Did Mwalimu die a natural death?

Did Mwalimu die a natural death?

I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"

U knw where mwl waz burried,go and ask him....how comz u ask such stupid qtn? With such stupidity of urs u will never realize urself
 
there is no artificial death so am confused with ua question bcoz the cause of death can not b natural but not death. so mwl died a natural death!

mkuu vifo vya artificial vpo mfano vya kwnye muv za akina rambo
 
ni vigumu sana kama akili yako nyepesi kuielewa post hii ila ukweli na kwamba nyerere death was planning by white nation
1.HOW
mwalimu alipandikizwa vimelea vya kansa akiwa ulaya alipokua akiishi baada ya kuomba na mataifa hayo kupitia chakula miaka 3 kabla ya kifo chake
2.Sababu.
Viongozi wa tanzania baada ya mwalimu walikua wanalalamika kua nchi inaongozwa kutoka butiama na sio ikulu .ukweli ni kwamba fikra za mwalimu ziliendela kutawala nchi hata baata ya kustaafu na hii ilikua kikwazo cha unyonyaji
3.mifano
mwalimu hakuruhusu kabisa migodi ichimbwe na wazungu katika moja ya hotuba zake mwalimu aliwahi kutamka kua nitasomesha watu wangu waje wachimbe madini yao wenyewe kwa sasa hatuwezi kuchimba hatuna ujuzi wala mitambo
4.MKAPA kuhusishwa
mkapa alikua anafahamu fika juu ya mpango huu na yeye kua raisi ilikua ni ushindi mkubwa kwa europe na sera zilizolenga kuwanenepesha wao mkapa ndie alikua kibaraka anaeongoza sera hizo
5.mbunge wa chadema agusia arusha.
Katika kipindi cha uchaguzi arusha nilisikia kupitia vyombo vya habari mbunge wa chadem sikumbuki jina lake sababu mimi sio mshabiki wa hizi siasa alimuomba mkapa aeleze mazingira ya kifo cha nyerere hiyo ilikuja baada ya mkapa kudai amtambui kijana huyo kua anatoka katika familia ya mwalimu mkapa hakujibu isipokua aliomba wayamalize nje ya media
unaweza ukapima mwenyewe ni kitu fulani iliyofichika sana
 
I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"

Tatizo JF ni moja tu, post za kwanza kwanza zikionyesha kupinga kilicho letwa na Member yeyote basi tegemea mpaka mwishi ni kupingwapingwa tuuu...

Imran Shimbo usihofu Karibu MF hakuna kufuata mikumbo kama huku (Uhuru wenye mipaka ni Utumwa).
 
Tatizo JF ni moja tu, post za kwanza kwanza zikionyesha kupinga kilicho letwa na Member yeyote basi tegemea mpaka mwishi ni kupingwapingwa tuuu...

Imran Shimbo usihofu Karibu MF hakuna kufuata mikumbo kama huku (Uhuru wenye mipaka ni Utumwa).

JF yatosha MF ya nini
 
Turudi nyuma twende mbele alafu tujiulize nini kwanini na wakowapi? Wafuatao pro.malima imrani kombe Amina chifupa daud mwangosi juan mwaikusa dr mvungi na mengi orodha yao ni ndefu dana naogopa kupoteza muda kwa kuorodhesha ukipata jibu wapi walipo basi kifo cha mheshimiwa hakitakusumbua na hutakuwa maswali tena
 
Turudi nyuma twende mbele alafu tujiulize nini kwanini na wakowapi? Wafuatao pro.malima imrani kombe Amina chifupa daud mwangosi juan mwaikusa dr mvungi na mengi orodha yao ni ndefu dana naogopa kupoteza muda kwa kuorodhesha ukipata jibu wapi walipo basi kifo cha mheshimiwa hakitakusumbua na hutakuwa maswali tena

Amina Chifupa alikufa kwa ukimwi.
 
Dah,nimetetemeka baada ya kusoma hii thread!
Kuna makubwa yamefichika kwenye system aisee
 
Turudi nyuma twende mbele alafu tujiulize nini kwanini na wakowapi? Wafuatao pro.malima imrani kombe Amina chifupa daud mwangosi juan mwaikusa dr mvungi na mengi orodha yao ni ndefu dana naogopa kupoteza muda kwa kuorodhesha ukipata jibu wapi walipo basi kifo cha mheshimiwa hakitakusumbua na hutakuwa maswali tena

Ish! Yaani hata Mwangosi unamjumuisha kundini wakati inajulikana kuwa alitolewa kafara na Slaa na sasa ni msukule unaomuingizia mahela mengi tu.
 
I can dare say Yes! Mwezi wa July 1999 kulikuwa na kongamano la Mwalimu Nyerere na nilihudhuria. Lilifanyika kijijini kwake Butiama. Mwalimu nilikaa nae kti kimoja na tulipata kuongea mawili matatu. Alionekana dhaifu sana kimwili, ingawa kiakili na spiritually alikuwa bado very strong. Alikuwa amepoteza rangi kabisa naweza kusema alifanana kabisa na zeruzeru na kichwa chake chote cheupe, alikuwa akitembea kidhaifu na wakati wote alikuwa na miwani myeusi! Wengi tuliokuwa pale tulikwisha anza kuteta na kuulizana kinachomzibu Mwlm Nyerere. Afisa mmoja wa Usalama aliyekuwa karibu alitufahamisha kuwa alikuwa akiumwa muda tu kwa sasa na kuna siku moja aliwahi kumuuliza Raisi wa wakati huo B. W. Mkapa "je, umewaeleza watanzania ninachoumwa?" alimalizia afisa huyo. Alipofariki mwaka huohuo October 14 1999 niliweza kuamini kabisa taarifa za vyombo mbalimbali vya habari kikiwemo cha BBC ambacho kilisema ninankuuu "The 77-year-old statesman was diagnosed with leukaemia in August 1998 and was being treated in a London hospital" tazama hapa: BBC News | Africa | Tanzania's Nyerere dies
Sishawishiki kabisa na propaganda yeyote itakayosema kwa umri wake na hali ambayo niliishuhudia mwenyewe kwa macho kuwa atakua ameuwawa. Tayari alikuwa dhaifu sana na kama tutakumbuka aliondoka hapa kwenda kwenye matibabu na si vinginevyo! Hivyo basi, naamini kabisa, Mwl. Nyerere alifariki kwa kifo kinachotokana na ugonjwa aliyokuwa nao na si vinginevyo.

I can also dare to say kwamba by July 1999 mwl was not so weak to justfy your point. I remember to have mate with him during 77 exhibition at Kilwa Road and he looked healthier na ali manage kutembelea mabanda mengi huku akiwa mchangamfu na msikivu wa kiwango cha juu wakati wote wa matembezi yake. Japokuwa yeye hakuwa na tabia ya kula au kunywa kama viongozi wengine walivyokuwa wakifanya baada ya matembezi kwenye mabanda, lakini yeye siku hiyo alikubali kupumzika kwa muda ambapo tuliyokuwa tumeambatana naye, tulikula na kunywa huku akitupigisha story za hapa na pale. So it is not true that July 1999 he was already weak.
 
Ish! Yaani hata Mwangosi unamjumuisha kundini wakati inajulikana kuwa alitolewa kafara na Slaa na sasa ni msukule unaomuingizia mahela mengi tu.


Usiwe na akili ndogo kama ya kuku chadema wana jeshi ama slaa kikosi gani kinacho mtii hadi kitekeleze amri yake jaribu kufikiri kwa makini if you dont know no right to say cool down


Usiwe na akili ndogo kama ya kuku
 
Usiwe na akili ndogo kama ya kuku chadema wana jeshi ama slaa kikosi gani kinacho mtii hadi kitekeleze amri yake jaribu kufikiri kwa makini if you dont know no right to say cool down


Usiwe na akili ndogo kama ya kuku

Najua tatizo lako ni viroba vya gongo ndo vinakusumbua
 
Back
Top Bottom