Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Hebu fikiria kwa makini kuhusu "mbinguni na motoni " ni mbinu tu za hawa wemye makampuni ya dini ili kutishia watu hasa wale wa dunia ya tatu.
Na walioleta hii 'dhahania' hawana time nayo sasa, ila tuloletewa sasa...hatutaki kustuka
 
Kama kumjua Mungu hakuhitaji akili za binadamu wewe umemjua kwa akiki gani, za popobawa?

Biblia ina contradiction kibao, nikikuwekea hapa huwezi kuzitatua.

Bisha.
Haya weka Contradictions hata mbili tu nianze nazo.
 
Unasema kifo ndio mwisho je unajua kifo amekileta Nan? mpaka uwe mwisho wetu
 
Hii mada mukifikia hitimisho!!!! niko pale. Dini ni ya waumini na dunia ni ya wasioamini. Muumini hana mafanikio duniani, ila ana maendeleo, ila asieamini, anapambana apate mafanikio, hakika hatopata ila maendeleo. Kwan mafanikio hayako duniani. Swali ni je asieamini kuwa kuna maisha baada ya dunia ataelewa nachokisema? Jibu ni hapana. Kwahvyo maisha ni kuchagua imma uchague dini ikupe maendeleo leo na mafanikio hereafter au uchague dunia ikupe maendeleo leo bila mafanikio kesho. Acheni utani nyie watu mungu yupo, alikuepo, na atakuepo. Hv hamuogopi???
 
Well said!!
 
Uko sahihi
 
Ukimsoma Karl Marx kwa makini utagundua dini haina maana. Acha kufanya kazi ufunge bila kula kwa maombi ili upate!!! Mungu wa kweli (sio huyu wa mchongo wa Wayahudi) hataki kuwapa mateso watoto wake. Karl Marx alienda mbali na kusema "hakuna Mungu".
 
Kuna watu ambao Hadi wanafariki hawataongea na Mungu Wala kusikia sauti yake. Lakini wengine wapo wengi tu ambao huisikia sauti yake na tena kuhojiana nae. Au wewe mwenyewe umewahi mshukuru Mungu kwakuzaliwa binadamu badala ya mbwa? Ni upendo wake kuwa hivi tulivyo. Biblia ingeandikwa na mwanadamu lazima angetaka ajulikane tu ili asifiwe. Tofauti Ni kwamba hata waandishi walihimiza utukufu kwa mwingine.
 
Hakika ni akili ndogo ndio inayoweza kuacha utamaduni wake na kukumbatia utamaduni wa kigeni. Wachina walikataa na kuendelea na utamaduni wao.
 
ivi mungu ni zaifu.? mbona watu ndo humtetea mungu na dini take watu nauwa wenzao walio ikataa dini kwakigezo eti wanatetea dini yamungu au huyo mungu sio muweza wa yote na Kuna mengi hawezi?
 
ivi mungu ni zaifu.? mbona watu ndo humtetea mungu na dini take watu nauwa wenzao walio ikataa dini kwakigezo eti wanatetea dini yamungu au huyo mungu sio muweza wa yote na Kuna mengi hawezi?
Imani chanzo chake Ni kusikia na kusikia huja kwa neno la Mungu. Ufalme wake umo ndani yetu kwahiyo lazima tumtangaze
 

Kwa hivyo wewe unakubali mwanaume mwenzako akuwoe ?? maana inayokataza ni dini , wasiofuata dini wanaruhusu
 
Kwa hivyo wewe unakubali mwanaume mwenzako akuwoe ?? maana inayokataza ni dini , wasiofuata dini wanaruhusu
Hili limeingiaje ? Mtu akiwa atheist na ushoga wapi na wapi?
🤣Watu mnaforce kuchangia mada kwa kupenyeza ushoga tu
 
Hili limeingiaje ? Mtu akiwa atheist na ushoga wapi na wapi?
🤣Watu mnaforce kuchangia mada kwa kupenyeza ushoga tu

Mtu Akiwa atheist ina maana haamini inachosema dini. Dini inakataza ushoga, kumwoa mama yako mzazi, dada yako nk Kwa hivyo unapoipinga dini ina maana unakubaliana na kuruhusika kuyafanya hayo yaliyokatazwa
 
Mtu Akiwa atheist ina maana haamini inachosema dini. Dini inakataza ushoga, kumwoa mama yako mzazi, dada yako nk Kwa hivyo unapoipinga dini ina maana unakubaliana na kuruhusika kuyafanya hayo yaliyokatazwa
Atheist ni mtu asiye na imani ya Mungu.
Mambo ya kumuoa mama yako si katiba yako na Sheria za nchi zinakataza. Na kwani we mpaka mtu stand ya makumbusho akuhubirie kwamba usimle mama Ako ndo hautamla.. mbona unajishusha hadhi kutoka kua binadamu mpaka kua sijui mnyama Gani. So unabidi sheikh akuambie usali mara Tano kwa siku ndo hapo hutamtamani mama Ako.. bila wewe kuzaliwa dini ya mzee wako ungekuwa shoga, unakula mama dada
🤣Afu mbona umebase kwenye ngono tu...ndo akili yako ilipoishia. Inaonekana ndo unavyotaka unaumia watu wanafaidi..duu bac amini tu mungu sijui dini mama wa watu asiliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…