kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Wakuu heri ya mwaka mpya...
Kwanza kabisa mimi nimekuwa shabiki mkubwa sana wa timu pendwa ya Chelsea.
Huwa nakaa na kutafakari sababu iliyomfanya Conte amuuze Costa na kuchukua Morata ilihali Costa alikuwa ana score magoli mengi sana, pia alisaidia Chelsea kutwaa ubingwa msimu uliopita.
Naomba wazoefu mnijulishe vigezo alivyotumiaa Kocha huyu
Naomba kuwasilisha...
Kwanza kabisa mimi nimekuwa shabiki mkubwa sana wa timu pendwa ya Chelsea.
Huwa nakaa na kutafakari sababu iliyomfanya Conte amuuze Costa na kuchukua Morata ilihali Costa alikuwa ana score magoli mengi sana, pia alisaidia Chelsea kutwaa ubingwa msimu uliopita.
Naomba wazoefu mnijulishe vigezo alivyotumiaa Kocha huyu
Naomba kuwasilisha...