Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Yupo ubeligiji, anarudi anaondoka tena. Fany THii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuu
Duuuhh, wewe ndiyo kabisa umenipa msamiati mpya kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo ubeligiji, anarudi anaondoka tena. Fany THii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuu
Duuuhh, wewe ndiyo kabisa umenipa msamiati mpya kisiasa
Tundu Antipas LegendHii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuu
Madilu alikuwa mtalaamu wa Diblo Dibara toka CongoNimekuwa nikisikia hili jina la utani kwa mwanasiasa fulani. Sijajua kalengwa nani. Namaanisha hili jina la utani kabatizwa nani? Ongea kwa code usitaje jina moja kwa moja.
Mtu kuwa Waziri Mkubwa ndiyo umuite Diblo Dibala?Nimekuwa nikisikia hili jina la utani kwa mwanasiasa fulani. Sijajua kalengwa nani. Namaanisha hili jina la utani kabatizwa nani? Ongea kwa code usitaje jina moja kwa moja.
Tulisema msitaje majina wajemeniTundu Antipas Legend
oooooohhh my GodMtu kuwa Waziri Mkubwa ndiyo umuite Diblo Dibala?
Ilitakiwa aitwe Piko a.k.a Kikongwe
Two-ndo Aunt Pass Lee Su.TAL = Shimo ShangaziPita Kisu
Basi nashauri Uzi ufungwe sasaAu jina jingine wanamwita mzee wa piko
Kuna wengine wanataja yule manywele meusi, Mkuu wa wenzie bararazani baada ya mwenyekiti wa baraza. Kwenye baraza la kutunga sheria huwa kiongozi wa gavament.Two-ndo Aunt Pass Lee Su.
Mzee wa kupaka piko 🤣🤣Yupo anachapa kazi, unataka aonekane Kariakoo?
Gunduz sio?🤣🤣🤣
Private Monitoring ya akina shangazi kulikofuka moshi,jembe likiwa hewani hadi tukafungwa na Ug.kwa Mkapa na taa zikizingua akiwepo yeye kama the TOP.
huyu anafanana na Jogwe.View attachment 2575848
Kwa mbali sana anataka kufanana na huyo jamaa
hii nayo imekaa kitaalam sana