Ni bora ukakose lolote la maana abroad kuliko bongo hii ya sisiemu asee ni fedheha, me sina shida nao wanangu wananiinspire.Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Nimekuambia nikuone chuki au wivu kwa kipi mlichofanyaHuyo jamaa anasumbuliwa na chuki, wivu na hasira tu.
Hana hoja.
Wewe ndiye huna cha maana mpaka nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona post yako yoyote kwa sababu unatujazia mavi tu.Kama huna cha maana tulia kama unachomwa sindano
Wanakuinspire kwa kupiga picha kwenye magari na nyumba za watuNi bora ukakose lolote la maana abroad kuliko bongo hii ya sisiemu asee ni fedheha, me sina shida nao wanangu wananiinspire.
Ok, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?
Uachene na nyuzi zinazongea mambo usiyoyapenda kwa sababu huwezi imili ukweliWewe ndiye huna cha maana mpaka nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona post yako yoyote kwa sababu unatujazia mavi tu.
Si ndiyooo.Wanakuinspire kwa kupiga picha kwenye magari na nyumba za watu
Research ya nini na wakati mambo yanaonekana angalia diaspora wa nigeria, ghana kenya, utaelewa nini naongeaUnatumia vigezo gani kutoa hitimisho lako. Umefanya research?
kwetu sisi ambao tumeishi na kusoma huko, wanatia huruma sana hasa wale walioenda bila kisomo. ila wale walio waliosoma na kuajiriwa wana maisha mazuri.Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Kama wao wanakuringishia picha wewe huna vya kuwaringishia kwani?
Waringishie mgao wa umeme, maji kutokuwepo wiki nzima, viongozi wezi wanatajwa wameiba kwenye report ya CAG ila wanapeta na ulinzi mmewapa.
Waringishie chawa wanaolipa $3 kumsifia rais na viongozi wengine, waringishie kuandamana ni kosa ila kwenye katiba maandamano yameandikwa ni ruhusa.
Waringishie treni ambayo wengine wanajenga kwa miaka 2 nyie mnaenda 7 na bado haijulikani lini itaisha ili nanyi mkapige picha.
Yapo mengi sana ya wewe kuwaringishia.
Kwa mantiki hii sina shaka wewe utakuwa unapiga mpaka chabo majirani zako wakiwa wanabanduana.Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia
Nikikumbeshe huna maisha yako ndo maana ukizaliwa wakati hujitambui kuna watu wanakuudumua na hata ukifa unazikwa na watu hata usiowajua
Mimi siumii nilishakuambia hii ni forum au hujui maana ya forumKwa mantiki hii sina shaka wewe utakuwa unapiga mpaka chabo majirani zako wakiwa wanabanduana.
Haya Bw. Forum endelea kuumia na picha za watu ambao maumivu yako hayana athari yeyote kwao.
Nilivyoona title nikataka kukutag kumbe umesha wasili.Ok, but how is that any of your concern?
You don’t got a life of your own and wish to live vicariously through others or what?