[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna chalii yangu yuko Toronto kabadilika kila kitu yani akipiga picha anafanana na kina will smith hata kiatu hakichafuki kama alivyokua huku ngarna au ngalimi
Na ndevu hazijikunji tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mleta uzi hupo sahihi, hawana lolote kazi kupiga mipicha na miwani mikubwa ya kuchomelea, kutulingishia lingishia mipicha.
Wee sema kwelii??majuu nenda ukiwa na kisomo kinachopendwa kule, ukienda huna kisomo unategemea kubeba box, utaumia sana na hakunaga kusaidiana kule kila mtu na hamsini zake. wabongo wazamiaji wengi ukikutana nao kule utakuta wanakuvizia wakuombe pesa na hawachelewi kukuuuza, na wanajifanya wenyejiii wajuajiiii watoto wa mjiniii kumbe hamna kitu. wengi hasa wanaume wanaishia kujishikiza kwa wanawake mtaji kiuno, siku akishindwana na mwanamke anakuwa homeless kwa muda kadhaa hadi apate mwingine.
Yote Heri kuliko kuozea kwenye hii nchi inayoendelewa kuharibiwa na ccm.majuu nenda ukiwa na kisomo kinachopendwa kule, ukienda huna kisomo unategemea kubeba box, utaumia sana na hakunaga kusaidiana kule kila mtu na hamsini zake. wabongo wazamiaji wengi ukikutana nao kule utakuta wanakuvizia wakuombe pesa na hawachelewi kukuuuza, na wanajifanya wenyejiii wajuajiiii watoto wa mjiniii kumbe hamna kitu. wengi hasa wanaume wanaishia kujishikiza kwa wanawake mtaji kiuno, siku akishindwana na mwanamke anakuwa homeless kwa muda kadhaa hadi apate mwingine.
Hakuna tatizo kabisa hapo. By the way, kwani kuchunga wazee Sio kazi halali!?nyani ngabu, icho ulichoandika hapa ni kiingereza, au ndio zile american slang? mtoto wangu wa darasa la sita hapa bongo anaandika kiingereza kizuri kuliko hiki. "you don't got a life of your own" ndio nini icho? sasa hawa ndio wameendaga huko hawana shule, wanabeba mabox na kuchunga wazee. anashindwa hata na mtu aliyesoma HGL tu hapa bongo.
Kiongozi wetu mkuu wa Serikali Video vixen pia, anaweza waringishia na hiiKama wao wanakuringishia picha wewe huna vya kuwaringishia kwani?
Waringishie mgao wa umeme, maji kutokuwepo wiki nzima, viongozi wezi wanatajwa wameiba kwenye report ya CAG ila wanapeta na ulinzi mmewapa.
Waringishie chawa wanaolipa $3 kumsifia rais na viongozi wengine, waringishie kuandamana ni kosa ila kwenye katiba maandamano yameandikwa ni ruhusa.
Waringishie treni ambayo wengine wanajenga kwa miaka 2 nyie mnaenda 7 na bado haijulikani lini itaisha ili nanyi mkapige picha.
Yapo mengi sana ya wewe kuwaringishia.
Lugha ni uwanja mpana. Acha kukariri.nyani ngabu, icho ulichoandika hapa ni kiingereza, au ndio zile american slang? mtoto wangu wa darasa la sita hapa bongo anaandika kiingereza kizuri kuliko hiki. "you don't got a life of your own" ndio nini icho? sasa hawa ndio wameendaga huko hawana shule, wanabeba mabox na kuchunga wazee. anashindwa hata na mtu aliyesoma HGL tu hapa bongo.
Bongo mambo ni marahisi?Mtoa mada upo sahihi kabisa diaspora wengi wa Tanzania hasa wanaoishi Marekani hawana lolote kwa sababu mambo ni magumu sana huko..
Diaspora wanao fanya vitu vya maana Tz wengi wao ni wale waliopo kwenye chi kama Qatar Bahrain etc but USA hell no bora hata waliopo Mozambique
Asante ubarikiwe sana kwa huu mwandikoTafuta maisha yako kijana.
Mwisho wa usiku ukweli usemwa watanzania wengi ni vijicho vya husda na unafki mwingi sana.
Kipindi mtu anazunguka posta kuweka documents sawa aende ubalozi unafki kibao, akishatoka sasa kila mtu anataka attention yake.
Mwisho wa siku kila mtu na familia yake.
We live for others and not for ourselves.Ni jukumu la kila mtu kufanya jambo la maana haijalishi yupo wapi
Kwa bahati mbaya watakuja wengi kukuponda ila ukweli ni kuwa ubinafsi, uchoyo na chuki umejaa kwa waTZ wengi.Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina anthony joshua, saka, rotimi n.k
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
bila kusahau ndugu wake wa karibu umaskini.Njaa kitu Cha ovyo sana
Mtoa mada upo sahihi kabisa diaspora wengi wa Tanzania hasa wanaoishi Marekani hawana lolote kwa sababu mambo ni magumu sana huko..
Diaspora wanao fanya vitu vya maana Tz wengi wao ni wale waliopo kwenye chi kama Qatar Bahrain etc but USA hell no bora hata waliopo Mozambique
Hawa watu wanasumbuliwa na wivu tu, pengine bila hata wao kujua. Kwa sababu wana akili ndogo.
Wangependa sana watu wote tubaki hapo kwa bimkubwa tunahesabu mbao za dari na kupigana mizinga.
Mawazo ya kichawichawi tu.
[emoji817]Mtoa mada na wewe pia unaweza kuwa diaspora ukafanya mambo ya maana.
Hamna mtu aliekuzuia.
Wazungu wana msemo, if you want some done and done well, do it yourself.
Ila ukumbuke kua wanapigania uraia pacha ili waweze kuleta fursa za uwekezaji nyumbani. Sasa bandiko lako ni kama "linawakataa".Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina Anthony Joshua, Saka, Rotimi n.k
Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha
Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad