Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Haya ma-deal yanafanywa na maaskari wengi sana ukibahatika lazima utoboe

Wakati wa JPM ilikuwa ilikuwa ni risk kusafirisha dhahabu na dhahabu yote ilikuwa inauzwa kwenye masoko ya dhahabu kwenye maeneo husika.

Kuna jamaa alibahatika kuchimba alafu akabahatika kilo 3 za dhahabu na kujaribu kuzisafirisha

Mamwera watatu wakamdaka baada ya kutonywa na wana

Jamaa katika kuwatuliza akawapa milioni 80

Badala ya kugawana pasupasu wakazungukana, mmoja akabeba mzigo wote ...

Guess kilichotokea, jamaa hana kazi na yuko mahabusu hadi sasa tangu mwaka 2020

Moral of the story

Kama mmepiga deal hakikisha mnagawana mtonyo pasupasu kuepusha kuuana na kuchomeana
Daaah kilo 3 kaka!
Nasikia dhahabu sahiv gramu 1 ni 159k ?
 
Mwaka jana,nikikuwa sjna hata mia mbovu,basi nikaangalia kwenye kimeo changu makampuni ya beting,nikakuta timu kadhaa,nikachagua timu 6 zenye odds kubwa sana,hesabu ilikuwa inasema nikioatia zoote napata m 35+,kama utani nikatia kasalio kangu hapo nikalala,naamka hamad nakutana na zigo ,nikatupa simu chini,kilicho fuata ni hadhith ndefu,kwa ufupi hiyo pesa ilinisaidia sana sana.msiache kubet waungwana.
 
Itakuwa imepanda baada ya dollar kupanda thamani dhidi ya shilingi ya Tanzania.

Wakati wa JPM gm 1 ilinunuliwa kwa shilingi 124,000 na hapo ni bei ya mwaka 2021
Imepanda kweli kabisa
BOT imefungua account ya gold hivyo sasshiv kuna fursa kwa wachimbaji wenye leseni kwenda kuuzia benki yetu ila wangefanya kuwezesha maana nilikuwa nasikiliza mwaka huu wana mpango wakununua dhahabu tani 6 kutoka katika makampuni na wachimbaji wakubwa hata wadogo.

Mkuu inaonekana una idea na hizi business?
 
Imepanda kweli kabisa
BOT imefungua account ya gold hivyo sasshiv kuna fursa kwa wachimbaji wenye leseni kwenda kuuzia benki yetu ila wangefanya kuwezesha maana nilikuwa nasikiliza mwaka huu wana mpango wakununua dhahabu tani 6 kutoka katika makampuni na wachimbaji wakubwa hata wadogo.

Mkuu inaonekana una idea na hizi business?
Kama BoT wamefikia hiyo stage ni progress kubwa kwenye sekta ya Uchimbaji...

Kuna wakati nilifanya kidogo kwenye small scale

Nahisi sina interest tena baada ya kuona unaweza kuuza nyumba zako ili kuongeza mtaji ili kuendelea kusalia kuitwa mchimbaji mdogo 🙌
 
Tulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.

Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.

Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.

Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.


Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.

Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.

Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.

Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.

Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.

Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200

Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,

Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Chai
 
Back
Top Bottom