Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Everything you see around is a miracle
Bado hujajibu "what is a miracle?".

Kitu kinachoifanya hiyo miracle iwe miracle ni kipi?

Hujajibu swali hili.

Ukisema "everything you see around is a miracle" bado hujajibu what makes a miracle a miracle.

Yani mwalimu anakuuliza "What is an atom?"

Unamjibu "Everything you see around is an atom".

Umefeli mtihani.
 
Wapi umejibu?

Unahakikishaje huu ni uchawi na si kitu kingine ambacho labda hujakijua tu, ila si uchawi?

Nipe nukuu ya ulipojibu swali hili.
Simply, tunafahamu Kwa kuwa si matukio ya kawaida na hayaelezeki kisayansi.

Haya jibu hoja zangu
 
Bado hujajibu "what is a miracle?".

Kitu kinachoifanya hiyo miracle iwe miracle ni kipi?

Hujajibu swali hili.

Ukisema "everything you see around is a miracle" bado hujajibu what makes a miracle a miracle.

Yani mwalimu anakuuliza "What is an atom?"

Unamjibu "Everything you see around is an atom".

Umefeli mtihani.
Everything you see around is a miracle.

Hata wewe mwenyewe ni miracle.

Kwenye Bible imeandikwa Mungu alisema NA TUFANYE MTU KWA MFANO WETU.

HIVYO wewe hapo ulipo ni mfano wa Mungu.
 
Simply, tunafahamu Kwa kuwa si matukio ya kawaida na hayaelezeki kisayansi.

Haya jibu hoja zangu
Kwa hivyo, leo ukiona tukio lisilo la kawaida na ambalo halielezeki kisayansi, huo ni uchawi?

Kesho likiweza kuelezeka vizuri kisayansi bila kuhitaji theory ya uchawi utaendelea kusema huu ni uchawi au utakubali huu si uchawi, ni jambo linaloelezeka kisayansi tu?
 
Everything you see around is a miracle.

Hata wewe mwenyewe ni miracle.
Bado hujajibu "what is a miracle?".

Kitu kinachoifanya hiyo miracle iwe miracle ni kipi?

Hujajibu swali hili.

Ukisema "everything you see around is a miracle" bado hujajibu what makes a miracle a miracle.

Yani mwalimu anakuuliza "What is an atom?"

Unamjibu "Everything you see around is an atom".

Umefeli mtihani.
 
Watu wanaongea hivi kwa kiburi wakiwa ameshiba na afya njema, subiri mambo yaende mrama wanavyohangaika kutafuta miujiza
Kitu kama kipo, kipo tu.

Na kitu kama hakipo, hakipo tu.

Bila kujali unakitafuta, au hukitafuti.

Kwa hivyo, hoja yako ya kwamba watu mambo yakienda mrama watatafuta miujiza, ni hoja mufilisi.

Kwa sababu, hata kama watatafuta miujiza kweli, kama miujiza haipo, huko kutafuta kwao miujiza hakuna maana yoyote kwenye hoja ya kama miujiza ipo au haipo.

Yani ni hivi, ikiwa wewe si bilionea wa US dollars, huna dollar bilioni moja nyumbani kwako, ukianza kuzitafuta makabatini kote nyumbani kwako hizo dollar bilioni moja, huko kuzitafuta kwako dollar bilioni moja nyumbani kwako hakutabadilisha ukweli kwamba wewe si bilionea na nyumbani kwako hizo dollar bilioni moja hazipo.

Umeielewa hii hoja?

Tuangalie hoja, miujiza ipo au haipo.

Hizo habari za watu kutafuta miujiza, haina mashiko, kwa sababu ujinga wa watu hauna kipimo.

Wakitafuta miujiza, hilo halimaanishi miujiza ipo kweli.

Mara nyingine kutafuta miujiza ni psychological coping mechanism, desperation na kutapatapa kwa mfa maji tu.

So, that does not mean much.
 
Kwa hivyo, leo ukiona tukio lisilo la kawaida na ambalo halielezeki kisayansi, huo ni uchawi?

Kesho likiweza kuelezeka vizuri kisayansi bila kuhitaji theory ya uchawi utaendelea kusema huu ni uchawi au utakubali huu si uchawi, ni jambo linaloelezeka kisayansi tu?
Uchawi ni nini?
 
Ni mtu gani na kwa sababu zipi amepewa mamlaka ya kusema kitu hiki ni conspiracy na hiki siyo conspiracy? Mamlaka hayo alipewa na nani na lini?
Kwa nini mtu awe muhimu kuliko dhana?

Kwa nini unataka kujadili mtu badala ya dhana?
 
Kitu kama kipo, kipo tu.

Na kitu kama hakipo, hakipo tu.

Bila kujali unakitafuta, au hukitafuti.

Kwa hivyo, hoja yako ya kwamba watu mambo yakienda mrama watatafuta miujiza, ni hoja mufilisi.

Kwa sababu, hata kama watatafuta miujiza kweli, kama miujiza haipo, huko kutafuta kwao miujiza hakuna maana yoyote kwenye hoja ya kama miujiza ipo au haipo.

Umeielewa hii hoja?

Tuangalie hoja, miujiza ipo au haipo.

Hizo habari za watu kutafuta miujiza, haina mashiko, kwa sababu ujinga wa watu hauna kipimo.

Wakitafuta miujiza, hilo halimaanishi miujiza ipo kweli.

Mara nyingine kutafuta miujiza ni psychological coping mechanism, desperation na kutapatapa kwa mfa maji tu.

So, that does not mean much.
acha ubishi soma vizuri nilichoandika
 
Hata maana ya uchawi hujuwi.

Unafikiri ni kupaa angani na ungo usiku au kuroga watu.

Usiku Mwema!!!
Wewe mpaka sasa umeshindwa ku define muujiza, maliza hilo kwanza kabla ya kurukia uchawi.

Muujiza ni nini? Kitu gani kinafanya huo muujiza uwe muujiza? Unajuaje huu ni muujiza na huu si muujiza?

Hujajibu maswali.
 
Kwa hivyo, leo ukiona tukio lisilo la kawaida na ambalo halielezeki kisayansi, huo ni uchawi?

Kesho likiweza kuelezeka vizuri kisayansi bila kuhitaji theory ya uchawi utaendelea kusema huu ni uchawi au utakubali huu si uchawi, ni jambo linaloelezeka kisayansi tu?
Uchawi ni uchawi tu na utaujua from early beginning, kwani Kuna matukio mangapi ambayo ni mapya ambayo hutokea na hatusemi ni uchawi? Katika zama zetu Kuna AI, 3D printing, wireless communication, Autonomous vehicles na mengine mengi na hatusemi ni uchawi hata kama tutaona Kwa mara ya kwanza. Lakini et mtu kajifungua kuku alaf useme ni kawaida!!
 
Uchawi ni uchawi na utaujua from early beginning, kwani Kuna matukio mangapi ambayo mapya hutukea na hatusemi ni uchawi? Katika zama zetu Kuna AI, 3D printing, wireless communication, Autonomous vehicles na mengine mengi na hatusemi na uchawi hata kama tutaona Kwa mara ya kwanza. Lakini et mtu kajifungua kuku alaf useme ni kawaida!!
Uchawi ni uchawi = tautology. Logical fallacy.

Mpaka hapo bonge la disappointment.

Unapotoa definition ya neno uchawi, hutakiwi kulitumia tena hilo neno uchawi.

Huelewi kanuni za msingi kabisa za definition. Ndiyo maana ninapata matatizo sana kujibizana nawe.

Kwa sababu hilo neno uchawi ndilo unaloli define na hivyo ukilitumia katika ku define uchawi unatuingiza katika loop isiyo na mwisho.

Bado huja define uchawi ni nini.

Unalazimisha tu "uchawi ni uchawi"
 
Back
Top Bottom