Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

[emoji23][emoji23][emoji23]Bac elimu imesema kuhusu evolution haya iamini....case closed...kalale na achana na Mimi..
We ni kama kasuku, Yani ubongo wako haujishughulishi kudadavua mambo....Kwa hiyo kila kinachoitwa maarifa unabeba kama kilivyo !?? Ndio maana huwa kunakua na maswali kwenye kila jambo, Kama ambavyo na wewe unauliza maswali kuhusu Mungu

Hata wanasayansi wakubwa wanapingana kuhusiana na theories mbali mbali...Kwahiyo unataka mimi nimeze tu kama kasuku me sio tahira kama wewe [emoji16]
 
Sayansi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo ilishathibitisha
Ni kweli. Na kama pia umesema Mungu anajua kila kitu tangu mwanzo basi kuwepo kwa shetani duniani ni mpango wake!😀😀😀😀
 

Huwezi kusema kwamba hakuna kitu kinaitwa 'kupatwa Kwa Jua' wakati tayari ushataja jina la kitu hicho."

Unadai kwamba hakuna kitu kinaitwa "demonic possession," lakini kisha unatumia neno "demonic possession" kuelezea hali hiyo. Neno ambalo Lina maana kamili yenye kupinga madai yako.

Hii logically haileti maana.
 
Brother I don't need to convince you anything, I just want you to open your eyes and acknowledge that evolution doesn't explain alot of things and it doesn't make sense.
 
Sasa kumbe unabishana mpaka kuhusu vitu ambavyo huvijui?...

kama hujui how you can study it,..ni uzembe wako mwenyewe,..unamlaumu nani sasa?

Kama High-minded people ndiyo mnakua hivyo Bora nibaki nikiwa kilaza.

Be humble bro ujifunze,..
 
Mkuu Jumong S na wengineo hebu icheki hii.

Ukiwa na akili kubwa unao uwezo wa kuingia kwenye dini, bila kuondoa chochoote. In fact hao utakaowaita 'highly minded pipo' ndio wamejaa sasa kwenye dini.

Maana katika mageuko (evolution, hahaa ulidhani wote walioingia kwenye dini wameipruni away, jidanganye) hii hali ya kuamini bila ushahidi kamili ni sifa ya viumbe waliofuzu kiakili zaidi.

Kina ng'ombe hawanaga mambo ya imani, sijui kuwazika wafu wao. Maana akili zao ni ndogo.

Nisiongee sana, acha picha ikupe tafakuri
 
Rafiki nimehudumu makanisani sana, sadaka asilimia kubwa makanisa mengi yanafaidisha watumishi, kujenga mahekalu na kuongeza ufahari. Kiasi kidogo sana ndo huenda kwa wahitaji. Makanisa mengi hayana bajeti ya kutoa misaada kwa jamii. Kidg kanisa kama Katoliki naona wanajenga vyuo, mahospitali na mahoteli.
 
Kwa nini Yesu afe kwa ajili ya wengine wkt mnaamini ni Mungu na anaweza yote? kwa nini asitamke tu na dhambi zikaondoka zote? kwa nini bado dhambi zipo wkt alikufa ili kuziondoa?

Hakiki unachoamini
 
Hawa watoto wanaojidai kua wanasayansi uchwara hawana lolote na hawajui kitu. Hao wanaowaamini kua wanasayansi wenyewe wanamwamini Kuna Mungu. Mbongo katoka bush huko na kielim kake au anajiona katoka familia Ina kipato kidogo et HAKUNA MUNGU...! Una akili kweli wee? Ngoja yakukute siku utasanda.
 
Iwe umepita njia Gani au dini Gani nothing exist without origin? Huwez kupita eneo hakuna watu Wala chochote ukute nyumba akili Yako finyu ikuambie hio nyumba imejitokeza. Nyie ttzo lenu mmekosa kusudi la maisha na hamjui mumuendee nani ndomana mnafikia huko. Baki hvyo hivyo ujikute siku unataka kufa uone Hilo tumaini utalitoa wap
 
Mkuu rejea nilichokua nakujibu, naona haya maelezo yako unachanganya madawa!
 
hizo stories za kutoa kwenye kitabu cha masimulizi sioni ka zina mantiki...Halafu kuhudhuria kanisani c lazima ati ndo mtu wa dini, wengine ni projects za kuwapiga low minded!
 
So, nikikusanya vitabu vya Bekket, Abbort, Manser na kile cha Obama tayari inakua ni Biblia?
 
😂Me nimekuambia ni mkana Mungu...again bisha kwa hoja sio kelele
Kwanza umesoma nilicho kiandika ? Kwanini usijibu swali nililo kuuliza unaruka ruka ? Hujaona hoja ?

Mpaka muda huu sijaona hoja yenu Wala hamtakuja kuwa na hoja.

Unaposema wewe ni mkana Mungu, yanajulikana kutoka kwako mambo haya yafuatayo :

1. Una matatizo ya akili
2. Unafikiria kitoto
3. Sio mtafiti
4. Hutafakari

Sasa twende kwa hoja, na ujibu kila swali nitakalo kuulializa.

Kwanini unadai hakuna Mungu, muda ambao hakuna kitu chochote ambacho kipo wazi zaidi kwa uwepo wake kuliko Mungu Muumba wa mbingu na ardhi, hata uwepo wako wewe hauzidi uwazi wa uwepo wa Allah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…