Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hatari sana Mkuudili la moto hilii sio poah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana Mkuudili la moto hilii sio poah
Daaah kilo 3 kaka!Haya ma-deal yanafanywa na maaskari wengi sana ukibahatika lazima utoboe
Wakati wa JPM ilikuwa ilikuwa ni risk kusafirisha dhahabu na dhahabu yote ilikuwa inauzwa kwenye masoko ya dhahabu kwenye maeneo husika.
Kuna jamaa alibahatika kuchimba alafu akabahatika kilo 3 za dhahabu na kujaribu kuzisafirisha
Mamwera watatu wakamdaka baada ya kutonywa na wana
Jamaa katika kuwatuliza akawapa milioni 80
Badala ya kugawana pasupasu wakazungukana, mmoja akabeba mzigo wote ...
Guess kilichotokea, jamaa hana kazi na yuko mahabusu hadi sasa tangu mwaka 2020
Moral of the story
Kama mmepiga deal hakikisha mnagawana mtonyo pasupasu kuepusha kuuana na kuchomeana
🤣hahaaaa
Njia zetu za kutusua ni kuolewa.... 😂 😂 mi nilivyoolewa tuu nikatusua...Huu uzi ndio utakaonifanya nijibu pm yako au niiweke pending....😅😅😅
Ila ningependa sana nione akina dada nao wakija kutoa mawazo na michango yao humu jinsi walivyofanikiwa kimaisha.
Maana naona uzi wote mmejaa wanaume.
Itakuwa imepanda baada ya dollar kupanda thamani dhidi ya shilingi ya Tanzania.Daaah kilo 3 kaka!
Nasikia dhahabu sahiv gramu 1 ni 159k ?
Imepanda kweli kabisaItakuwa imepanda baada ya dollar kupanda thamani dhidi ya shilingi ya Tanzania.
Wakati wa JPM gm 1 ilinunuliwa kwa shilingi 124,000 na hapo ni bei ya mwaka 2021
Kama BoT wamefikia hiyo stage ni progress kubwa kwenye sekta ya Uchimbaji...Imepanda kweli kabisa
BOT imefungua account ya gold hivyo sasshiv kuna fursa kwa wachimbaji wenye leseni kwenda kuuzia benki yetu ila wangefanya kuwezesha maana nilikuwa nasikiliza mwaka huu wana mpango wakununua dhahabu tani 6 kutoka katika makampuni na wachimbaji wakubwa hata wadogo.
Mkuu inaonekana una idea na hizi business?
ChaiTulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.
Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.
Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.
Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.
Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.
Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.
Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.
Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.
Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.
Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200
Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,
Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Iko 162k Kwa sasa mwezi December ilifika 166k the highest to be recordedItakuwa imepanda baada ya dollar kupanda thamani dhidi ya shilingi ya Tanzania.
Wakati wa JPM gm 1 ilinunuliwa kwa shilingi 124,000 na hapo ni bei ya mwaka 2021
Siri ya mafanikio imejificha kwenye mkaa
So much money 💰Iko 162k Kwa sasa mwezi December ilifika 166k the highest to be recorded
Kabisa.sahihi mkuu
Hongera yako.Njia zetu za kutusua ni kuolewa.... 😂 😂 mi nilivyoolewa tuu nikatusua...