Tembo hauwezi kumuua kwa rungu, itahitajika siraha. Huko benki pia huwezi kwenda na rungu! Kubeba sembe inahitajika koneksheni!Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.
Broh utajiri ni mgumu sana unaweza ukapewa dili limenyooka na ukalikataa....kuna risk za uchawa hasa kuliwa
hahaaaTembo hauwezi kumuua kwa rungu, itahitajika siraha. Huko benki pia huwezi kwenda na rungu! Kubeba sembe inahitajika koneksheni!
Hebu mtu anipe dili hata la sembe PM
sahihi mkuuBroh utajiri ni mgumu sana unaweza ukapewa dili limenyooka na ukalikataa....
Matajiri wengi hawasemi wamefanikiwa vipi lakini nachojua wamefanikiwa kibahati yaaani bila zali la mentali wasingetoboa.
Fanya chochote unachoona ni faida kwako utatoboa tu.sahihi mkuu
notedFanya chochote unachoona ni faida kwako utatoboa tu.
Mkuu, boda za mkataba ilikuaje zika fail? Tunaweza kujifunza jambo hapachief hakuna sehemu nimesema naendesha boda,nimesema nilikua natoa boda za mkataba !!
Wewe unafikiri Kuna deal gani utaenda na kengele zako tu ukafanikiwa? Kubeba unga nenda na tumbo lako tu utabeba. Hata shamba lazima uwe na jembe.Tembo hauwezi kumuua kwa rungu, itahitajika siraha. Huko benki pia huwezi kwenda na rungu! Kubeba sembe inahitajika koneksheni!
Hebu mtu anipe dili hata la sembe PM
Hapa ndo naku kubali engineer 🤒, USI mchome sasa😀😂mkarimani feki uko pande zipi?
Dili za akili zipo kinachotakiwa ni utulivu na uvumilivu
Naunga mkono hojaSwali la msingi sana hili[emoji28] Mabro wengi wanaovuma mjini walianza na Haram kisha wakahamia kwenye Halal na Capital walio-generate kwenye Haram. Hakuna atakaekwambia ukweli wa hustle zake.
Tupe hizo Dili mzeemkarimani feki uko pande zipi?
Dili za akili zipo kinachotakiwa ni utulivu na uvumilivu
hakikisha unafanya chenye faidanoted
INGIA HAPA HUTAJUTA MAISHA YAKO UTAKUJA NIKUMBUKA DAIMAWakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Mmh labda ahongwe na mabasha zake,manake muonekano wake haeleweki yule jamaa,🤣🤣🤣😅😅😅 sema kwa uchawa wa jamaa wala sishangai unaeza kuta hata kaongwa na mwanamke iyo pesa.
Siku zote ukishakuwa maarufu kupata pesa ni rahisi sana, tena rahisi mnoooo.