Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!


Mkuu some how nakubaliana na wewe inayoitwa miujiza inaweza kuwa ni mambo ambayo bado hatuna elimu nayo

Lakini katika miujiza ya imani ni kama β€œkila kitu kinawezekana”
 
Could you please clarify this with supporting data/documents.
𝑀𝑦 π‘™π‘Žπ‘ π‘‘ 4 π‘€π‘œπ‘Ÿπ‘‘π‘  π‘˜π‘–π‘™π‘™ 𝑖𝑑 π‘Žπ‘™π‘™.

π»π‘Žπ‘‘π‘Ž 𝑀𝑒𝑀𝑒 β„Žπ‘Žπ‘’π‘›π‘Ž π‘π‘Ÿπ‘œπ‘œπ‘“ π‘¦π‘Ž 𝑙𝑖𝑓𝑒 π‘Žπ‘“π‘‘π‘’π‘Ÿ π‘‘π‘’π‘Žπ‘‘β„Ž
 
Mimi ni Muislam, tuoneshe huo "mchanganyo" kwenye Qur'an, a,bacho ndicho muongozo kwa dini ya Kiislam, ukishindwa tuombe radhi.
𝐾𝑀𝑒𝑛𝑦𝑒 π‘’π‘–π‘ π‘™π‘Žπ‘š 𝑛𝑖 π‘Ÿπ‘Žβ„Žπ‘–π‘ π‘– π‘ π‘Žπ‘›π‘Ž...π‘ˆπ‘˜π‘–π‘ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Žπ‘—π‘Ž π‘‘π‘œπ‘“π‘Žπ‘’π‘‘π‘– π‘¦π‘Ž π‘†β„Žπ‘–π‘Ž π‘›π‘Ž 𝑆𝑒𝑛𝑛𝑖 π‘π‘Žπ‘ π‘’ π‘π‘™π‘œπ‘ π‘’π‘‘! π‘€π‘–π‘β„Žπ‘Žπ‘›π‘”π‘Žπ‘›π‘¦π‘œ π‘˜π‘–π‘π‘Žπ‘œ...!
 
Huyu mtoa mada hajui anachokiandika/alichokiandika.Mwache atumikie kafiri
 
Mkuu umeongea ukweli tupu lskini subiri wafia dini akina FaizaFoxy waje kukumwagia mapovu yao ya OMO.
𝐻𝑒𝑦𝑒 𝑏𝑖𝑏𝑖 𝑛𝑖 π‘˜π‘’π‘šπ‘§π‘œπ‘’π‘Ž 𝑑𝑒...π‘šπ‘Žπ‘Žπ‘›π‘Ž π‘Žπ‘›π‘Žπ‘—π‘–π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž π‘˜π‘’π‘’π‘—π‘’π‘Ž π‘’π‘–π‘ π‘™π‘Žπ‘š π‘˜π‘’π‘™π‘–π‘˜π‘œ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž π‘€π‘‘π‘’π‘šπ‘’ π‘šπ‘€π‘’π‘›π‘¦π‘’π‘€π‘’...β„Žπ‘’π‘’ π‘›π‘‘π‘œ π‘’π‘π‘œπ‘‘π‘œπ‘“π‘’ π‘’π‘›π‘Žπ‘£π‘¦π‘œπ‘€π‘Žπ‘˜π‘’π‘™π‘Ž π‘€π‘Žπ‘“π‘–π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖
 
π‘π‘Ž π‘’π‘—π‘Žπ‘›π‘—π‘Ž π‘’π‘—π‘Žπ‘›π‘—π‘Ž π‘’π‘›π‘Ž π‘šπ‘€π‘–π‘ β„Žπ‘œ, πΎπ‘Žπ‘˜π‘œπ‘π‘’ π‘π‘Žπ‘π‘Ž π‘€π‘Ž π‘šπ‘–π‘’π‘—π‘–π‘§π‘Ž πΉπ‘’π‘˜π‘– π‘˜π‘Žπ‘–π‘ β„Žπ‘–π‘Ž π‘€π‘Žπ‘π‘–? πΊπ‘€π‘Žπ‘—π‘–π‘šπ‘Ž π‘šπ‘“π‘’π‘“π‘’π‘Ž π‘šπ‘–π‘ π‘’π‘˜π‘’π‘™π‘’ π‘šπ‘Žπ‘–π‘”π‘–π‘§π‘œ π‘¦π‘Žπ‘˜π‘’ π‘¦π‘Žπ‘šπ‘’π‘–π‘ β„Žπ‘–π‘Ž π‘€π‘Žπ‘π‘–? π‘–π‘™π‘Ž π‘šπ‘‘π‘Žπ‘—π‘– π‘€π‘Žπ‘œ π‘π‘Žπ‘‘π‘œ π‘’π‘π‘œ π‘šπ‘˜π‘’π‘π‘€π‘Ž π‘Žπ‘  π‘€π‘Žπ‘—π‘–π‘›π‘”π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘€π‘Žπ‘–π‘ β„Žπ‘– 𝑇𝑧
 
π‘†π‘šπ‘Žπ‘Ÿπ‘‘...π‘€π‘Žπ‘‘π‘’ β„Žπ‘Žπ‘€π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘– π‘˜π‘’π‘“π‘Žπ‘›π‘¦π‘Ž π‘’π‘β„Žπ‘’π‘›π‘”π‘’π‘§π‘–, π‘€π‘Žπ‘›π‘Žπ‘‘π‘Žπ‘˜π‘Ž π‘šπ‘Žπ‘—π‘–π‘π‘’ π‘šπ‘’π‘π‘’π‘ π‘– 𝑑𝑒...𝑒𝑑𝑖 𝑛𝑖 π‘šπ‘’π‘’π‘—π‘–π‘§π‘Ž! π‘™π‘œπ‘€ π‘šπ‘–π‘›π‘‘π‘’π‘‘ π‘˜π‘Žπ‘π‘–π‘ π‘Ž. π»π‘Žπ‘˜π‘’π‘›π‘Ž π‘šπ‘–π‘’π‘—π‘–π‘§π‘Ž π‘˜π‘Žπ‘šπ‘€π‘’...[emoji106]
 
Watoto 15 au 20 au 30 wote waumwe Kifafa kwa wakati mmoja?
𝐼𝑑 𝑖𝑠 π‘π‘œπ‘ π‘ π‘–π‘π‘™π‘’...π‘¦π‘Žπ‘™π‘’ π‘¦π‘Žπ‘›π‘Žπ‘Žπ‘šπ‘π‘’π‘˜π‘–π‘§π‘Ž 𝑖𝑛 π‘ π‘œπ‘Ÿπ‘‘ π‘œπ‘“ π‘’π‘™π‘’π‘π‘‘π‘Ÿπ‘–π‘π‘Žπ‘™ π‘€π‘Žπ‘£π‘’π‘ ! 𝑛𝑖 π‘ π‘Žπ‘¦π‘Žπ‘›π‘ π‘– π‘›π‘‘π‘œπ‘”π‘œ. π‘π‘–π‘šπ‘’π‘€π‘Žβ„Žπ‘– π‘˜π‘’π‘ π‘œπ‘™π‘£π‘’ β„Žπ‘–π‘– π‘˜π‘–π‘‘π‘’ π‘ β„Žπ‘’π‘™π‘’ π‘“π‘’π‘™π‘Žπ‘›π‘– π‘π‘Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž π‘¦π‘Ž π‘£π‘–π‘œπ‘›π‘”π‘œπ‘§π‘– π‘€π‘Ž 𝑑𝑖𝑛𝑖 π‘§π‘œπ‘‘π‘’ π‘›π‘Ž π‘€π‘Žπ‘”π‘Žπ‘›π‘”π‘Ž π‘€π‘Ž π‘—π‘Žπ‘‘π‘– π‘˜π‘’π‘β„Žπ‘’π‘šπ‘˜π‘Ž!
 
π‘˜π‘€π‘Ž π‘‘π‘Žπ‘Žπ‘Ÿπ‘–π‘“π‘Ž π‘¦π‘Žπ‘˜π‘œ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Ž β„Žπ‘–π‘§π‘– 𝑔𝑒𝑛𝑑𝑒𝑧𝑖 π‘˜π‘’π‘π‘€π‘Ž π‘šπ‘“ π‘†π‘–π‘šπ‘’, 𝑛𝑑𝑒𝑔𝑒 ,𝐴𝐼 π‘€π‘Žπ‘‘π‘’ π‘™π‘œπ‘π‘Žπ‘™ β„Žπ‘’π‘’π‘–π‘‘π‘Ž π‘’π‘β„Žπ‘Žπ‘€π‘– π‘€π‘Ž π‘˜π‘–π‘§π‘’π‘›π‘”π‘’!
 
π‘π‘Žπ‘œπ‘šπ‘π‘Ž π‘’π‘’π‘‘π‘Žπ‘—π‘’ β„Žπ‘’π‘œ π‘šπ‘’π‘’π‘—π‘–π‘§π‘Ž 𝑖𝑙𝑖 𝑑𝑒𝑗𝑖𝑓𝑒𝑛𝑧𝑒
 
Mambo ya MUNGU MWENYEZI yanahitaji uwe na NGUVU ZA MUNGU ndani yako( Kwasababu, wakati mwingine WAHUSIKA ( waamini) husukumwa KUAMINI siyo kutumia mantiki( LOGIC)
KUTUMIA LOGIC ni ISHARA YA KUKOSA ELIMU hiyo ya IMANI.
 
Okay.,kama ukweli ulivyo kwamba muujiza ni jambo ambalo kiuhalisia hatuelewi ni Kwa namna gani limefanyika au limetokea,..isipokuwa kwa wale wenye elimu juu ya jambo husika huwa wanajua kinachofanyika...

Sasa ngoja nikupe hii kesi ambayo ilinitokea Mimi binafsi kisha uone ni Kwa namna gani nasema miujiza ipo ...
Ipo hivi, muda mrefu kidogo nikiwa kama na miaka 10 hivi nilienda kijijini Tanga hapo na mother,.sasa baada ya siku kadhaa nikaanza kuumwa tumbo hasa nyakati za usiku tumbo linauma balaa mpaka kuvimba... Ndiyo Mother akaelekezwa Kwa Mzee mmoja hivi mwenye elimu juu ya tiba asili(Mganga) kufika huko akafanya dawa zake kisha akaweka chungu kina kama majani na maji ya moto nikafunikwa nijifukize pale,....kilichotokea sasa wakati najifukiza ilinijia hali ya kutapika na nilichokuja kutapika ni kiumbe "CHURA" tena bado akiwa mzima kabisa.

Sasa jiulize maswali haya, ilikuaje mpaka huyo CHURA aingie tumboni kwangu na kufanya niumwe tumbo kiasi kile?
Je, nilikula CHURA? akiwa mzima? Au nilikula mayai yake? Odds za huyo CHURA kuwa mzima huko tumboni zipoje scientifically(kumbuka,Frogs can't survive in the acidic environment of the human stomach)
Lakini je,huoni kwamba tukio hilo limesababishwa na wajuzi wa elimu ya kichawi(wachawi)?


kimsingi hilo tukio halieleweki ndiyo maana mpaka leo nalichukulia kama muujiza pekee ambayo nimeushuhudia Kwa macho yangu tena ndani yangu.


Mimi sio mzuri wa kusimulia lakini nadhani umeelewa.....
 
It is simply illusion, au call it trick za waganga. Hakuna muujiza hapo.

Ingia Youtube, andika magic tricks utaona vile unavyoamini ni miujiza kumbe ni tricks.

Siku hz kuna mpk shule za tricks!.

Hayo ni mazingaombe/kiini macho kama yale ya enzi za shule ya msingi, mtu anakuja kakatwa panga kichwani na damu zinatoka au anatobolewa tumbo utumbo unatolewa nje mnalipa pesa!


Pale dawa ilokutibu ni ile mitishamba uliyofukizwa. Issue ya chura ni kukoleza game!
 
Mambo ya MUNGU MWENYEZI yanahitaji uwe na NGUVU ZA MUNGU ndani yako( Kwasababu, wakati mwingine WAHUSIKA ( waamini) husukumwa KUAMINI siyo kutumia mantiki( LOGIC)
KUTUMIA LOGIC ni ISHARA YA KUKOSA ELIMU hiyo ya IMANI.

Ujinga kama huu ndio uliwafanya waamini kutokutumia logic na kuishia kufa kwa njaa hapo Kenya au kitiwa kibiriti na Kibwetere

Kwanini Mungu anataka watu wawe wajinga kwenye kumuamini?
Kwasababu ukitumia akili timamu there no way unaweza kuamini imani ya Mungu
 

Mkuu wewe ni MJINGA

Mganga kakufanyia TRICKS na wewe ukaingia kingi kwamba umetapika chura [emoji23][emoji23][emoji23]

Enzi zetu shule ya msingi ndio tulikua tunalipa senti hamsini kuangalia hayo mazingaombwe na tulikua tunaamini ni kweli mtu katapika njiwa halafu wewe unakuja kujazwa utu uzimani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kama kupona kweli basi ilikua ni mvuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…