Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.

Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.

Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!

Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
 
Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
😂😂😂😂😂😂 umeamua kudili na wafu kama wateja wako
 
Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.

Je huo muda ukiwa umejaza bangi kwenye boot si unatamba tu au?
Shida siku utakayokuwa umeweka hio bangi tu hofu itatanda usoni😂
 
Mie nimepitia biashara nyingi haramu pamoja na kupata hela kiasi ila ilikuwa risk sana nusu kufa nusu kukamatwa ikabidi nibadiri mishe
Sa hivi nauza majeneza ndo angalau nimeweza kupata pesa ya bila presha!
Ukipata location nzuri hii biashara inalipa sana trust me.
noted,mbwa dume
 
Haya ma-deal yanafanywa na maaskari wengi sana ukibahatika lazima utoboe

Wakati wa JPM ilikuwa ilikuwa ni risk kusafirisha dhahabu na dhahabu yote ilikuwa inauzwa kwenye masoko ya dhahabu kwenye maeneo husika.

Kuna jamaa alibahatika kuchimba alafu akabahatika kilo 3 za dhahabu na kujaribu kuzisafirisha

Mamwera watatu wakamdaka baada ya kutonywa na wana

Jamaa katika kuwatuliza akawapa milioni 80

Badala ya kugawana pasupasu wakazungukana, mmoja akabeba mzigo wote ...

Guess kilichotokea, jamaa hana kazi na yuko mahabusu hadi sasa tangu mwaka 2020

Moral of the story

Kama mmepiga deal hakikisha mnagawana mtonyo pasupasu kuepusha kuuana na kuchomeana
Vipi yule aliyetoa million 80 aliishiaje
 
Hii Tanzania kusafirisha bangi kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni rahisi sana. Mimi ningepata connection ya wapi natoa na wapi nauza hii kitu ningeifanya.
Mara nyingi hizi deal, kukamatwa huwa kunatokea ukichomwa.

Ukipanda magari ya Moshi/Rombo kwenda Dar. Kuna watu wanabena sana Mirungi.

Abiria mnakuwa wengi kama 60, lakini unaweza kushangaa mkifika Msata huko Basi linapigwa mkono, unashushwa wewe tu na bag lako.
 
Ukiingiza kama skrepa halafu ukaiasembo ile registration unaipataje hapa kutoka tra? Hebu tujuze mdau.

Siwezi kuzungumza kila kitu hapa ila nitafafanua kidogo, mfano umepata Ford 6610 kwa Chinjachinja au Bovu hapa Bongo unanunua kifua na kadi na unabadiri umiliki, unalocate Ford 6610 Harare au Zambia, unaisambaza unabeba kama Spea ila ni trekta zima.
Ukifika bongo unafunga kila kitu kwenye kifua cha trekta la Chinjachinja na kadi yake. Unapata trekta mint condition with everything work as it should.
N:B Ni kazi ya kiume.
 
Mkuu sio bangi tu. Halamu yoyo kusafirisha ni rahisi, juzi nimetoka tabora mpaka dar nagari hakuna ata seemu moja nimeo gari ikisachiwa. Kifupi ukiona umekamatwa ujue kanamtu umezinguana nae kakuchomesha..

Hizo shughuli haram nime-escort sana bidhaa border to border ukiangukiwa tu tambua kuna mtu kakuuza huwa sio rahisi kukamatwa na mfukoni jitahidi uwe vizuri na gari ndogo iwepo, telekeza mzigo hata mwezi 1 then rudi kiaina kama sio riziki yako achana nao kuepusha mengine kikubwa uwe free na ujue ni wapi ulikosea
 
Hizo shughuli haram nime-escort sana bidhaa border to border ukiangukiwa tu tambua kuna mtu kakuuza huwa sio rahisi kukamatwa na mfukoni jitahidi uwe vizuri na gari ndogo iwepo, telekeza mzigo hata mwezi 1 then rudi kiaina kama sio riziki yako achana nao kuepusha mengine kikubwa uwe free na ujue ni wapi ulikosea
Na itakuwa Tarime ndio border yako ilikuwa Mkuu
 
Back
Top Bottom