Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
 
😂😂😂😂😂😂 umeamua kudili na wafu kama wateja wako
 
Shida siku utakayokuwa umeweka hio bangi tu hofu itatanda usoni😂
 
noted,mbwa dume
 
Vipi yule aliyetoa million 80 aliishiaje
 
Hii Tanzania kusafirisha bangi kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni rahisi sana. Mimi ningepata connection ya wapi natoa na wapi nauza hii kitu ningeifanya.
Mara nyingi hizi deal, kukamatwa huwa kunatokea ukichomwa.

Ukipanda magari ya Moshi/Rombo kwenda Dar. Kuna watu wanabena sana Mirungi.

Abiria mnakuwa wengi kama 60, lakini unaweza kushangaa mkifika Msata huko Basi linapigwa mkono, unashushwa wewe tu na bag lako.
 
Ukiingiza kama skrepa halafu ukaiasembo ile registration unaipataje hapa kutoka tra? Hebu tujuze mdau.

Siwezi kuzungumza kila kitu hapa ila nitafafanua kidogo, mfano umepata Ford 6610 kwa Chinjachinja au Bovu hapa Bongo unanunua kifua na kadi na unabadiri umiliki, unalocate Ford 6610 Harare au Zambia, unaisambaza unabeba kama Spea ila ni trekta zima.
Ukifika bongo unafunga kila kitu kwenye kifua cha trekta la Chinjachinja na kadi yake. Unapata trekta mint condition with everything work as it should.
N:B Ni kazi ya kiume.
 
Mkuu sio bangi tu. Halamu yoyo kusafirisha ni rahisi, juzi nimetoka tabora mpaka dar nagari hakuna ata seemu moja nimeo gari ikisachiwa. Kifupi ukiona umekamatwa ujue kanamtu umezinguana nae kakuchomesha..

Hizo shughuli haram nime-escort sana bidhaa border to border ukiangukiwa tu tambua kuna mtu kakuuza huwa sio rahisi kukamatwa na mfukoni jitahidi uwe vizuri na gari ndogo iwepo, telekeza mzigo hata mwezi 1 then rudi kiaina kama sio riziki yako achana nao kuepusha mengine kikubwa uwe free na ujue ni wapi ulikosea
 
Na itakuwa Tarime ndio border yako ilikuwa Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…