Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

nyani ngabu, icho ulichoandika hapa ni kiingereza, au ndio zile american slang? mtoto wangu wa darasa la sita hapa bongo anaandika kiingereza kizuri kuliko hiki. "you don't got a life of your own" ndio nini icho? sasa hawa ndio wameendaga huko hawana shule, wanabeba mabox na kuchunga wazee. anashindwa hata na mtu aliyesoma HGL tu hapa bongo.

Kuchamba kwingj mwisho unatoka na mavi tatizo anataka kuonyesha yeye ni nguli mwisho wa siku anaandika matapishi tu sasa kiingereza gani hicho? Vichekesho
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina Anthony Joshua, Saka, Rotimi n.k

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
yaani for sure kule walipo wanaishi kama bongo tu bora liende, hakuna cha maana kule wala huku.

na saa zingine bora wakomae huko huko tu maana wakirudigi bongo vichwa imeharibika tunaishi nao mda mfupi tu wanapotea na tunawasahau 🐒
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa diaspora wengi wa Tanzania hasa wanaoishi Marekani hawana lolote kwa sababu mambo ni magumu sana huko..

Diaspora wanao fanya vitu vya maana Tz wengi wao ni wale waliopo kwenye chi kama Qatar Bahrain etc but USA hell no bora hata waliopo Mozambique

😂😂😂 Siioni Qatar wala Bahrain Hapo. Afu angalia maokoto ya USA. Story zenu za vijiweni zisizo na facts ziwe zinaishia huko huko vijiweni kwa mazwazwa wenzenu sio kwenye jukwaa la GT.

1000077122.jpg
 
yaani for sure kule walipo wanaishi kama bongo tu bora liende, hakuna cha maana kule wala huku.

na saa zingine bora wakomae huko huko tu maana wakirudigi bongo vichwa imeharibika tunaishi nao mda mfupi tu wanapotea na tunawasahau 🐒
Ni kweli kabisa mkuu na huwa hawasemi ukweli kazi yao ni kuwa danganya wengine kwa cosmetic life ila wengi wao maisha yao ni magumu sana, na akitokea amerudi Bongo ndio anachanganyikiwa kabisa.

Mnaosema watu wanawaonea wivu sio kweli lazima ukweli usemwe mmbadilike na kama isingekuwa kweli msingekasirika hivyo. Ukweli unauma zaidi ila ukweli ni mmoja huwa haugawanyiki.
 
Ni kweli kabisa mkuu na huwa hawasemi ukweli kazi yao ni kuwa danganya wengine kwa cosmetic life ila wengi wao maisha yao ni magumu sana, na akitokea amerudi Bongo ndio anachanganyikiwa kabisa.

Mnaosema watu wanawaonea wivu sio kweli lazima ukweli usemwe mmbadilike na kama isingekuwa kweli msingekasirika hivyo. Ukweli unauma zaidi ila ukweli ni mmoja huwa haugawanyiki.
Yes,
ni vizuri kuelezana na kushauriana ukweli halisi kwa uwazi, upole na upendo kama huu, kwa manufaa yetu sote kama ndungu waTZ miongoni mwa mataifa duniani...

Pamoja na yote tuombeane kheri, Baraka na Neema za Mungu katika kazi, majukumu na mahangaiko yetu katika kujitaftia riziki halali popote tulipo....
 
Ni kweli kabisa mkuu na huwa hawasemi ukweli kazi yao ni kuwa danganya wengine kwa cosmetic life ila wengi wao maisha yao ni magumu sana, na akitokea amerudi Bongo ndio anachanganyikiwa kabisa.

Mnaosema watu wanawaonea wivu sio kweli lazima ukweli usemwe mmbadilike na kama isingekuwa kweli msingekasirika hivyo. Ukweli unauma zaidi ila ukweli ni mmoja huwa haugawanyiki.

Wanadanganya wengine kwa manufaa gani?

Bongo ingekua kutamu wasingeenda mbele.
 
Wanadanganya wengine kwa manufaa gani?

Bongo ingekua kutamu wasingeenda mbele.
Wanadanganya kuonesha kuwa wana maisha mazuri kitu ambacho si kweli ili kuonesha watu kuwa wapo na maisha mazuri chukulia mfano wa wasanii wa kibongo na maisha ya kufake. Kiujumla wanajidanganya wenyewe.

Sio kweli mkuu try to thick critically, kwani kwenda mbele ni hoja, kuna watu wanaishi maisha mazuri bongo vibaya sana, sasa wewe kwenda kuwa homeless na kula processed food na vyakula vya juzi ndio utamu huo. Wengi walienda kwa kudanganywa hivyo hivyo walipofika hawakukuta maisha mazuri kama walivyofikiri wao.

Chukulia mfano kuna watu wanaishi maisha ya tabu sana hapa Dar ila kuna mtu mwingine mkoani ana maisha mazuri sana cha ajabu huyu wa Dar anaigiza kuwa ana maisha mazuri ila akipata shida km kuugua ndio anaumbuka.
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina Anthony Joshua, Saka, Rotimi n.k

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Uliza familia zao. Wamesaidia au wanakula bata tu?
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa Nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana na hata watoto wao ndo hawa wakina Anthony Joshua, Saka, Rotimi n.k

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa Tanzania wanaoishi South Afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
inaonekana humu wako wengi. watakunyoosha hadi uombe po
 
Back
Top Bottom