongo wanakula bata wakati uhalisia wote unajulikana ni uwendawazimu.
Hoja yangu ni wewe kujifanya kama mzawa wa hiyo nchi na wakati hupati stahiki za wazawa.
 
Nimekuuliza wewe unayeangalia indicator moja kufanya justification kuhusu life expectancy, kwao magonjwa ya kuambukiza sio mengi na vifo vya uzazi na watoto wa changa sio vingi kwa sababu ya huduma bora za Afya ila kwa magonjwa yasiyoambukiza na mtindo wa maisha ni mengi mfano Cancer na husababishwa na vyakula pia.

Na wengi wenu ni nyie diaspora na baadhi Black American ambao mna maisha magumu ya kushindwa kupata huduma nzuri za Afya. Kwa hiyo acha kujifanya wewe ni mzungu wakati mnabaguliwa waziwazi na kutemewa mate ni vizee vya kizungu mnavyo viogesha huko
 
Yupo hapa hapa unafikiri hata ni diaspora yupo brainwashed tuu kujiona nae anafanana na mzungu.

Watanzania wengi wana matatizo na ulimbukeni uliyopitiliza.

Haya yote ni kwa sababu wanatumia fake IDs tu kila mtu yupo states, UK, China etc japo baadhi inawezekana wapo kweli japo sio fimbo.

Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba sasa hivi kwenda nje ya nchi either kikazi, biashara au masomo sio kitu cha ajabu kama ilivyo hapo awali.

Sasa hivi kupata passport ni 150k tu, Biashara zimekuwa nyingi, international scholarships nyingi na deals za kikazi hivyo wengi tu pia wanaenda huko ughaibuni.


Tuache kasumba za kuona nje ni kama kitu fulani cha ajabu sana au thamani kubwa kiasi cha kubeza na kuona watu wengine kama wapo nyuma sana kiingereza, kihindi, kichina au lugha yoyote ya ughaibuni ni uamuzi tu hata mtu aliyeishia darasa la 4 akijifunza kwa Ras simba anaweza kukitema vema.


No hard feelings.

Big L.
 
Huna ulichofanya wala unachofanya huko kwa watu zaidi ya kuogesha na kutawaza wazee wa kizungu walio paralyze. Ungekuwa na uchumi usingejuwa unashindia ubuyu wa Nifah Huku JF. 😀😃😄😁😆😅
Huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni kapuku fukara maskini umbwa takataka kafie mbele.

Wazazi wako walizaa furushi, umekuja duniani kuongeza idadi ya mafukara.
 
We maskini tu na mbeba mabox tu. Hakuna mwenye maisha mazuri huko mambele wala Tanzania anashinda JF kuchat na akina cocastic na Mabusu . We Kahuku tu, bora urudi ulime nyanya huju Keisho.
Endelea kukaa huko Madongo kuinama usubiri kufa kuzikwa ukawe chakula cha mchwa.

Huna exposure yeyote duniani hii zaidi ya kula vumbi tu...
 
Back
Top Bottom