Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

𝐾𝑀𝑒𝑛𝑦𝑒 π‘’π‘–π‘ π‘™π‘Žπ‘š 𝑛𝑖 π‘Ÿπ‘Žβ„Žπ‘–π‘ π‘– π‘ π‘Žπ‘›π‘Ž...π‘ˆπ‘˜π‘–π‘ β„Žπ‘Žπ‘‘π‘Žπ‘—π‘Ž π‘‘π‘œπ‘“π‘Žπ‘’π‘‘π‘– π‘¦π‘Ž π‘†β„Žπ‘–π‘Ž π‘›π‘Ž 𝑆𝑒𝑛𝑛𝑖 π‘π‘Žπ‘ π‘’ π‘π‘™π‘œπ‘ π‘’π‘‘! π‘€π‘–π‘β„Žπ‘Žπ‘›π‘”π‘Žπ‘›π‘¦π‘œ π‘˜π‘–π‘π‘Žπ‘œ...!
Huo ndiyo "mchanganyo kwenye Qur'an"?
 
It is simply illusion, au call it trick za waganga. Hakuna muujiza hapo.

Ingia Youtube, andika magic tricks utaona vile unavyoamini ni miujiza kumbe ni tricks.

Siku hz kuna mpk shule za tricks!.

Hayo ni mazingaombe/kiini macho kama yale ya enzi za shule ya msingi, mtu anakuja kakatwa panga kichwani na damu zinatoka au anatobolewa tumbo utumbo unatolewa nje mnalipa pesa!


Pale dawa ilokutibu ni ile mitishamba uliyofukizwa. Issue ya chura ni kukoleza game!
Unajua nini mkuu,..Dunia hii ni kubwa mno vivyo hivyo elimu ni pana mno..
Unaposema kilichotokea ni illusion hayo ni mawazo yako na sio 100% fact.


Uchawi na miujiza mingine ipo ukubali au ukatae Kwa maana kama haijakutokea wewe kuna watu ishawatokea.

Sasa huoni kama kila kitu ukikiita illusion unakua unakosea?
 
Una uhakika gani kama ni tricks?
atleast ungefanya research na sio kufanya assumptions na kudhani unajua kila kitu kwenye hii Dunia....huo ni ujinga wa kiwango cha standard gauge

Tena Kwa kukurupuka unasema eti nimejazwa utu uzimani na story inasema ATM nilikua kwenye miaka 10 hivi...huoni kama haupo makini[emoji114]

This world is so wide and vast.... Knowledge is so wide we only know a few percentage 0.0001% of what we have to know,.usichokijua wewe wengine wanakijua au kupitia kabisa...kitu gani kinakupa ujasiri wa kuona kila kitu ni tricks?Inachekesha[emoji1787]

Tatizo lenu mnao amini supernatural mnaamini kila kitu kinawezekena........ na ndio watu mnaongoza kudanganywa na kutapeli na wachungaji na waganga feki

Mtu mzima kabisa na akili zako timamu unaamini ulitapika chura kwa trick uliofanyiwa ukiwa mtoto....... hakika imani ni shambulio la akili

Nimekuambia mimi nimeona mazingaombwe mtu anatapika njiwa nikiwa primary school

Mnapenda kujifariji na kujificha kwenye elimu ambayo haipo
 
Tatizo lenu mnao amini supernatural mnaamini kila kitu kinawezekena........ na ndio watu mnaongoza kudanganywa na kutapeli na wachungaji na waganga feki

Mtu mzima kabisa na akili zako timamu unaamini ulitapika chura kwa trick uliofanyiwa ukiwa mtoto....... hakika imani ni shambulio la akili

Nimekuambia mimi nimeona mazingaombwe mtu anatapika njiwa nikiwa primary school

Mnapenda kujifariji na kujificha kwenye elimu ambayo haipo
Mkuu,tembea uone una elimu ndogo niamini Mimi hata kama umefika level ya PhD lakini kwenye jamii na mazingira tunayoishi kuna elimu kubwa zaidi ya Ile ambayo unaamini unayo.

Ili ujifunze vitu inabidi uwe open minded kuwa free kujifunza ukishasoma elimu rasmi ya mashuleni na vyuoni kuna elimu hii ya kwenye mazingira yenyewe pia ni kubwa mno,..sio kama hivyo umekaa unaamini eti miujiza haipo.


Mfano,.Ushawahi kumuona mtu ambae amekua Demon possessed?!


Ila naamini hii arguments hatuwezi kufikia hitimisho,..siku likikufika jambo ndiyo utajua Dunia ina mengi ya ku offer mkuu.
 
π‘π‘Ž π‘’π‘—π‘Žπ‘›π‘—π‘Ž π‘’π‘—π‘Žπ‘›π‘—π‘Ž π‘’π‘›π‘Ž π‘šπ‘€π‘–π‘ β„Žπ‘œ, πΎπ‘Žπ‘˜π‘œπ‘π‘’ π‘π‘Žπ‘π‘Ž π‘€π‘Ž π‘šπ‘–π‘’π‘—π‘–π‘§π‘Ž πΉπ‘’π‘˜π‘– π‘˜π‘Žπ‘–π‘ β„Žπ‘–π‘Ž π‘€π‘Žπ‘π‘–? πΊπ‘€π‘Žπ‘—π‘–π‘šπ‘Ž π‘šπ‘“π‘’π‘“π‘’π‘Ž π‘šπ‘–π‘ π‘’π‘˜π‘’π‘™π‘’ π‘šπ‘Žπ‘–π‘”π‘–π‘§π‘œ π‘¦π‘Žπ‘˜π‘’ π‘¦π‘Žπ‘šπ‘’π‘–π‘ β„Žπ‘–π‘Ž π‘€π‘Žπ‘π‘–? π‘–π‘™π‘Ž π‘šπ‘‘π‘Žπ‘—π‘– π‘€π‘Žπ‘œ π‘π‘Žπ‘‘π‘œ π‘’π‘π‘œ π‘šπ‘˜π‘’π‘π‘€π‘Ž π‘Žπ‘  π‘€π‘Žπ‘—π‘–π‘›π‘”π‘Ž β„Žπ‘Žπ‘€π‘Žπ‘–π‘ β„Žπ‘– 𝑇𝑧
Hawa matapeli wanasaidiwa na serikali ya CCM. Serikali siku zote imekuwa ikifyatua wajinga ambao kimbilio lao ni kwa hawo manabii wa unongo huku kizazi kizima kikizidi kutumbukia kwenye mazingaombwe ya mitume na manabii feki huku wakikamuliwa fedha za sadaka ya kujimaliza kila kukicha.
 
Mkuu,tembea uone una elimu ndogo niamini Mimi hata kama umefika level ya PhD lakini kwenye jamii na mazingira tunayoishi kuna elimu kubwa zaidi ya Ile ambayo unaamini unayo.

Ili ujifunze vitu inabidi uwe open minded kuwa free kujifunza ukishasoma elimu rasmi ya mashuleni na vyuoni kuna elimu hii ya kwenye mazingira yenyewe pia ni kubwa mno,..sio kama hivyo umekaa unaamini eti miujiza haipo.


Mfano,.Ushawahi kumuona mtu ambae amekua Demon possessed?!


Ila naamini hii arguments hatuwezi kufikia hitimisho,..siku likikufika jambo ndiyo utajua Dunia ina mengi ya ku offer mkuu.

Nina mtoto wa ndugu yangu alikua na matatizo ya afya ya akili na kifafa

Mama yake aliaminishwa na waganga katupiwa majini akahangaika sana bila mafanikio

Akahamia kwa akina Kakobe mwingira mzee wa upako akaambiwa ana mapepo
Akaombewa sana mchana na usiku lakini wapi

Tukaingilia kati apelekwe hospitali
Akagundulika ana matatizo ya afya ya akili na alikua seizure
Ametumia vidonge na hivi sasa angalau anaunafuu mkubwa sana
Na anavyozidi kukua kifafa kimeisha imebakia changamoto ndogo ndogo

Huyu ungekuwa wewe ungesema amekua demom possessed

Hakuna kitu kinaitwa Mungu malaika shetani peponi motoni uchawi majini na upuuzi mwingine kama huo
 
Ili ujifunze vitu inabidi uwe open minded kuwa free kujifunza ukishasoma elimu rasmi ya mashuleni na vyuoni kuna elimu hii ya kwenye mazingira yenyewe pia ni kubwa mno,..sio kama hivyo umekaa unaamini eti miujiza haipo.
.

Mkuu mimi ni mtu very open minded

Nimetumia umri wangu wa miaka 30 kujiridhisha kama Mungu yupo au la
Nilianza kwa kumuamini baada ya kuaminishwa toka utotoni
Kisha nikaanza kumtafuta baada ya kuwa mtu mzima
Nimejiridhisha pasi na shaka ya ziada kwamba hakuna Mungu

Kama Mungu hayupo basi mambo yote mengine yanayo mzunguka kama uchawi malaika pepo mbiguni shatani nk ni hekaya kama za abunuwasi kutoka kwenye simulizi za kale
 
Hii conversation ipo moto..🀣Mbona jamii forums kila kukicha threads za kupinga dini afu mtaani kila mtu anaenda msikitini na kanisani..😁Hawa ma atheists mbona mtaani hawaonekani..au tunanafkiana
 
Hii conversation ipo moto..[emoji1787]Mbona jamii forums kila kukicha threads za kupinga dini afu mtaani kila mtu anaenda msikitini na kanisani..[emoji16]Hawa ma atheists mbona mtaani hawaonekani..au tunanafkiana

Nilipanda basi la Simba mtoto kuelekea Tanga
Ukaanza mjadala kuhusu eti kuna watu hawaamii kama Kuna Mungu

Mimi nikasema hata mimi siamini kama yupo..... Astaghafilulah zilipigwa na basi zima aiseee
Kidogo wanishushe kwenye basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekoma kujadiliana mambo ya Mungu na wananzengo mitaani wanaweza kukuua aisee
 
Nilipanda basi la Simba mtoto kuelekea Tanga
Ukaanza mjadala kuhusu eti kuna watu hawaamii kama Kuna Mungu

Mimi nikasema hata mimi siamini kama yupo..... Astaghafilulah zilipigwa na basi zima aiseee
Kidogo wanishushe kwenye basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimekoma kujadiliana mambo ya Mungu na wananzengo mitaani wanaweza kukuua aisee
🀣🀣Haya mabasi yenu mpaka mnapiga story jau..ila nimekuelewa
 
Shida ipo kwenye tafsiri ya muujiza

Kila unachokiona ni muujiza

Maisha yako yote ni muujiza

Kuamka mzima leo ni muujiza

Wewe mwenyewe ni muujiza
 
Albert Einstein's quote, "There are only two ways to live your life. One is as though nothing is a miracle. The other is as though everything is a miracle," invites us to contemplate two contrasting perspectives on life.

Let's examine each viewpoint and provide some examples:

Living as though nothing is a miracle:
This perspective suggests perceiving the world through a lens of scepticism and rationality, focusing on the mundane aspects of life. People who adopt this viewpoint may rely solely on empirical evidence and scientific explanations, dismissing any notions of wonder or spirituality.

A person who believes that everything in life can be explained by science and rejects any notion of divine intervention or supernatural occurrences.

A scientist who approaches research with strict adherence to empirical evidence and disregards any subjective experiences or unexplained phenomena.

Living as though everything is a miracle: This perspective encourages embracing a sense of awe, wonder, and gratitude for the world around us. It involves finding beauty, meaning, and significance in even the smallest aspects of life.

A nature enthusiast who sees every flower, bird, or sunset as a magnificent expression of beauty and finds joy in the simplest natural occurrences.

An artist who finds inspiration in the everyday world, viewing every moment as an opportunity for creativity and self-expression.
 
Shida ipo kwenye tafsiri ya muujiza

Kila unachokiona ni muujiza

Maisha yako yote ni muujiza

Kuamka mzima leo ni muujiza

Wewe mwenyewe ni muujiza

Maana halisi ya miujiza ni mambo ambayo sio ya kawaida
Yaani mambo ambayo yako kinyume na sheria za kisayansi na huambatana na supernatural

Ingawaje kwenye matumizi sasa unaweza kulichomekea kuonyesha uzito wa jambo hata kama sio miujiza

Kwenye sayansi hakuna miujiza
 
Nina mtoto wa ndugu yangu alikua na matatizo ya afya ya akili na kifafa

Mama yake aliaminishwa na waganga katupiwa majini akahangaika sana bila mafanikio

Akahania kwa akina Kakobe akaambiwa ana mapepo
Akaombewa sana mcha na usiku

Tukaingilia kati apelekwe hospitali
Akagundulika ana matatizo ya afya ya akili na alikua seizure
Ametumia vidongo na hivi sasa angalau anaunafuu mkubwa sana
Na anavyozidi kukua kifafa kimeisha imebakia changamoto ndogo ndogo

Huyu ungekuwa wewe ungesema amekua demom possessed

Hakuna kitu kinaitwa Mungu malaika shetani peponi motoni uchawi majini na upuuzi mwingine kama huo
Kuwa demon possessed na Tatizo la afya ya akili ni vitu viwili tofauti...

Au wewe ukiwaona wale walemavu wa afya ya akili ndiyo unawachukulia kama demon possessed?
 
Mkuu mimi ni mtu very open minded

Nimetumia umri wangu wa miaka 30 kujiridhisha kama Mungu yupo au la
Nilianza kwa kumuamini baada ya kuaminishwa toka utotoni
Kisha nikaanza kumtafuta baada ya kuwa mtu mzima
Nimejiridhisha pasi na shaka ya ziada kwamba hakuna Mungu

Kama Mungu hayupo basi mambo yote mengine yanayo mzunguka kama uchawi malaika pepo mbiguni shatani nk ni hekaya kama za abunuwasi kutoka kwenye simulizi za kale
Anhaa vizuri Kwa kuwa open minded,...hata Mimi utotoni niliaminishwa Mungu yupo.

Hivyo,.Baada ya kukua kiakili nimetumia akili yangu kufikiria Kwa kina nikaamini zaidi kwamba Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom