Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Anzia mwanzo usibadili ujumbe wa msingi, vipi mbona kama unasoma huku unasinzia wewe?Umeandika kwamba mambo yakienda mrama watu watatafuta muujiza.
Kutafuta muujiza hakuna maana kuwa muujiza upo.
Kama vile wewe kutafuta dollar bilioni moja nyumbani kwako, kama haipo, hakuifanyi iwepo.
Umeelewa?
Hahaaa😅😅😅 kwani nimeanzia hapo brother, mbona nimeelezea sana nilipokuwa najibu hoja zako katika post za awali. Tatizo lako unakimbia hoja ya msingi na kuangalia wapi utajiteteaUchawi ni uchawi = tautology. Logical fallacy.
Unapotoa definition ya neno uchawi, hutakiwi kulitumia tena hilo neno uchawi.
Huelewi kanuni za msingi kabisa za definition. Ndiyo maana ninapata matatizo sana kujibizana nawe.
Kwa sababu hilo neno uchawi ndilo unaloli define na hivyo ukilitumia katika ku define uchawi unatuingiza katika loop isiyo na mwisho.
Bado huja define uchawi ni nini.
Unalazimisha tu "uchawi ni uchawi"
Umekubali kwamba watu kutafuta au kutotafuta muujiza ni moot and irrelevant point kwa sababu kama muujiza haupo, hata watu wakiutafuta, huko kuutafuta kwao hakufanyi muujiza uwepo?Anzia mwanzo usibadili ujumbe wa msingi, vipi mbona kama unasoma huku unasinzia wewe?
Non senseUdongo
Mpaka sasa bado huja define uchawi ni nini.Hahaaa😅😅😅 kwani nimeanzia hapo brother, mbona nimeelezea sana nilipokuwa najibu hoja zako katika post za awali. Tatizo lako unakimbia hoja ya msingi na kuangalia wapi utajitetea
Mpaka sasa bado huja define uchawi ni nini.
Nimekuuliza uchawi ni nini?
Umenijibu uchawi ni uchawi.
Inaonekana hujui uchawi ni nini.
Nimekuuliza, tukio ambalo hatulielewi leo na halina majibu ya kisayansi, ukasema ni uchawi.
Umemonya kiutu uzima! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Km huna hoja, kuwa kimya, acha kujiaibisha hapa jukwaani.
Ndivyo walivyo andikiwa , na Wao wanaamini hivyo, bila Hata kufanya udadisi , uchunguzi.Non sense
Walioleta mambo ya kufirw ndio hao walioitengeneza biblia na huyo mungu wenu, saivi ndio hao wanaotetea haki za mashoga, kwa maana wanatumia hiyohiyo biblia kwamba, mpende jirani,usimbague binadamu, so kama jiran yako ni shoga inabidi umpende kwa maana ni amri,Endeleeni... Kwa kigezo hakuna Mungu, watu wapumbavu huwaza kuwa hakuna Mungu(biblia )huu upuuzi wako biblia ilishauandika tiyari
Sayansi ya Mito inayotitirisha pombeDini na sayansi kwnye uislam uko wazi kabisa watafute wataalam akiwemo sheikh mmoja huwa hampendi mwamposa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huwa namfitilia san mafundisho yake
Nimesema mkubwa, hao uliowataja hamna hata mmoja nnaemjua.Astronomers
- Ibrahim al-Fazari (d. 777)
- Muhammad al-Fazari (d. 796 or 806)
- Al-Khwarizmi (d. 850)
- Sanad ibn Ali (d. 864)
- Al-Marwazi (d. 869)
- Al-Farghani (d. 870)
- Al-Mahani (d. 880)
- Abu Ma'shar al-Balkhi (d. 886)
- Dīnawarī (d. 896)
- Banū Mūsā (d. 9th century)
- Abu Sa'id Gorgani (d. 9th century)
- Ahmad Nahavandi (d. 9th century)
- Al-Nayrizi (d. 922)
- Al-Battani (d. 929)
- Abū Ja'far al-Khāzin (d. 971)
- Abd Al-Rahman Al Sufi (d. 986)
- Al-Saghani (d. 990)
- Abū al-Wafā' al-Būzjānī (d. 998)
- Abu Al-Fadl Harawi (d. 10th century)
- Abū Sahl al-Qūhī (d. 1000)
- Abu-Mahmud al-Khujandi (d. 1000)
- Al-Majriti (d. 1007)
- Ibn Yunus (d. 1009)
- Kushyar ibn Labban (d. 1029)
- Abu Nasr Mansur (d. 1036)
- Abu l-Hasan 'Ali (d. 1037)
- Ibn Sina (d. 1037)
- Ibn al-Haytham (d. 1040)
- Al-Bīrūnī (d. 1048)
- Ali ibn Ridwan (d. 1061)
- Abū Ishāq Ibrāhīm al-Zarqālī (d. 1087)
- Omar Khayyám (d. 1131)
- Ibn Bajjah (d. 1138)
- Ibn Tufail (d. 1185)
- Ibn Rushd (d. 1198)
- Al-Khazini (d. 12th century)
- Nur ad-Din al-Bitruji (d. 1204)
- Sharaf al-Dīn al-Tūsī (d. 1213)
- Mu'ayyad al-Din al-'Urdi (d. 1266)
- Nasir al-Din Tusi (d. 1274)
- Shams al-Dīn al-Samarqandī (d. 1310)
- Qutb al-Din al-Shirazi (d. 1311)
- Sadr al-Shari'a al-Asghar (d. 1346)
- Ibn al-Shatir (d. 1375)
- Shams al-Dīn Abū Abd Allāh al-Khalīlī (d. 1380)
- Jamshīd al-Kāshī (d. 1429)
- Ulugh Beg (d. 1449)
- Ali Qushji (d. 1474)
Physiologists
- Ibn Sirin (654–728), author of work on dreams and dream interpretation[1]
- Al-Kindi (801–873) (Alkindus), pioneer of psychotherapy and music therapy[2]
- Ali ibn Sahl Rabban al-Tabari (9th century), pioneer of psychiatry, clinical psychiatry and clinical psychology[3]
- Ahmed ibn Sahl al-Balkhi (850–934), pioneer of mental health, [4] medical psychology, cognitive psychology, cognitive therapy, psychophysiology and psychosomatic medicine[5]
- Al-Farabi (872–950) (Alpharabius), pioneer of social psychology and consciousness studies[6]
- Abu al-Qasim al-Zahrawi (936–1013) (Abulcasis), pioneer of neurosurgery[7]
- Ibn al-Haytham (965–1040) (Alhazen), founder of experimental psychology, psychophysics, phenomenology and visual perception[8]
- Al-Biruni (973–1050), pioneer of reaction time[9]
- Avicenna (980–1037) (Ibn Sīnā), pioneer of neuropsychiatry,[10] thought experiment, self-awareness and self-consciousness[11]
- Ibn Zuhr (1094–1162) (Avenzoar), pioneer of neurology and neuropharmacology[7]
- Averroes, pioneer of Parkinson's disease[7]
- Ibn Tufail (1126–1198), pioneer of tabula rasa and nature versus nurture[12]
Chemists and alchemists
- Khalid ibn Yazid (–85 AH/ 704) (Calid)
- Jafar al-Sadiq (702–765)
- Jābir ibn Hayyān (d. c. 806–816) (Geber, not to be confused with pseudo-Geber)
- Al-Khwārizmī (780–850), algebra, mathematics
- Abbas Ibn Firnas (810–887) (Armen Firman)
- Al-Kindi (801–873) (Alkindus)
- Al-Majriti (fl. 1007–1008) (950–1007)
- Ibn Miskawayh (932–1030)
- Abū Rayhān al-Bīrūnī (973–1048)
- Avicenna (980–1037)
- Al-Khazini (fl. 1115–1130)
- Nasir al-Din Tusi (1201–1274)
- Ibn Khaldun (1332–1406)
Economists and social scientists
- Abu Hanifa an-Nu‘man (699–767), Islamic jurisprudence scholar
- Abu Yusuf (731–798), Islamic jurisprudence scholar
- Al-Saghani (–990), one of the earliest historians of science[13]
- Abū Rayhān al-Bīrūnī (973–1048), Anthropology",[14] Indology[15]
- Ibn Sīnā (Avicenna) (980–1037), economist
- Ibn Miskawayh (932–1030), economist
- Al-Ghazali (Algazel) (1058–1111), economist
- Al-Mawardi (1075–1158), economist
- Nasīr al-Dīn al-Tūsī (Tusi) (1201–1274), economist
- Ibn al-Nafis (1213–1288), sociologist
- Ibn Taymiyyah (1263–1328), economist
- Ibn Khaldun (1332–1406), forerunner of social sciences[16] such as demography,[17] cultural history,[18] historiography,[19] philosophy of history,[20] sociology[17][20] and economics[21][22]
- Al-Maqrizi (1364–1442), economist
Geographers and earth scientists
- Al-Masudi, the "Herodotus of the Arabs", and pioneer of historical geography[23]
- Al-Kindi, pioneer of environmental science[24]
- al-Hamdani
- Ibn Al-Jazzar
- Al-Tamimi
- Al-Masihi
- Ali ibn Ridwan
- Muhammad al-Idrisi, also a cartographer
- Ahmad ibn Fadlan
- Abū Rayhān al-Bīrūnī, geodesy,[14][17] geology and Anthropology[14]
- Avicenna
- Abd al-Latif al-Baghdadi
- Averroes
- Ibn al-Nafis
- Ibn Jubayr
- Ibn Battuta
- Ibn Khaldun
- Piri Reis
- Evliya Çelebi
Mathematicians
- Ali Qushji
- Al-Hajjāj ibn Yūsuf ibn Matar
- Khalid ibn Yazid (Calid)
- Muhammad ibn Mūsā al-Khwārizmī (Algorismi), algebra[25] and algorithms[26]
- 'Abd al-Hamīd ibn Turk
- Abū al-Hasan ibn Alī al-Qalasādī (1412–1482), pioneer of symbolic algebra[27]
- Abū Kāmil Shujā ibn Aslam
- Al-Abbās ibn Said al-Jawharī
- Al-Kindi (Alkindus)
- Banū Mūsā (Ben Mousa)
- Al-Mahani
- Ahmed ibn Yusuf
- Al-Majriti
- Al-Battani (Albatenius)
- Al-Farabi (Abunaser)
- Al-Nayrizi
- Abū Ja'far al-Khāzin
- Brethren of Purity
- Abu'l-Hasan al-Uqlidisi
- Al-Saghani
- Abū Sahl al-Qūhī
- Abu-Mahmud al-Khujandi
- Abū al-Wafā' al-Būzjānī
- Ibn Sahl
- Al-Sijzi
- Ibn Yunus
- Abu Nasr Mansur
- Kushyar ibn Labban
- Al-Karaji
- Ibn al-Haytham (Alhacen/Alhazen)
- Abū Rayhān al-Bīrūnī
- Ibn Tahir al-Baghdadi
- Al-Nasawi
- Al-Jayyani
- Abū Ishāq Ibrāhīm al-Zarqālī (Arzachel)
- Al-Mu'taman ibn Hud
- Omar Khayyám
- Al-Khazini
- Ibn Bajjah (Avempace)
- Al-Ghazali (Algazel)
- Al-Marrakushi
- Al-Samawal
- Ibn Rushd (Averroes)
- Ibn Seena (Avicenna)
- Hunayn ibn Ishaq
- Ibn al-Banna'
- Ibn al-Shatir
- Ja'far ibn Muhammad Abu Ma'shar al-Balkhi (Albumasar)
- Jamshīd al-Kāshī
- Kamāl al-Dīn al-Fārisī
- Muḥyi al-Dīn al-Maghribī
- Mo'ayyeduddin Urdi
- Muhammad Baqir Yazdi
- Nasir al-Din al-Tusi, 13th century Persian mathematician and philosopher
- Qāḍī Zāda al-Rūmī
- Qutb al-Din al-Shirazi
- Shams al-Dīn al-Samarqandī
- Sharaf al-Dīn al-Tūsī
- Taqi al-Din Muhammad ibn Ma'ruf
- Ulugh Beg
- Al-Samawal al-Maghribi (1130–1180)
Philosophers
- Al-Kindi
- Averroes
- Muhammad ibn Zakariya al-Razi
- Al-Farabi
- Avicenna
- Ibn Arabi
- Rumi
- Jami
- Ibn Khaldun
- Nasir al-Din al-Tusi
Physicists and engineers
- Mimar Sinan (1489–1588), also known as Koca Mi'mâr Sinân Âğâ
- Jafar al-Sadiq, 8th century
- Banū Mūsā (Ben Mousa), 9th century
- Abbas Ibn Firnas (Armen Firman), 9th century
- Al-Saghani (d. 990)
- Abū Sahl al-Qūhī (Kuhi), 10th century
- Ibn Sahl, 10th century
- Ibn Yunus, 10th century
- Al-Karaji, 10th century
- Ibn al-Haytham (Alhacen), 11th century Iraqi scientist, optics,[28] and experimental physics[29]
- Abū Rayhān al-Bīrūnī, 11th century, pioneer of experimental mechanics[30]
- Ibn Sīnā/Seena (Avicenna), 11th century
- Al-Khazini, 12th century
- Ibn Bajjah (Avempace), 12th century
- Hibat Allah Abu'l-Barakat al-Baghdaadi (Nathanel), 12th century
- Ibn Rushd (Averroes), 12th century Andalusian mathematician, philosopher and medical expert
- Al-Jazari, 13th century civil engineer
- Nasir al-Din Tusi, 13th century
- Qutb al-Din al-Shirazi, 13th century
- Kamāl al-Dīn al-Fārisī, 13th century
- Ibn al-Shatir, 14th century
Bado naamini uchawi upo, Miujiza hipo na Mungu yupo bila ya shaka yeyote. Chukua muda wako nenda Kwa waganga, tembea vijijini huko utaona.
Shida watu wana-exagerate baadhi ya mambo mpaka wengine wanahisi kuwa hizi ni story za kutungwa but kabisa kabisa Kuna nguvu za Giza ambazo haziwezi kuelezewa kisayansi.
Ngoja tuangalie mifano hii ya kawaida ambayo huenda ikaonekana ya kipuuzi tu,
Wale watoto mashuleni wanaoanguka usidhani ni maigizo au matatizo ya kisaikolojia, ni nguvu za kichawi. Kwanini baadhi yao wawe na nguvu ya kuwashinda wanaume wengi? Kwanini hatujaona wale watoto wakitibiwa kisayansi? Yaani watoto wakianza kupandisha, suluhu huwa ni masheikh na mapadri. What is your comment on it?
Hivi ni kwanini baadhi ya maeneo huwa yanasifika sana Kwa uchawi, kwanini si maeneo mengine. Je ni 'tricks' tu wakazi wa maeneo hayo katika kuwazuru watu wengine? Jiulize tu kwanini cases za kujiua Kwa wahehe ni njingi? Unaweza ukasema ni genetic disposition, but je sayansi imeelezaje hutokeaji wa hiyo genetic disposition au ndio imeishia kusema tu ni 'genetic disposition'. Kwanini Salem, Massachusetts ni maarufu Kwa uchawi na si sehemu nyengine? Kwanini Misitu ya Romania inaogopwa sana Kwa matukio ya kichawi kuliko Misitu mingine? What makes this spatial variation?
Najaribu kufikiria baadhi ya mambo, nawaza ni coincidences au ni uchawi, miujiza au ni nguvu za giza. Wangapi huambiwa nitakuroga uwe chizi na hilo hutokea kweli?
Ngoja nikupe kisa hiki. Kuna kijana mmoja alisomasoma elimu ya uchawi wa kitabu (inahusishwa sana na masheikh). Basi huyu kijana akawa anatumia huu uchawi wake kuchukua wake za watu, na kuzini nao. Wengi walimuonya juu ya hilo ila kutokana na jeuri na kibri chake, huyu kijana hakuacha tabia hiyo. Baada ya muda huyu kijana alipatwa na uchizi then akafa.
Matukio kama haya ni mengi. Je uwingi wa matukio kama haya Huwa ni coincidences tu au Kuna kitu kingine.
Tunaishi katika Dunia ambayo inastaarabika, ni nadra sana kuona matukio ya uchawi hasa maeneo ya mjini kutokana na usasa. Lakini ukirudi vijijini Bado watu wanaishi Kwa kudumisha Mila zao na ni rahisi kuona miujiza. Sisi watu wa Quantum physics, sijui Geochemistry na fluid dynamics si rahisi kuexperience mambo hayo.
Wangapi ni madokta, maprofesa na wabobezi katika fani mbalimbali but still wanaamini katika hayo mambo ya miujiza na supernatural powers? Je, bado ni wajinga, elimu zao hazljawakomboa au ndio walisoma tu kujiingizia kipato?
Jamii Nyingi kote duniani kama Incas, Mayan, Aztecs, Mesopotamia, ancient Chinese, Nubian, Egyptians, Great Zimbabwe na nyengine nyingi zilikuwa Zina practice uchawi, je walikuwa wanawadangawa watu wao tu au uchawi ulikuwa una Practical uses.
Sheria za kupambana na uchawi ziliwekwa hasa nchi za Ulaya na bara la America na watu wengi waliuliwa baada ya kushukiwa kufanya uchawi, Historia inaeleza. Hivi jambo ambalo halina uhasilisia linaweza kusambaa kote duniani, tena likawa na athari zilezile?
Watoto 15 au 20 au 30 wote waumwe Kifafa kwa wakati mmoja?
Miujiza ipo,..na Mimi ni miongoni mwa watu waliowahi kushuhudia muujiza Kwa macho yangu mawili.Mkuu wewe binafsi(sio kuhadithiwa) umewahi kushuhudia muujiza wowote?