Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Wazazi walio walioumbwa na MUNGU ndiyo walienda wakiambizana uwepo wa MUNGU kama wewe ulivyoambiwa uwepo wa MUNGU kupitia kwa WAZAZI wako walioambiwa na Babu na Bibi zako.

Tatizo ni kwa WAAFRIKA juu ya kutohifadhi historia yao na kuvurugwa na mapokeo ya historia waliuoambukizwa na wazungu kwa kuaminishwa kwa nguvu kuwa historia ya WAAFRIKA haikuwa ya kweli.

Kwa mtu anayefikiri kwa upeo wa juu ni kujiuliza tu je ni nani aliwezesha uwepo wa viumbe wa jinsia mbili na vikiwa tofauti kwa AINA na MAKUNDI mbalimbali.

Kuna watu ambao aina tofauti mcjina,mwafrika,mhindi,mwarabu,mjapani,n.k. na pia kuna wanyama tofauti mbwa,mbuzi,kondoo,bata,simba,n.k.

Je hivi vyote nani aliwezwsha?
Wafrica walilazimishwa Dini za ulaya kwa mtutu wa bunduki
 
kwa mwenye imani hawezi kuwaona wamisionari kama ni maajenti wa ukoloni. Wale walileta injili, inatosha kuamini hivyo. Nje na mtazamo huo ni ukengeufu wa kiimani. Ukoloni uliondoka tukapata uhuru, why missioneries wabaki hadi sasa na wapelelezi hawapo?
Walileta injili kutoka wapi?

Huyo mungu kwanini asitufikie yeye mwenyewe kama alivyowafikia hao wazungu na waarabu?

Kama mpaka leo hujui wamisionari ni majasusi wa mataifa makubwa kwa mgongo wa dini basi elimu yako haijakusaidia kitu.
 
Walileta injili kutoka wapi?

Huyo mungu kwanini asitufikie yeye mwenyewe kama alivyowafikia hao wazungu na waarabu?

Kama mpaka leo hujui wamisionari ni majasusi wa mataifa makubwa kwa mgongo wa dini basi elimu yako haijakusaidia kitu.
sasa hapa mkuu unataka kusema tuachane na dini hizi tufuate zipi?
 
Unataka kusema marais tulionao wafuasi wa dini ni low minded, vipi kuhusu madaktari, tena tuna madaktari wa dini/dhehebu fulani nao ni low minded sio ma genius?
 
Unataka kusema marais tulionao wafuasi wa dini ni low minded, vipi kuhusu madaktari, tena tuna madaktari wa dini/dhehebu fulani nao ni low minded sio ma genius?
Kuwa proffesion wa kitu fulani haidetermine una akili.
 
Self awareness and determination ni muhimu zaidi kuliko kufata dini ambayo ni just fiction stories.
kwa waislam hakuna self awareness and determination, wale wako tayari kuua ili kulinda dini yao, huko unasemaje?
 
Kumbe unakubali kwamba mahubiri haya ni uongo, ila tunakomaa nayo tu ili tuonekane tuna msimamo?
mkuu nimeonja kipawa, sitataka kuasi, sitaikana imani niliyoipokea namuomba Mungu anipe hekima na busara kuijua kweli. Kweli itaniweka huru
 
kwa waislam hakuna self awareness and determination, wale wako tayari kuua ili kulinda dini yao, huko unasemaje?
kwa hiyo kuwa tayari kuua kwa ajili ya dini Yao ndio kukosa self awareness na determination kwa waislam ? vp ma Atheists na polytheists wa Sehemu nyingine ambao wapo tayari kuua kwa ajili ya mataifa Yao,tawala zao nk?
 
kwa hiyo kuwa tayari kuua kwa ajili ya dini Yao ndio kukosa self awareness na determination kwa waislam ? vp ma Atheists na polytheists wa Sehemu nyingine ambao wapo tayari kuua kwa ajili ya mataifa Yao,tawala zao nk?
umeambiwa hao hawaamini dini, maana yake wana high minded na ni ma genius
 
Back
Top Bottom